ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #81
Si ajabu ulibebwa ndio maana unaongea ujingaYeye pesa ya bum kwa wanafunzi inamuhusu nini? Nani amehoji matumizi ya posho zake za ubunge ,pumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ajabu ulibebwa ndio maana unaongea ujingaYeye pesa ya bum kwa wanafunzi inamuhusu nini? Nani amehoji matumizi ya posho zake za ubunge ,pumbavu
Mkuu - Hawapangiwi matumizi, lengo la kupewa Mkopo ni kwa ajili ya kusoma. Sio Biashara wala kubeti - kama wanataka pesa ya ku-beti - wakakope Benki (NMB, CRDB etc)....Mtu mzima unataka umpangie matumizi ya hela ambayo at the end of the day atailipia yeye mwenyewe..?
What happened to common sense..?
Nilikuwa nakuheshimu kumbe mtu wa hovyo hivi
Mbona hao wabunge mikopo yao hawapangiwi wailipe waitumiajeMkuu - Hawapangiwi matumizi, lengo la kupewa Mkopo ni kwa ajili ya kusoma. Sio Biashara wala kubeti - kama wanataka pesa ya ku-beti - wakakope Benki (NMB, CRDB etc)....
Unaandika ujinga gani, matumizi ya pesa za mtu tena mkopo uyo mbunge anawashwa washwa na niniSi ajabu ulibebwa ndio maana unaongea ujinga
Hakuna Mkopo unaotopewa ukatumike hovyo bila kuleta Tija tarajiwa, Serikali inafanya investment na inatoa previlege sio Haki na elewa hilo.Hizo ni hela za walipa.kodi sio kwamba zimekosa Kwa kutumikaUnaandika ujinga gani, matumizi ya pesa za mtu tena mkopo uyo mbunge anawashwa washwa na nini
Kwa iyo mtu umkopeshe pesa na bado upo pale kumonitor matumizi yake ? Huu ni ukoloni, je wabunge izo posho wanalipwa sio pesa au kodi za wananchi? Na je wanazitendea haki , badala mbunge jikita kwenye mambo ya maana anaongelea wanafunzi kubet bom zao , si wafunge ayo makampuni ya kupeti, mbona serikali inachukua kodi kule kama sio biashara halali? Na kama ni halali unampagiaje mtu cha kufanyaHakuna Mkopo unaotopewa ukatumike hovyo bila kuleta Tija tarajiwa, Serikali inafanya investment na inatoa previlege sio Haki na elewa hilo.Hizo ni hela za walipa.kodi sio kwamba zimekosa Kwa kutumika
Kwani wakisha kula au wakimaliza kubeti wanarudi kuomba tena?kama hawarudi kuomba tena achana nao watajua wenyewe .Hapana watu wazima pale ,90% ni Vijana wadogo wako 19-23 age still they are young and foolish.
Mwisho hata watu wazima Huwa wanapangiwa ,sio Kila mtu mzima ana akili ya mtu mzima
Kama unauwezo wa kulipa usikope jisomeshe kwa cash kusudi ucheze kamari vizuri na kulewa pombeHawa nao na vikao vyao vya chama wanakera sasa, hiyo hela si ntailipa mimi iweje tena tupangiane namna ya kutumia
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Si unaona; Kama Mbunge - akipewa Mkopo wa gari - huwa anakwenda kununua gari. Na wanafunzi wafanye hivyo pia - ama sivyo atawekwa Mzabuni wa kupika, Hostel zipo tayari - kisha mwanafunzi hatopewa pesa ya chakula - na hostel - zote zitalipwa chuoni moja kwa moja. Itabidi mka-beti kwa pesa ya Stationery na nauli tu.Mbona hao wabunge mikopo yao hawapangiwi wailipe waitumiaje
Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa! Mbunge hovyo sana huyu!Lakini si kuna watu wapo mtaani mshahara wao ni laki nne na wanabet, wanakunywa pombe na bata sana?
Mi naona mi naona serikali itimize wajibu wa kuwakopesha matumizi iwaachie wao maana mwisho wa siku ile ni pesa ambayo watatakiwa kuilipa!
Tanzania sio nchi pekee inayotoa mkopo kwa wanafunzi, alafu wabunge vipo vitu vya kuzungumzia bunge vipi wapoteze mda wao talking about trivial things like this?
Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa. Ni mbunge hovyo sana huyu! Anakuja kulipa. Mbona nilipata mkopo na nimemaliza kulipa vizuri TU!!Na huo mkopo utaurudisha
Mtu mkataba anasaini mwenyewe, anakatwa about 9% kwenye mshahara akipata kazi, anatozwa faini ya 10% kila mwaka akichelewa kurudisha, alafu bado unataka umpangie matumizi utafkiri hela umempa tu akatumie?? Hivi mnakuwaga na matatizo gani aseeee 😂😂?Hapa shida ni elimu ya matumizi sahihi ya fedha. Watoto wafundishwe personal finance toka wakiwa wadogo, jinsi ya kusimamia hela zake binafsi wawe na uelewa.
Sasa mtu anatoka huko bush hajawahi kushika hata laki ya kwawe mwenyewe, anafika chuo mnamrundikia laki 6 ama 7 ghafla kwenye akaunti lazima achanganyikiwe.
Tuwafundishe matumizi sahihi ya fedha, hawatatumia kubeti watafanyia shughuli nyingine za manufaa zaidi.
Kila mtu analipa kodi shekhe, hata wanafunzi pia wanalipa kodi. Usitake kuact kana kwamba wewe ndo unachangia pato la taifa peke yakoHaiwezekani Kodi zetu sikatumike kienyeji kiasi hiki na tuwe tunachekelea tuu
Hii nchi inaujinga ujinga mwingi sana, yani mtu anakukopa hela halafu unampangia matumizi😂Mtu mzima unataka umpangie matumizi ya hela ambayo at the end of the day atailipia yeye mwenyewe..?
What happened to common sense..?
Nilikuwa nakuheshimu kumbe mtu wa hovyo hivi