Mbunge Miraji Mtaturu amponda Tundu Lissu, asema hata Mbowe alimshtukia Baada ya kupokelewa na WATU kiduchu. Adai amerudi alikotoka kimya kimya!

Mbunge Miraji Mtaturu amponda Tundu Lissu, asema hata Mbowe alimshtukia Baada ya kupokelewa na WATU kiduchu. Adai amerudi alikotoka kimya kimya!

Hiii ni mbaya

===

"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)

"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.

FqG7OX9WIAEAu0O
Mtaturu atulize mshono wenye jimbo wamerudi aache kulialia na kutafuta sympathy!!
 
Mbunge wa Singida Mashariki mh Miraji Mtaturu amesema Tundu Lisu amerejea alikokuwa kimya kimya Baada ya kuona Wana wa Ikungi wameshaachana na mambo ya Upinzani

Mtaturu amesema hata Mbowe alishangaa kukuta Wapinzani kiduchu Ikungi hali iliyofanya amuhiji Tundu Lisu " Ulisema Ikungi kuna Wapinzani Ndio hawa kiduchu?!!

Source Jambo tv
===
"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)


"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.
Mtaturu ni upinde abishe tumuumbue

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwani kuhoji visima sio sehemu ya maendeleo?
Acheni janja janja

Visima akahoji kwa Sabodo. Sabodo alitoa pesa shilingi ngapi?. Huyo amezidiwa mpaka ameanza kuropoka.
 
Mbunge wa Singida Mashariki mh Miraji Mtaturu amesema Tundu Lisu amerejea alikokuwa kimya kimya Baada ya kuona Wana wa Ikungi wameshaachana na mambo ya Upinzani

Mtaturu amesema hata Mbowe alishangaa kukuta Wapinzani kiduchu Ikungi hali iliyofanya amuhiji Tundu Lisu " Ulisema Ikungi kuna Wapinzani Ndio hawa kiduchu?!!

Source Jambo tv
===
"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)


"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.
Mwekezaji nae analia wana Ikungi wavivu sana wakipata pesa wanapotea kwenda kupiga majungu zikiisha wanarudi kibaruani mbunge ahimize wana Ikungi wafanye kazi sio kupiga Domo.
 
"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki
Huyu mzee anashida sana. Bora mbaki naye huko huko ccm
 
Mbunge wa Singida Mashariki mh Miraji Mtaturu amesema Tundu Lisu amerejea alikokuwa kimya kimya Baada ya kuona Wana wa Ikungi wameshaachana na mambo ya Upinzani

Mtaturu amesema hata Mbowe alishangaa kukuta Wapinzani kiduchu Ikungi hali iliyofanya amuhiji Tundu Lisu " Ulisema Ikungi kuna Wapinzani Ndio hawa kiduchu?!!

Source Jambo tv
===
"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)


"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.
Anajaribu kujikosha kwa wananchi 🤣🤣🤣 akae kwa kutulia hekaheka zinaanza rasmi 2025 hana chake maan hakuna tena mamb za ... nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa!!
 
Anajaribu kujikosha kwa wananchi 🤣🤣🤣 akae kwa kutulia hekaheka zinaanza rasmi 2025 hana chake maan hakuna tena mamb za ... nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa!!

Huyo kupewa ubunge kajiona wa maana.
 
Mbunge wa Singida Mashariki mh Miraji Mtaturu amesema Tundu Lisu amerejea alikokuwa kimya kimya Baada ya kuona Wana wa Ikungi wameshaachana na mambo ya Upinzani

Mtaturu amesema hata Mbowe alishangaa kukuta Wapinzani kiduchu Ikungi hali iliyofanya amuhiji Tundu Lisu " Ulisema Ikungi kuna Wapinzani Ndio hawa kiduchu?!!

Source Jambo tv
===
"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)


"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.
Too shallow kuzungumzwa na mtu wa aina yake
 
Mwambie huyu Mirija tunahitaji maendeleo sisi watanzania, hatumhitaji Lissu ok,

Shida yetu watanzania sio Lissu, Lissu wake huyo ni Mtanzania mwenzetu na kama amempenda amfuate ubelgiji, tuna shida nyingi aache uji***a
 
Huyu kapaniki kwenye jimbo la Ikungi Lissu anakubalika kuliko yeye,huyu mzee asipojiangalia 2025 Jimbo linarudi Chadema,Sehemu za Ikungi,Puma,Mungaa,Siuyu ,Misughaa na Ntutu ndani ndani huko bado wanamkubali Lissu
 
Back
Top Bottom