Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

Sasa cha haibu
Ni kwamba huyo mbunge ni wa C.C.M
Yani ,kakaa kajiandaa Siku nzima kaona hapo katoa bonge la hoja....
So,pia mishahara ifutwe coz watu wanatumia kulewea na kuhonga, ama....?

Yan,mama anaelemewa na hii mizigo.
Kazi nzuri ya Magufuli kubaka uchaguzi na kuacha vilaza konki kupeta. Bunge limejaa mazuzu matupu.
 
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.

My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.

View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo

Reason capacity thinking yake ni ndogo, sana.
 
Vipi wao wanotumia Kodi zetu kuwaambukiza ukimwi mabinti wa vyuo!!. Sema vijana na wanavyuo wa Sasa ni wapumbavu ingekuwa dhama za 2000 kurudi nyuma huyu mbunge angelionja joto la jiwe.
 
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.

My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.

View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo

Wadogo zetu first year mwaka huu walipewa ada kidogo sana Kwa ufisadi wao tu, Sasa naona hata hicho kidogo kinawauma.
Shame on them.
 
Vipi wao wanotumia Kodi zetu kuwaambukiza ukimwi mabinti wa vyuo!!. Sema vijana na wanavyuo wa Sasa ni wapumbavu ingekuwa dhama za 2000 kurudi nyuma huyu mbunge angelionja joto la jiwe.
Nikimaliza paper one Mimi na jamaa zangu finalists tutaandamana.
Hatuwezi chezewa hivi, na tutamsaka popote
 
Naomba kujuzwa elimu ya huyu baba, huenda ana hasira na wasomi wa vyuo vikuu, kwa kua yeye hakupita huko. Lol

Hili lizee litakua lichawi bobezii mxxxxiiiiew
😂😂😂😂😂
Asante Asante Asante sana sister
 
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.

My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.

View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo


View: https://www.instagram.com/p/C6rXQ46I3Tq/?igsh=aXU4amF4N3U2NWhz
 
Aache mawazo ya kijinga huyo mbunge
Hatutakiwi kua na wabunge wasengerema kiasi hiki baada aje na hoja ya kufunga viwanda vya Pombe na kudhibiti unywaji Pombe kwa vijana eti yeye alivyo Zerobrain anakuja na hoja za kisengesenge msengesana kabisa
 
Back
Top Bottom