Mbunge Chato: Tunaomba ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki

Mbunge Chato: Tunaomba ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki

SGR ilipaswa ishia Dodoma tu, Marehemu akaona isiwe kesi akaruka akaanzia Mwanza ili lolote lile lazima imalizike.
Sasa twaipeleka Burundi kwa masikini ambao kwa mwaka makontena hata 10000 hayafiki
Haikupaswa kuwepo Kwa Sasa.Hadi hapo Dom imekula 13T ambazo ni zaidi ya km 7,000 za lami.

Nchi ingekuwa mbali zaidi.
 
Kwa kuwa uwanja umekwishajengwa, itafutwe namna utumike, hata kama ni kwa kutumia Dash8. Kutokuutumia ni hasara zaidi.
 
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.

Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.

Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.

"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.

Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani biashara ya usafiri wa ndege ni bidhaa kama unavyoiona bidhaa nyingine kibiashara hivyo wenye bidhaa hizo ambao ni mashirika ya ndege yanapeleka bidhaa sehemu ambayo walaji wa bidhaa hiyo wapo na wanauhitaji vinginevyo hawawezi kuendelea kuingia gharama ya kuipeleka na kuifikisha bidhaa sokoni ambako kila wakienda wanarudi wakiwa na hasara tena hasara kubwa kwa sababu tu ya kwenda kumfurahisha mteja Kalemani na wachache mno wengine ambao ulaji wao wa bidhaa hiyo hauwezi kufanya biashara hiyo ikafanya kwa faida.

biashara ya usafiri wa ndege ni bidhaa kama bidhaa nyingine yeyote kwenye biashara na hivyo mwenye bidhaa hawezi kupeleka bidhaa yake kwenye masoko ambayo hayana mlaji maana kufanya hivyo atafilisika.

inavoonekana ni kwamba shirika ama mashirika ambayo yaliwahi kufanya pale walikuwa wanafanya kwa hasara na ndiyo maana baada ya kujaribu kwenda pale siku za mwanzo walikujagundua kwamba wanaenda kwa hasara ndipo wakaamua kusitisha na hawakusimamishwa na mtu hivyo kitu anachopaswa kufanya mbunge ni kwenda kuongea na shirika/mashirika ya ndege kuwapa ushawishi wa kwenda kiwanja cha Chato.

maana mashirika ya ndege yanchohitaji ili yaweze kufanya biashara kupeleka ndege ni pamoja na uwepo wa uwanja salama na wenye uwezo wa kutua ndege pamoja na uwepo wa abiria wanaotosha
kikikosekana kimojawapo ktk hiki basi biashara hapo haitakuwepo.
pole mh Kalemani mbunge.
 
Wala kuzingatia uwezo wa Uchumi wetu na Tija Kwa wakati hii na mda wa kati.

Vietnam ambayo Ina Uchumi mkubwa mara 6 ya Tanzania na watu wengi kushinda sisi ndio inajipanga kujenga Sgr,Sasa Tanzania na ufukara wake huu hizo Sgr na mamiradi mengine ya maonesho Yana faida ipi zaidi ya kuzidi kuleta hasara?
Ndo imeshajengwa sasa, nenda kajinyonge kenge wewe
 
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.

Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.

Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.

"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.

Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
Si mlisema Wananchi hawahitaji Katiba wanahitaji Chumvi na ugali?

Kuleni sasa kiwanja cha ndege
 
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.

Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.

Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.

"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.

Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!

Huyu ni Dr. ( Msomi ) ambaye hajui kwamba Kama pana Biashara Chato ya kutosha hata Precision air wangeenda huko, na sio ATC peke yake!
 
Kwa kuwa uwanja umekwishajengwa, itafutwe namna utumike, hata kama ni kwa kutumia Dash8. Kutokuutumia ni hasara zaidi.
Na hiyo Dash8 nayo unapeleka inakula hasara pia.

Uamzi ni wako
 
kipara kipya .. Njo uone matokeo ya mlichokuwa mnashupalia kipindi kile kuwa Hata CHATO iko ndani ya Tanzania hivyo kujengwa uwanja wa kimataifa hakuna shida
Tena mlienda mbali mkidai huo uwanja una umuhimu sana kwasababu unaunganisha mikoa jirani, mara Unawateja wengi sana

Hivi sa hivi mnajiskiaje mlichokuwa mna sherekea kipindi kile
Utakuwa mgeni wa usafiri wa anga wewe. Air Tanzania walikuwa wanaruka na kutua Shinyanga, Musoma, Mtwara na Songea, na Tabora. Katika miji hiyo sidhani kama Shinyanga na Musoma bado wanatua. Hiyo haina maana hakuna abiria. Ni suala la maamuzi ya watendaji. Same scenario kwa chato, abiria wa ukanda wa katoro ma Biharamulo huko wapo ndege haiwezi kukosa abiria
 
Tatizo ni akili.Mwanza inakabiliwa na shida kubwa ya Barabara harafu inajenga kadaraja Ili eti ionekane umefanya sijui kitu gani
Acha ujinga hata kama asinge jenga isinge wezekana kutumia hela yote hiyo kujenga barabara za Mwanza pekeake! Daraja ni muhimu sana kuliko hata la Tanzanite!.
Acha wivu wa kijinga mkoa gani hauna shida ya barabara hata huko kwenu ndo hovyo kabisa Mbeya ni kama kijiji!
 
Kituko kingine ni hawa wanaojenga International Airport pale Msalato Dodoma.

Dar es Salaam tu jiji la Biashara ndege za kimataifa unazihesabu kila baada ya masaa 2 hadi 3 na muda mwingine masaa 4 sasa kule Dodoma sijui ndo itakuwaje.

Nchi hii Viongozi kukosa akili kunawafanya kutumia fedha nyingi sana kwenye mambo ya kijinga.
 
Aisee haswa, yaani utaona nyani ndio wamefanya makazi huko.
Inasikitisha sana akili za waafrika pindi wakiwa madarakani
Hebu fikiria huo mji wa Mobutu kwisha habari yake

Mwingine nae ni Bob Mugabe
Alituma jamaa yake mzungu kujenga Castle UK kwa thamani ya £41 million
Mpaka leo limetelekezwa na hakuna anaeishi na ni kubwa haswa

Sasa local residents wanalalamika kwa sababu pamekuwa sehemu ya kuuzia na kuvutia Unga na bangi kwa vijana
Hebu fikiria jengo limetupwa la mamilioni

Kuna watu wana laana mpaka walikoenda
Hili hapa jengo View attachment 3259879
Chato haiwezi kufikia huko! Huo ni mji mdogo unaokua!
 
Kituko kingine ni hawa wanaojenga International Airport pale Msalato Dodoma.

Dar es Salaam tu jiji la Biashara ndege za kimataifa unazihesabu kila baada ya masaa 2 hadi 3 na muda mwingine masaa 4 sasa kule Dodoma sijui ndo itakuwaje.

Nchi hii Viongozi kukosa akili kunawafanya kutumia fedha nyingi sana kwenye mambo ya kijinga.
It is better wangejenga hata Mwanza sema CCM wanafanyaga mambo ya kipuuzi sana!
 
Acha ujinga hata kama asinge jenga isinge wezekana kutumia hela yote hiyo kujenga barabara za Mwanza pekeake! Daraja ni muhimu sana kuliko hata la Tanzanite!.
Acha wivu wa kijinga mkoa gani hauna shida ya barabara hata huko kwenu ndo hovyo kabisa Mbeya ni kama kijiji!
Iwezekane Kwa daraja na Chato ndio ishindikane Kwa daraja?

Mwanza hiyo Ina Barabara finyu

Barabara za Mitaa hakuna

Barabara zingine Kubwa ni mavumbi

Uwanja wa Ndege wa hadhi hakuna

Maji shida nk

Mbona Samia anatumia pesa kama hiyo kuzijenga? Imewezekanaje?

My Take
Next time mjifunze kutumia akili.
 
Kituko kingine ni hawa wanaojenga International Airport pale Msalato Dodoma.

Dar es Salaam tu jiji la Biashara ndege za kimataifa unazihesabu kila baada ya masaa 2 hadi 3 na muda mwingine masaa 4 sasa kule Dodoma sijui ndo itakuwaje.

Nchi hii Viongozi kukosa akili kunawafanya kutumia fedha nyingi sana kwenye mambo ya kijinga.
Dom ni Capital City no way lazima uwe na uwanja wa Kimataifa.

Hata Mikoa a jirani watatumia hasa Kwa cargo kikubwa ni kukuza shughuli za kiuchumi za watu na Mikoa ya jirani.

Pia wajenge Kumbi za Mikutano kubwa.
 
Back
Top Bottom