Mbunge Elibariki Kingu aingia kwenye kashfa ya ngono na kuzaa nje ya ndoa

Kwa mtoto namlaumu ajitaidi kutoa huduma kwa mtoto...dah ila mke wake amsamehe tu cz ata hao marafiki alipitiwa [emoji3][emoji3][emoji3]ila anaonekana anampenda mkewe. ..na kama ni mtaka jimbo anamchafua. ..hiyo ni sifa ya mwanaume si kashfa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya watu waachie wenyewe... Huwezi jua kwa nini anafanya hao anayoyafanya...


Cc: mahondaw
 
Kwanza nitumie fursa hii kumpongeza mwanaume mwenzangu kwa kula kitu kizuri na kilichonona!
Na kama haitoshi mimi kama mwanaume rijali naunga mkono kidume mwenzetu kwa kuprove uanamume wake kwa kutuletea katoto!
Na mwisho ningependa niwawlike vidume vyote rijali katika maandamo ya kumuunga mkono mwanae mashine mwenzetu.!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] my ribs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaone shilawadu bado siku 2 tu..watakutoa kiaina.
 
WEWE NAYE UMEKOMALIA UMALAYA WA KINGU UTADHANI ALIMUACHA DADA YAKO UNATUPOTEZEA MUDA
 
da hii pesa tuitumie kwa akili huwa nabaki na laki tu mfukoni zingine wacha zikae bank tu maana zikishakuwa mingi mfukoni unawaza tu nikamle nani 🙂 sas ikibaki laki ukiwaza utaigawaje unakuwa mpole gafla unalewa unaenda home kulala
 
Nicole franklin ndio alimtoa vumbi mc pilipili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…