A
Acha kupotosha watu wewe,hata kama unaenda zanzibar kama una kitu ambacho kinaonekana labda umekinunua lazima ukilipie tu,itategemea na ukubwa wake,au wingi wake.HlMimi siku moja nimebeba cramping tool moja,na ninaenda kufanyia kazi huko,na nina vifaa vingine,ambavyo nilikuwa na barua ya TRA,havikuwa na shida,hii moja nilikuwa nimeibeba mkononi tu,nimefika unguja ZRA wakanikomalia ikawa inshu kubwa,wakati kwenye delivery note imo ila TRA,walisahau kuiandika!!Hadi boss wao ndio alikuja kuli solve!!,nimetoka unguja kwenda pemba nako wakakomaa!!lakini badaye wakaelewa!!!Inshu ikaja tena kwenye vifaa vilivyobakia baada ya kumaliza kazi kuvirudisha tena Dar,ikawa inshu,ila vilifika.Tuwe wakweli usumbufu ni mkubwa sana.Huo muungano unafaida kisiasa tu,lakini kiuchumi hapana.