Mbunge: Matuta yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa, yapunguzwe

Mbunge: Matuta yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa, yapunguzwe

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
tbc_online~p~CcNLCEUN__c~1.jpg

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!


===========================

MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME

Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:

“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.

"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.

“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."

 
View attachment 2183711

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!
Huenda bwana wake hapaform vizuri 6x6 hivyo sababu anayompa ni hiyo ya matuta kumrusharusha.

Usishangae sana huenda pia muhusika wake ni dereva hivyo anachokiongea atakuwa na uzoefu nacho sawa sawa.
 
View attachment 2183711

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!
Bila kiuno wanaume tusingeitwa wanaume. Mwache mwanamama atusemee changamoto zetu
 
Hahaha...

Huenda kiuno cha mumewe hali si hali
 
View attachment 2183711

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!
Hivi karibuni nilisikia marufuku ya watoto kupanda Boda Boda napo kuna madhara kwa hao watoto ??
 
Back
Top Bottom