Mbunge Joseph Kasheku Musukuma ashindwa kulipa mkopo wa takribani TSh Milioni 400. Apewa Notice

Mbunge Joseph Kasheku Musukuma ashindwa kulipa mkopo wa takribani TSh Milioni 400. Apewa Notice

Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.

Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.

Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Wewe mwanamke Bure kabisa ,mwanaume kudaiwa ni kawaida kabisa,kwanza kuwa na vigezo vya kukopesheka ni fahari,ukute wewe huna hata sifa za kukopa japo 1M Kwenye mabenki yetu,achana na mabenki hata kampuni za simu tu nako hukopesheki. I bet,Mimi tu songesha yangu nakopesheka 1M ,Mgodi 200K, achana na mabenki ambako naweza pata Hadi 40M,weka rekodi Yako tuone kama utanizidi.


Pongezi Kwa msukuma
 
Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.

Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.

Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Huyu mambo yake mengi anafanya kwa vibuyu sasa naona anaanza kwenda kombo.
 
Sasa wanamuandikia kiingereza, ameelewa kweli??? Si ni kumuonea tu... Sijui sheria zetu zikoje tu
ame employ wasidizi wasomi watamtafsiria kwa lugha yoyote anayoitaka, kiswahili, kisukuma, kinyamwezi etc 😀
 
Back
Top Bottom