Heaven Sent come read this darling.Ubaya huko wapi hapo?
Mbona haya wanaume wengi tunayafanya sema kutokuwa maarufu ndio kunatusaidia siri zetu zisibumbuluke.
Huyo kwingu sema tatizo lake umaarufu ila Mimi sijaona kama tatizo sana kwa anayoyafanya ukizingatia bado "kijana".
Labda kama wewe ni mke wake umeumia.
Sasa Mtoto kama huyo mwenye gauni la bluu unamuachaje kwa mfano?
Mbona mnaoa na bado mnachepuka?waislam tukioa wake wanne mnatuona tunakosea haya endeleen kuchepuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nanyi mna mapungufu na tunawavumilia sana. Cha msingi ni kutokujitoa ufahamu. Tusijisahau namna hiyo jamani.Kama upo kwenye ndoa kuchepuka ni jambo moja kuzaa nje ni jambo lingine kabisaaa.
Sidhani kama huyu jamaa ataendelea kuishi na mkewe kama akijua hao watoto sio wa kwake.
Hawa wake zetu wana mapungufu yao lkn kwa kweli wanatuvumilia sana.
Diffensive mechanism hiyo maana anajijua na uchafu anaofanya. Wanawke wanavumilia mengi sana kwenye hizi ndoa.Mtu anachepuka lkn eti anaandika magazeti insta ya kumsifia mke wake.Kama unampenda sana muonyeshe huko huko nyumbani sio insta.
Unadhani ni limbukeni wa K....huyu ni mhuni toka akiwa mkuu wa wilaya na kuhusu kumsifia mkewe yupo hivyo hata nje ya social media ...ila kanistua kuzaa nje itakua nicole alilengesha ndiyo maana Kingu haudumii mtoto, ngoja nimuhifadhie mafile yake maana namjua uzuri tu.ukiona dume zima linaanika mkewe na maneno ya kitoto ya kumsifia hapo lazima huyu mke ajue anachapiwa tu, self defence za kizamaniiii, huyu kingu limbukeni wa maku haya mambo kayajua baada ya kupata kura, shida ya kuolewa na wagagagigikoko mwanaume domo zege akikuoa akiwa hana kitu akipata tu anakuona wa nini maana linaamini katika cheo na fedha zake...atat...mb tu ila asitese watoto
Lazima alijilengesha, mbunge nae hata kutumia condom hapana.Unadhani ni limbukeni wa K....huyu ni mhuni toka akiwa mkuu wa wilaya na kuhusu kumsifia mkewe yupo hivyo hata nje ya social media ...ila kanistua kuzaa nje itakua nicole alilengesha ndiyo maana Kingu haudumii mtoto, ngoja nimuhifadhie mafile yake maana namjua uzuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikua shemela kwa shost wangu flan hivi, kutwa kumsifia mkewe.....ndiyo maana nicole haudumiwi itakua alilengesha tu pamoja na mapungufu yake Kingu anampenda mkewe.Lazima alijilengesha, mbunge nae hata kutumia condom hapana.
Asilimia 99.9 ya wanaume wanagonga nje, ila Still wanawapenda wake zao wa ndoa.Alikua shemela kwa shost wangu flan hivi, kutwa kumsifia mkewe.....ndiyo maana nicole haudumiwi itakua alilengesha tu pamoja na mapungufu yake Kingu anampenda mkewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana hakuna anaye chepuka huku ana wanawake anao wapenda tena zaid ya 2Mbona mnaoa na bado mnachepuka?
Si tunawaona huku mitaani!!hapana hakuna anaye chepuka huku ana wanawake anao wapenda tena zaid ya 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wenyewe ndio wanaopenda kupambwa hadharani.Mtu anachepuka lkn eti anaandika magazeti insta ya kumsifia mke wake.Kama unampenda sana muonyeshe huko huko nyumbani sio insta.
Wanaume Mungu anawaona...!kama warembo kama huyu wanatendwa sembuse sie magurubaja?Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu, amekumbwa na kashfa ya kungonoka na wasichana watatu tofauti na mmoja kuzaa naye, mdada aliyezaa naye anaitwa Nicole Franklin na pia imeelezwa kuwa ndiye aliyemuachanisha Vanessa Mdee(Vee Money) kwa Jux kisha kumnyakuwa kama mwewe na msichana mwingine Anaitwa Irene (queenlynei) ambaye ana duka la nguo na amemuweka karibu na familia yake kiasi kwamba huwa anampelekea mke wa kingu na watoto zawadi mbali mbali huku wakijinasibu kuwa wao ni kaka na dada ila hivi karibuni wakiwa huko uchinani(Irene na Kingu) snap ya Irene ilionesha watu hao wawili wakiwa kwenye mahaba mazito na wakati huo huo Kingu akiongeza speed ya kumsifia mkewe insta ili mama wa watu asistukie kama tunda lake linaliwa.
Kumekuwa na vita ya maneno kiasi cha kupelekea account ya Kingu kuwekwa private coz mashosti wa mzazi mwenza wa Kingu wamekuwa wakitoa maneno ya kumshambulia Kingu kuhusu tabia ya umalaya na kuacha kutoa huduma kwa mtoto huku akijificha kwenye kivuli cha mapenzi mazito kwa mkewe.
anaomba namba yako vipi nimpe.Ila acha aendelee kuwagonga tu maana hii midemu ya insta inapenda sana miteremko! na maigizo.Ndo uwanaume huo Kingu safii.