The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Huyu jamaa si alikuwa anawacheka wasomi hawana lolote eti yeye ni Darasa la saba lakini. Kumbe mali zote anadaiwaMimi namtizama kama mpambanaji
Halafu ukiona upo mwaka wa uchaguzi ukaona taarifa kama hizi basi jua kuna watu wananufaika na hii habari ndio walio fanya mpango iwekwe gazetini
Siasa zinamambo mengi nyuma ya pazia