Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaha.......kapambaneniAlikukejeli lini jamani hii ni roho mbaya kweli ujue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.......kapambaneniAlikukejeli lini jamani hii ni roho mbaya kweli ujue.
Roho mbaya hua inafuatana na uchawi.Hahaha.......kapambaneni
Mamaee🤣🤣🤣Kwanini wanaume after mechi mnarudi nyuma kama Lori ya mchanga?
Huyo ni mwanaume wako,sio sisi tulioumbwa Kwa sura na mfano wa Mungu!!!Mamaee🤣🤣🤣
Hamtakangi tuone madako yenu😁Huyo ni mwanaume wako,sio sisi tulioumbwa Kwa sura na mfano wa Mungu!!!
🤣🤣🤣,sije mkashangaa kuwa hatuna hayo madako🙃🙃Hamtakangi tuone madako yenu😁
Wewe mwanamke Bure kabisa ,mwanaume kudaiwa ni kawaida kabisa,kwanza kuwa na vigezo vya kukopesheka ni fahari,ukute wewe huna hata sifa za kukopa japo 1M Kwenye mabenki yetu,achana na mabenki hata kampuni za simu tu nako hukopesheki. I bet,Mimi tu songesha yangu nakopesheka 1M ,Mgodi 200K, achana na mabenki ambako naweza pata Hadi 40M,weka rekodi Yako tuone kama utanizidi.Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.
Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.
Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Huyu mambo yake mengi anafanya kwa vibuyu sasa naona anaanza kwenda kombo.Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.
Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.
Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Yaani huyu jamaa hii ni chenchi, ana mikopo zaidi ya bilioni 22 ana analipa huu atakuwa ameusahau mdogo sana kwakeKuwa darasa la saba nako ni mzigo.
Sasa anashindwaje kuelewa kuwa asipolipa kwa wakati, atalipia riba ya 18% kwa deni lake hilo.
Usomi nao unafaida!
Una pesa halafu unakopa?Yaani huyu jamaa hii ni chenchi, ana mikopo zaidi ya bilioni 22 ana analipa huu atakuwa ameusahau mdogo sana kwake
ame employ wasidizi wasomi watamtafsiria kwa lugha yoyote anayoitaka, kiswahili, kisukuma, kinyamwezi etc 😀Sasa wanamuandikia kiingereza, ameelewa kweli??? Si ni kumuonea tu... Sijui sheria zetu zikoje tu
kudaiwa baada ya ku-default, huna privilege tena ya mambo kuwa Private!, hivi unawezaje kukusanya madeni politely and privatelyIla kuna shida ya privacy Tz,Ulindwaji qa taarifa binafsi TZ ni finyu sanaa.
?Mpaka kuadhiriwa magazetini na vibenki kama saccos, hilo ni fedheha.Mbona hiyo hela ndogo sana, anaweza kuzipata Kwa siku Moja tu akibwabwaja mle mjengoni.
Bandari ya Bagamoyo ipo kwa wasaudi, alipiga kelele tu kidogo anakula chake.
Unaniuliza swali au?kudaiwa baada ya ku-default, huna privilege tena ya mambo kuwa Private?
Inategemea umecheza mechi na nani?Kwanini wanaume after mechi mnarudi nyuma kama Lori ya mchanga?