Mkuu kama umeamua mwenyewe kuwa mse*nge au shoga hainihusu mimi au serikali.Mkuu umeongelea SA kuhusu swala la ndoa including za jinsia moja wewe nani kukupa mamlaka ya kuhukumu?mimi nikiamua kuwa guy au lesbian wewe utapungukiwa na nini?bunge letu sheria hizi zimepitwa na wakati kila mtu awe huru kuvaa anachokitaka
Hako apoKapicha jamani
Nenda Chako ni chako saa 7 ucku wamejaaMh mkuu 😳
Mawazo ya wabunge yako kwenye sex tu. Has been a long time tangu wawe hapo Dodoma. Wanaimia jamani, tangu April hawajapata kitu. It’s is a very long time!Bunge katika mwendelezo wa utawala Dume! Mwanamke ana uhuru wa kuvaa chochote anachokipenda kwa siku hiyo na wanaume wasitafsiri hii kuwa she need sex! Kinachotakiwa bungeni ni madini kutoka kwa Mh. Mbunge sio kavaa nini, pls my speaker tembelea bunge la SA uone, wabunge pale wengine wanavaa maovaroli na wengine kama domestic worker na kila kitu kipo safi, haya masheria ya kipuuzi futilia mbali na unyanyasaji ndani yake.
Vp viti maalum nini huyoKama mnaruhusu watoa huduma bungeni mnategemea nini, Tanzania ina tatizo la watu serious kwenye mifumo tena mingine ni nyeti kabisa...
Aliyeripoti huenda alijikojelea, naye wangetupa nje. Badala ya kudikiliza yeye alikuwa busy anaangalia wana wake tu. Hawa wabunge sijui waliwatoabeapi, hata mbu Ana akili.Nenda Chako ni chako saa 7 ucku wamejaa
Upuuzi mtupu. Ile nguo aliyoivaa inamharibu vipi mtoto? Kavaa blauzi ndefu na suruali. Mnataka avae nini? Wanafik wakubwa.Huko Afrika kusini ndiko walikoruhusu ndoa za jinsia moja kisheria na sasa wameruhusu mwanamke mmoja kuolewa na zaidi ya mwanamume mmoja kisheria.
Tuwaige hawa? Hapana!
Kuhusu huyu mbunge wetu kutovaa kistaha ni kosa kisheria na kanuni za bunge awapo katika vikao.
Kwani nani anamzuia kuvaa nusu uchi akimaliza vikao aelekeapo sehemu za kujirusha?
Lazima tuwalinde watoto wetu na pia kujenga kizazi kijacho chenye heshima na maadili yaliyotukuka.
NB; swala la maadili linakwenda mbali kuliko wengi tufikirivyo. Hatumkingi mtu mzima na mambo ya kikubwa ila tunamkinga na kumlinda mtoto dhidi ya hayo mambo kabla ya wakati wake wa kuweza kupambanua.
Kuambiwa usitiri mwili wako vizuri ni unyanyasaji?na kwani ni lazima wabunge wa Tanzania wavae kama South Africa?Bunge katika mwendelezo wa utawala Dume! Mwanamke ana uhuru wa kuvaa chochote anachokipenda kwa siku hiyo na wanaume wasitafsiri hii kuwa she need sex! Kinachotakiwa bungeni ni madini kutoka kwa Mh. Mbunge sio kavaa nini, pls my speaker tembelea bunge la SA uone, wabunge pale wengine wanavaa maovaroli na wengine kama domestic worker na kila kitu kipo safi, haya masheria ya kipuuzi futilia mbali na unyanyasaji ndani yake.
Limekuwa bunge la ccm lenye kila aina ya voroja hata tandale au manzese havipo!Yeye mwenye kwa kusema ana file Mirembe halafu ndio Spika huoni ndio anaongoza kuzalilisha Bunge?
Wamezoea vya kunyongaMbunge wa Momba Condester Michael Sichalwe ametolewa ndani ya ukumbi wa Bunge ili akabadilishe mavazi yake baada ya Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar kuomba muongozo wa Spika kuwa kuna baadhi ya Wabunge wamevaa mavazi yasiyo na maadili.
Spika baada ya kumuamrisha kuondoka Bungeni pia aliwaambia askari wa Bunge, kuanzia sasa mbunge yeyote atakaevaa mavazi yasiyo na Staha na kinyume na kanuni waishie getini. Sakata hilo lilianza kwa mbunge mwenzake kuomba muongozo wa spika akimtolea mfano kama mbunge aliyevaa mavazi yasiyo na staha.
Thanks but no thanks. Vaeni nyie sie dada zetu na wake zetu watavaa wanavyoona wanapendeza. Kuvaa baibui na hijab hakumaanishi kuwa mvaaji ni mtakatifu. Mbona Zanzibar na Pemba kuna wakina dada wengi wanajiuza wakiwa wamevaa baibui na hijab?Hakuna vazi zuri kama baibui na hijab. Ni vazi la heshima linalovaliwa na waislamu, na hata baazi ya upande wapili wanalipenda. Sasa kwanini musivae mavazi haya ili uheshimike,na kuficha mwili wako! Mijanaume mingine sijui haina wazazi/wadada, huwa inasapoti ujinga badala kukemea.
haaaaaaNdiyo maana hayaolewi haya majinga