Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaifishwa na kuharibiwa ili usilete magonjwa!.Hakuna muungano nchi hii, yule dada na ndizi zake wakamsumbua huko Zanzibar hata sijui kama alifanikiwa kuupata ule mzigo wake..
Vzur Sana kwa kuweka ukweli Mara nyingi Sana watu wanapotoshaHapana bnana kwa sukari kilo 5 sio kweli!!juzi juzi tu nimetoka unguja nimebeba kilo tano,na wengi tu walikuwa nazo cjaona hata mmoja akiulizwa juu ya kuilipia!!
Tatizo linawagusa hata wanzazibar, Mf ana TV yake anauza na mteja kapatikana bara.Mzanzibere siku hizi amekuwa mtetezi wa mtanganyika.pongezi kwa mzanzibere.
Hata mimi naamini hivyoZanzibar ni nchi
Tofauti ni kubwa sanaYaani mpaka leo mtu anaagiza TV zanzibar!?kwamba huku hamna?au bei?kwa tofauti gani
Hapana bnana kwa sukari kilo 5 sio kweli!!juzi juzi tu nimetoka unguja nimebeba kilo tano,na wengi tu walikuwa nazo cjaona hata mmoja akiulizwa juu ya kuilipia!!
Wazanzibar ni wabaguzi snKero ni Mzanzibari, kisiwa chenye idadi ya watu milioni 1, kuongoza Bara kwenye watu millioni 60. Tuanzie hapo kwanza.
kama nchi ni moja, kwanini kule kuna rais (sio Rais), pia watu wa bara hawaruhusiwi kununua/kumiliki ardhi kule wakati wao wanamiliki ardhi kwetu, kwanini wana chuki sana na wabara wakati wao ndio wanafaidika zaidi kuliko sisi wabara? au wanadeka?Haiwezekani mwananchi amesafiri kutoka Zanzibar na TV moja used anakuja kutumia nyumbani anafika Bara anaambiwa alipe kodi na hii ni nchi moja, akini anayetoka Morogoro kwenda Dar halipi kodi, lakini anayetoka Zanzibar kuja Bara alipe kodi, hii ni kero kubwa,"- Bakar Hamad
Alijibiwa namna gani?Haiwezekani mwananchi amesafiri kutoka Zanzibar na TV moja used anakuja kutumia nyumbani anafika Bara anaambiwa alipe kodi na hii ni nchi moja, akini anayetoka Morogoro kwenda Dar halipi kodi, lakini anayetoka Zanzibar kuja Bara alipe kodi, hii ni kero kubwa,"- Bakar Hamad
Kero haipo Zanzibar,ukienda zanzibar huulizwi kitu,ukirudi huku Kwa wachaga unakomeshwa.Ila Kwa vile una chuki imekujaa upumbavu umekufanya mpofu.KilKero ni Mzanzibari, kisiwa chenye idadi ya watu milioni 1, kuongoza Bara kwenye watu millioni 60. Tuanzie hapo kwanza.
AnalipishwaNa anae toa TV bara na kupeleka ZNZ vp nae analipishwa!!!?
Wazanzibar huwa hawana sudi na kero za wabara wanaoenda huko bali wao wanatoa kero zao na kutaka wanufaike zaidi na Muungano.Hakuna muungano nchi hii, yule dada na ndizi zake wakamsumbua huko Zanzibar hata sijui kama alifanikiwa kuupata ule mzigo wake..
Wafanye znz kua free port iwe dubai ya east africa tujue mojaAnalipishwa
Jambo kama halijakupata wewe usifikiri kwamba halipo.mradi umesikia watu wakilizungumzia jua lipo au lilikuwepo.Hapana bnana kwa sukari kilo 5 sio kweli!!juzi juzi tu nimetoka unguja nimebeba kilo tano,na wengi tu walikuwa nazo cjaona hata mmoja akiulizwa juu ya kuilipia!!