Sawa mkuu tuna haki ya kutofautiana kwa hili but will NEVER happen Mh.Mbunge kuingia uchi!Maadili ni jambo la muhimu kuzingatiwa, hata kama unahoja nzuri kichwani, bado tunapaswa kujenga heshima na kuzinatia maadili ya jamii.
Tusitetee ukosefu wa maadili, ipo siku watu wataingia uchi na je, tutaendelea kusema ili mradi anatema madini kutoka kichwani kwake?!!!
Wa Arusha na aliyetolewa leoMfano yupi nikapande dau? manake tushatoka mashambani
Siyo kila linalo tendeka SA linafaa kwetu kukopi, mazingira na tamaduni zao zaweza kuwa tofauti na zetu. Mbona hujachukua mfano kutoka China, Saudi Arabia na Uturuki?.Bunge katika mwendelezo wa utawala Dume! Mwanamke ana uhuru wa kuvaa chochote anachokipenda kwa siku hiyo na wanaume wasitafsiri hii kuwa she need sex! Kinachotakiwa bungeni ni madini kutoka kwa Mh. Mbunge sio kavaa nini, pls my speaker tembelea bunge la SA uone, wabunge pale wengine wanavaa maovaroli na wengine kama domestic worker na kila kitu kipo safi, haya masheria ya kipuuzi futilia mbali na unyanyasaji ndani yake.
Kumradhi naomba ilipoandikwa Momba isomeke Nyang'wale badala ya Momba.Mwomba mwongozo kaona hiyo ndiyo hoja ya uwakilishi wa wananchi wa Momba?
Hili ndilo ametumwa na wapiga kura wake?
Hapo kawatetea wanyonge wa Momba?
Alikosa namna ya kulimaliza/kumrekebisha nje ya kamera ili kutumia muda huu adhimu kwa manufaa mapana ya taifa.
Tunahangaishwa na yasiyo ya muhimu wakati tukipuuza au kunyamazia ya LAZIMA.
Asante mkuu,manake napeleka mashambulizi kwa wanasiasa safari hii,ATAKAYEJILEGEZA ninayeWa Arusha na aliyetolewa leo
Kazi njema mkuuAsante mkuu,manake napeleka mashambulizi kwa wanasiasa safari hii,ATAKAYEJILEGEZA ninaye
Nashukuru mkuu!Kazi njema mkuu
Kazi njema mkuuNashukuru mkuu!
Hata mimi nashanga sana, sijaona hiyo suruali kuwa tight kiasi cha mtu kulalamika kuwa inaonyesha maungo yake.Hivi ni mimi au ? Kuna shida gani na hayo mavazi ?
Au turudi enzi za mababu zetu ? Vifua wazi....
Wameshindwa kusimamia Serikali sasa wanashadadia mavazi
Tukiendelea hivi na haya maadili ya kuiaga soon tutaanza kuwalazimisha wadada kuvaa Baibui na kufunika nyweleHata mimi nashanga sana, sijaona hiyo suruali kuwa tight kiasi cha mtu kulalamika kuwa inaonyesha maungo yake.
Bunge la Ndugai ni dhaifu sana. Hoja za msingi za kujadili changamoto za Wananchi hazipo ila kuangaliana mavazi. Hata wazee wetu wa miaka 80 sina hakika kama wanaweza kuwa na mawazo ya kuona binti huyu amevaa vazi lisilo la maadili.
Ni vizuri Spika kujiridhisha kabla ya kukurupuka.
Kula rushwa, kuiba kura, uvivu, kutofuata sheria kote ni kukosa maadili, ila kwenye mavazi ndo huwa mnatoa mimacho.
View attachment 1804951