Mbunge Joseph Kasheku Musukuma ashindwa kulipa mkopo wa takribani TSh Milioni 400. Apewa Notice

Mbunge Joseph Kasheku Musukuma ashindwa kulipa mkopo wa takribani TSh Milioni 400. Apewa Notice

kwani sifa na collateral ya mikopo ni university degree?
Msukuma mwenyewe ana PhD ya 🙂🙂
1739528846467.png
 
Mambo za kawaida sana kwenye biashara .. kawaida sana...

Me nikajua inaenda kwenye B kumbe hicho cha mtoto..

Kuna mwamba wa Dar lux yeye alilamba kama B10 hivi ya Equity akapita hivi..

Mambo ya Biashara ni biashara siasa ni siasa....

Kama unaweza fanya biashara hizi siasa za Madawati na barabara ni urojo urojo sana
🤣🤣🤣 Ila Simagunga kaacha legacy kwenye tasnia ya mabasi aiseee, jamaa wa Equity hawana hamu naye kabisa 🙌.
 
Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.
Nani anajitolea kwenda kumsomea na kumtafsiria hiyo barua
 
Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.

Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.

Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Mtu kudaiwa sio kosa la jinai, ni kawaida sana, na madeni ya watu yana kinga ya the right to privacy, naomba tuheshimu privacy za watu kudaiwa!.

Hizi ndizo hasara za kukopeshwa na vikampuni mshenzi, ukishindwa kulipa, ni kuaibishana!. Ukikopa benki, huwezi kukuta ujinga huu!.

P
 
Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.

Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.

Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Kwa huu ujinga uliouandika Msukuma ataendelea kudharau wasomi. Madeni kwenye biashara ni kawaida sana. Hiyo Tsh 400m kwa mtu kama msukuma ni hela ndogo.
 
Majuzi hapa mgodi wake WA dhahabu umetema, kauza si chini ya mil.600
Ila siasa mbaya!
Makodi ya ma vitalu watu wanarepiwa na serikali.... bado investment aliyomwaga hapo kuchimba.... na kwa muda gani ?

Mgodi umetema milioni 600... ngapi hapo faida ?
 
Back
Top Bottom