King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Na Bunge lifutwe hakuna wanalofanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioHivi boom ni hisani?
Ndo hawa utasikia hela ya boom watu wanajenga, mimi nimemaliza boom likiwa 5000, hata kula tu ilibidi ujibane kweli kweli! Sasa hapo kwenye 5k unakunywa bia ngapi ili ulewe? Na ukilewa utakula nini?Naomba kujuzwa elimu ya huyu baba, huenda ana hasira na wasomi wa vyuo vikuu, kwa kua yeye hakupita huko. Lol
Hili lizee litakua lichawi bobezii mxxxxiiiiew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Sasa cha haibuUbaguzi unatoka wapi wakati hao hao ccm ndio walileta Hilo boom? Chadema mna tatizo la Afya ya akili
Ndo maana nataka kujua Elimu yake. Hili lizee km sio lichawi bas liganga la kienyejii. WoiiiihNdo hawa utasikia hela ya boom watu wanajenga, mimi nimemaliza boom likiwa 5000, hata kula tu ilibidi ujibane kweli kweli! Sasa hapo kwenye 5k unakunywa bia ngapi ili ulewe? Na ukilewa utakula nini?
Dkt Festo DugangeMbona wao wenyewe huko dodoma wakati wa vikao wanalewa na kuruka na vimada
Hakuna anayewaingiliaaa
Ova
Sio stahili yao?Ndio
Ndio ni hisaniSio stahili yao?
Mbunge km unapita humu JF wewe Mbunge Msengekisenge haujui msoto wanaopitia watu wenye uhitaji km huo yaan ingekua Bora Mbunge ukapiga kimya, kulewea mwanao km analewea huyo Si ndio mwanao unadhani watoto wako wakiwa walevi basi kila mtoto ni mlevi?CCM Wana Ubaguzi Sana Ili Watoto Wa Masikini Wagonge Mwamba Elimu Ya Kati Na Juu