Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msenge arudi kwa aliemtuma akamwambie hilo suala halipo nAmeongea porojo za kisiasa tu, boom haliwezi kufutwa. Patachimbika huko vyuoni🤣🤣
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
MsengesanaHuyu mbunge hana akili timamu hizo hela za HESLB kwani hazikatwi baada ya mhitimu kuajiriwa?
Mbunge msengetenaHuyu mbunge hana akili timamu hizo hela za HESLB kwani hazikatwi baada ya mhitimu kuajiriwa?
Msengemmoja hiviHuyu mnwa ana elimu gani labda tuanzie hapo kujadili. Yawezekana tunadeal na mjinga mmoja.
Wewe pia ni msengesana km Mbunge wako kilazaMy Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
Yap kuna madogo class wanategemewa makwao. Yaani wanasoma huku wakisomesha, wakihemea nyumbani nk.Sema Ile Hela Kuna namna inapiga tafu sana
Mkuu naomba nikuPMKumbe hela ya boom inatosha kulewa?
Ndio ni hisani,zinaweza zikaondolewaHuyu mbunge fala nini?
Kwani hizo pesa ni hisani?
Hivi anajua boom lina impact % ngapi ya wanafunzi wa vyuo vikuu.
Tukisema CCM ni laana kwa nchi hii mnatutafuta mtuuwe. CCM wote vilaza.
Sawa hakuna shida!Mkuu naomba nikuPM
Boom sio hisani, ni mkopo.Ndio ni hisani,zinaweza zikaondolewa
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Naona umeifunga naomba UniPM wwSawa hakuna shida!