Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.

My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.

View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo

Huyu mnwa ana elimu gani labda tuanzie hapo kujadili. Yawezekana tunadeal na mjinga mmoja.
 
Sema Ile Hela Kuna namna inapiga tafu sana
Yap kuna madogo class wanategemewa makwao. Yaani wanasoma huku wakisomesha, wakihemea nyumbani nk.

Wanapoelekea kumaliza boom la mwisho wanawaza itakuwaje baada ya chuo
 
Huyu mbunge fala nini?
Kwani hizo pesa ni hisani?
Hivi anajua boom lina impact % ngapi ya wanafunzi wa vyuo vikuu.
Tukisema CCM ni laana kwa nchi hii mnatutafuta mtuuwe. CCM wote vilaza.
 
Huyu mbunge fala nini?
Kwani hizo pesa ni hisani?
Hivi anajua boom lina impact % ngapi ya wanafunzi wa vyuo vikuu.
Tukisema CCM ni laana kwa nchi hii mnatutafuta mtuuwe. CCM wote vilaza.
Ndio ni hisani,zinaweza zikaondolewa
 
Walevi mmeguswa pabaya, mmekuwa mbogo!🤣🤣🤣
 
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.

My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.

View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo

Hizo ndizo akili kubwa za CCM ambazo Magufuli aliiba uchaguzi ili wapite bila kupingwa. So sad.
 
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.

My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.

View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo

Wao mbona wanajiongezea pesa na wanafurahi tu kimya kimya


Halafu kaboom chenyewe ni mkopo, yaani hadi mkopo wanatamani mtu asipate
 
Back
Top Bottom