Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hao wanachuo wamekuwa watu wazima lini? Kweli unaona vile vi first year ni vijitu vizima vile!? wakati vingine bado vinakojoa kitandani ! vile bado vinahitaji kupangiwa bado vitoto.Mtu mzima unataka umpangie matumizi ya hela ambayo at the end of the day atailipia yeye mwenyewe..?
What happened to common sense..?
Nilikuwa nakuheshimu kumbe mtu wa hovyo hivi
Bwana wee...wanataka wanafunzi watoke chuo wakiwa masters of masturbation. Wacheni vijana chuo wale mbususu, wajaeibu gambe hayo ndio maisha mbona wanachuo wa ulaya wanafanya hivyo vitu na kila leo tunaenda kwao kuomba msaada.Mbona pesa zao wao wanahonga na hatuwapangii matumizi nazo ila boom la mwanafunzi inawauma kishenzi.
CR akikimbia aulizwe huyo mbungeHuo mfumo mgumu sana... Kwa hiyo boom lote liwe linakaa na CR ππ
π¬π¬, mhhm.. Hii vita ni mbaya sana.CR akikimbia aulizwe huyo mbunge
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote! Wakimaliza Hela wanakuja kumuomba? Amezoea kujadili mambo ya wanaume Sasa zimeisha anaanza na wanachuo! Jinga sana hilo!Serikali washakosa hela za kuwapa wanafunzi, wanaanza maswala ya kuwapangia matumizi.
Nipo na 28Primitive ya nini? Umechoka nini? Nani hajasoma Chuo labda? Under graduates wengi ambao ndio wanapewa mikopo wako kwenye age gani?
Huo ni mkopo utarejeshwa. Kwa nini umpangie matumizi mkopaji? Labda kutoa elimu ya fedha japokuwa bado maamuzi yatabaki kwa mkopajiHaiwezekani Kodi zetu sikatumike kienyeji kiasi hiki na tuwe tunachekelea tuu
Mbona pesa zao wao wanahonga na hatuwapangii matumizi nazo ila boom la mwanafunzi inawauma kishenzi.
Ni sahihkabisa kwasabu sio kila mwanchuo anatumia vibaya hela mtawaumiza watoto wakimaskin ambao iyo hela inawasogeza sanaa mkiwanyima baadhi yao watashindwa ata kukusanya assignment zinazohitaj hela
Exactly π― hiyo pesa anailipa mwenyewe kama kaifanyia nabaya atajuta yeye ebu acheni wanachuo na boom laooHawa nao na vikao vyao vya chama wanakera sasa, hiyo hela si ntailipa mimi iweje tena tupangiane namna ya kutumia
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
HIVI HII HELA NI MKOPO AU NI MATUNZO YA BABA KWA MTOTO!!!!!π€π€π€Mbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.
Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa kimaisha na kuiasa jamii kwamba kubeti kunaharibu ubongo na kufanya watu wasiwe critical thinker wawe mazezeta.
My Take
Aliwahi toa maoni kama haya Mbunge Getere na yule wa Kahama ila walishambuliwa sana.
Ukweli ni kwamba Wafunzi wanatumia hizi hela kubeti na kufanya starehe zingine.Naunga mkono wazo la kutafuta utaratibu mwingine wa kutoa hii mikopo ikiwezekana wapewe vyakula Wakiwa Chuo na Mahitaji mengine directly badala ya Fedha mkononi.
Kukalia kimya jambo hili Kwa kujifanya eti halipo au kuogopa kutukanwa au kutumika Kisiasa haisaidii jmaii Bali inakuza ujinga.
Uganda huko Maelfu ya Wanafunzi walifukuzwa Chuo Kwa kula ada Kwa sababu za betting.
====
Pia soma:
Sura ngumu kama yule kiranja wa mjengoni mtetezi wa mafisadi? Maana yule bila kitabu angeishia kuwa ngariba au mganga wa kienyejiBwana wee...wanataka wanafunzi watoke chuo wakiwa masters of masturbation. Wacheni vijana chuo wale mbususu, wajaeibu gambe hayo ndio maisha mbona wanachuo wa ulaya wanafanya hivyo vitu na kila leo tunaenda kwao kuomba msaada.
Chuo ndio sehemu ya kijana kujidiscover and kuenjoy, there is more to education than simply reading books.
Hiyo ya kusoma vitabu tuu wawaachie wanawake wenye sura mbaya
Mimi Ni kikongwe nimesha maliza kulipia mkopo wangu..Na huo mkopo utaurudisha
Yeye pesa ya bum kwa wanafunzi inamuhusu nini? Nani amehoji matumizi ya posho zake za ubunge ,pumbavuMbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.
Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa kimaisha na kuiasa jamii kwamba kubeti kunaharibu ubongo na kufanya watu wasiwe critical thinker wawe mazezeta.
My Take
Aliwahi toa maoni kama haya Mbunge Getere na yule wa Kahama ila walishambuliwa sana.
Ukweli ni kwamba Wafunzi wanatumia hizi hela kubeti na kufanya starehe zingine.Naunga mkono wazo la kutafuta utaratibu mwingine wa kutoa hii mikopo ikiwezekana wapewe vyakula Wakiwa Chuo na Mahitaji mengine directly badala ya Fedha mkononi.
Kukalia kimya jambo hili Kwa kujifanya eti halipo au kuogopa kutukanwa au kutumika Kisiasa haisaidii jmaii Bali inakuza ujinga.
Uganda huko Maelfu ya Wanafunzi walifukuzwa Chuo Kwa kula ada Kwa sababu za betting.
====
Pia soma: