rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Huwezi kuwadhibu wanachuo wote kwa sababu tu Kuna wengine wanatumia mikopo vibaya.Kwa hiyo na wao una shauri walipiwe gesti na hoteli,je dawa ya mswaki na mambo kama hayo je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwadhibu wanachuo wote kwa sababu tu Kuna wengine wanatumia mikopo vibaya.Kwa hiyo na wao una shauri walipiwe gesti na hoteli,je dawa ya mswaki na mambo kama hayo je?
Wao hizo posho kubwa wanafanyia nini?Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
======
View attachment 2984111
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.
Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Mbona huwa mnalazisha kukopeshwa huo mkopo.Kwani huo si ni mkopo? Kwanini wawapangie matumizi?
Kwani waheshimiwa wao posho zao wanazitumiaje?
Nani analazimisha?! Nani amepewa mkopo kwa kuandamana kwenda kwenye ofisi zao?Mbona huwa mnalazisha kukopeshwa huo mkopo.
Kwa nini mkuuMiccm ni laana kwa taifa hili.
Watu mbumbu wameshibaMbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
======
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.
Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Mbona wewe umedandia hoja ya mbunge wenu kilaza. Kama ulitaka ujijibu mwenyewe usingeleta hapa.Acha kudandia hoja
kabunge kanataka majibu rahisiHuwezi kuwadhibu wanachuo wote kwa sababu tu Kuna wengine wanatumia mikopo vibaya.
Mbona mkuu wewe ndio kama una tatizo la kiakili, kwahiyo tuseme na upigaji wa mali za umma umeletwa na CCM pia au sio?Ubaguzi unatoka wapi wakati hao hao ccm ndio walileta Hilo boom? Chadema mna tatizo la Afya ya akili
Elimu yake ni ya kuunga unga sana. Mtu kazaliwa mwaka 1963 kaja kupata degree 2011.... utakadiria mwenyewe kahangaika miaka mingapi kuisaka hiyo degree.Naomba kujuzwa elimu ya huyu baba, huenda ana hasira na wasomi wa vyuo vikuu, kwa kua yeye hakupita huko. Lol
Hili lizee litakua lichawi bobezii mxxxxiiiiew
😂😂😂😂😂
Wewe mbona una tabia za kikahaba sana? Yaani unaandika upuuzi mtupu.Ndio ni hisani,zinaweza zikaondolewa
Na hiyo degree ukiifuatilia ni baada ya kujiongeza kuhonga pesa wamuondolee sup.Elimu yake ni ya kuunga unga sana. Mtu kazaliwa mwaka 1963 kaja kupata degree 2011.... utakadiria mwenyewe kahangaika miaka mingapi kuisaka hiyo degree.
Muheshimiwa haelewi anajua wanapewa hadi ada. Kichwa cheupeKwani boom unapewa cash, ama unasaidiwa ada na serikali?
Embu tueleweshane jamani
Ujitambui.....una uwezo mdogo sana wa kufikiria. Unajua ni kiasi gani Boom inasaidia kwenye maisha ya chuo..au ujasoma chuo wewe 😀 😀 😀Ndio ni hisani,zinaweza zikaondolewa
Alitukanwa ila huu ndio ukweliMbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
======
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.
Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Pia soma:
- Mchango wa Mbunge Getere wa "Wanachuo wasipewe boom" umemvua nguo
- Mbunge Getere aomba radhi kwa kauli yake ya Boom