stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Mbunge msengetenaNikiwa kama Mwananchi wa Bunda vijijini nnasikitika kuwa na Mbunge kilaza namna hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge msengetenaNikiwa kama Mwananchi wa Bunda vijijini nnasikitika kuwa na Mbunge kilaza namna hii.
Awe anajua kusoma na kuandika tu, madhara ndio haya, uchanganuzi wa mambo zeroHawa ndio wabunge ambao wananchi tunawazegemea watuwakilishe vyema kule bungeni, kazi ipo kwakweli
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Anawashwa sio bure, kuna aliemfuata amlipie boom?so wale nyasi ama?
Hilo boom wakimaliza wanadaiwa kama mkopo wa kausha damu! yeye inamhusu nini
Msengesana hajui hilo boom watu wanapanga foleni msululu kwenda kusaini alafu anaongea ujinga gani?Yani hela unayonikopesha bado unipangie namna ya kuitumia??? Hio pesa (boom) ni mkopo na sio hisani umeshanikopesha kaa tulia……Kwa hili Mbunge katukosea sana tulionufaika na wanaonufaika na mikopo hii……Niwe mkweli bila mkopo wa chuo mimi nisingetoboa chuo
Wasengesana ni zaidi ya wapumbavuTuna baadhi ya wabunge wapumbavu sana.
Yeye aseme waondolewe V8 zile zipaki au ziuzwe Pesa zifanye maendeleo hata kujenga hospital au Shule halafu wao wabunge wazunguke na Bajaj na bodaboda au wakodi uber Nchi nzima atakubari? Wakati walipokua wametoa wazo la kununua Ndege ya wabunge kwa Kodi zetu alikua anakenua huku anapanua na kugonga MezaMi nafikiri wangeanza na mishahara kwanza maana mishahara nayo watu wanamalizia bar, la sivyo watoe mwongozo sahihi wa matumizi ya hela za watu.
Stupid Member of Parliament, hatutakiwi kua na wabunge viazi bungeni, mwanasheria ni yule mwenye muhuri wa uwakili na amepass law school hao wengine ni paralegal sio lawyersKuna kitu nataka kusema ila mwanasheria wangu ana sup 4, tusije kufungwa wote. GOAT
Yaani Mbunge kashiba ugali huko anakuja kutema pumba za mahindi bungeni, wakati wananchi wake huko usikute wanashida ya maji tangu nchi ipate uhuru.Stupid Member of Parliament, hatutakiwi kua na wabunge viazi bungeni, mwanasheria ni yule mwenye muhuri wa uwakili na amepass law school hao wengine ni paralegal sio lawyers
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Kwa hiyo na wao una shauri walipiwe gesti na hoteli,je dawa ya mswaki na mambo kama hayo je?Wao wanatumiaje posho zao Kama sio kufanya Mambo ya aibu.
Tuition fee inalipwa direct chuoni kwako, pesa ya kujikimu ,pesa ya stationary ,pesa ya field unapewa cash.Kwani boom unapewa cash, ama unasaidiwa ada na serikali?
Embu tueleweshane jamani
We nawe acha ujinga. Huo ni mkopo ambao wanafunzi wataulipa. Hivi ccm ndani ya kichwa Kuna nini , maana hizo sio fikra za ubongo wa binadamuUbaguzi unatoka wapi wakati hao hao ccm ndio walileta Hilo boom? Chadema mna tatizo la Afya ya akili
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo