DR VRM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 853
- 1,040
sorry nilikosea kuweka hii (?), nimesharekebisha mkuuUnaniuliza swali au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sorry nilikosea kuweka hii (?), nimesharekebisha mkuuUnaniuliza swali au?
Wachache ,ndio maana tunamcheka anayetucheka!Graduates wangapi mnakopesheka hata nusu ya hilo deni la Musukuma?
sorry nilikosea kuweka hii (?), nimesharekebisha mkuu
kwani sifa na collateral ya mikopo ni university degree?Wachache ,ndio maana tunamcheka anayetucheka!
Msukuma mwenyewe ana PhD ya 🙂🙂kwani sifa na collateral ya mikopo ni university degree?
🤣🤣🤣 Ila Simagunga kaacha legacy kwenye tasnia ya mabasi aiseee, jamaa wa Equity hawana hamu naye kabisa 🙌.Mambo za kawaida sana kwenye biashara .. kawaida sana...
Me nikajua inaenda kwenye B kumbe hicho cha mtoto..
Kuna mwamba wa Dar lux yeye alilamba kama B10 hivi ya Equity akapita hivi..
Mambo ya Biashara ni biashara siasa ni siasa....
Kama unaweza fanya biashara hizi siasa za Madawati na barabara ni urojo urojo sana
hawaja weka mabango kwente mitandao ya kijamii, hilo bango mwulize huyu https://www.jamiiforums.com/members/jidu-la-mabambasi.254481/Sawa mkuu ,kwa hiyo documents zako zinatakiwa kutembea na kusambazwa mitandaoni sababu umedefault?
mfanyabiashara ndiye mkopaji na hukopeshwi kama huna hela nduguUna pesa halafu unakopa?
Umesahau ni Dr?Sasa wanamuandikia kiingereza, ameelewa kweli??? Si ni kumuonea tu... Sijui sheria zetu zikoje tu
baada ya kutunukiwa PHD anamudu kila kitu cha kisomiUmesahau ni Dr?
Ndo hivyo😀baada ya kutunukiwa PHD anamudu kila kitu cha kisomi
Exactly 😀Ndo hivyo😀
Nani anajitolea kwenda kumsomea na kumtafsiria hiyo baruaGazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.
Mtu kudaiwa sio kosa la jinai, ni kawaida sana, na madeni ya watu yana kinga ya the right to privacy, naomba tuheshimu privacy za watu kudaiwa!.Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.
Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.
Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
dogo ana ujinga mwingi sana, cha ajabu huwa anaongea kwa kujiamini kama anaongea mambo ya maana kumbe ujinga tupuUkimkuta anamsema Tundu Lisu sasa mishipa inavyo msimama.
Kwa huu ujinga uliouandika Msukuma ataendelea kudharau wasomi. Madeni kwenye biashara ni kawaida sana. Hiyo Tsh 400m kwa mtu kama msukuma ni hela ndogo.Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.
Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.
Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Makodi ya ma vitalu watu wanarepiwa na serikali.... bado investment aliyomwaga hapo kuchimba.... na kwa muda gani ?Majuzi hapa mgodi wake WA dhahabu umetema, kauza si chini ya mil.600
Ila siasa mbaya!