Mbunge Mohammed Issa aliyesema yeye si Mtanzania, kwanini bado yupo Bungeni?

Mbunge Mohammed Issa aliyesema yeye si Mtanzania, kwanini bado yupo Bungeni?

Siwezi kupata jibu la haraka ku'counter' hii.
Na ndiyo sababu hata Tume, Kamati na Magenge hayakuweza ku 'counter' maoni ya Wananchi juu ya serikali 3.
Hii inaeleza kitu kimoja , kwamba structure ya Muungano haikuwa sawa.

Mwalimu Nyerere alishindwa pia kuikwepa dhana ya Serikali 3. Wakati wa sakata la Aboud Jumbe, Mwl aliitisha Mkutano na alisema haya '' Ninyi Wazanzibar nani kawaambia 1+1= 3?'' akaeleza 1+1=2
Hapa Mwalimu aslishindwa kwasababu hiyo 2 inakuaje? Moja ni Zanzibar ya pili haiwezi kuwa Tanzania.

Serikali ya Rais SSH nayo imeshindwa kueleza kile kile alichoshindwa Mwl.
Hivi inawezekanaje kukawa na '' MoU' au makubaliano ya Nishati kati ya Wizara ya Nishati ya JMT na Nishati SMZ?

Zimwi hilo hilo limemwandama Rais SSH wakati wa sakata la bandari na DP. Rais anaulizwa ikiwa alisaini mkataba na DP kwa niaba ya JMT mbona bandari za Zanzibar hazipo? Hakuna aliyeweza kujibu kwasababu hizi
1. Foreign affairs ni suala la Muungano
2. SMZ iliondoa bandari ''unilaterally' bila kushirikisha JMT! Je walifanya makosa, jibu ni hapana kwasababu aliyepaswa kushauriana naye ni Tanganyika anayeiytwa Tanzania ambaye Zanzibar yumo.

Zimwi hilo linaiandama '' Michezo'' Wazanzibar kwa mapungufu ya uelewa wanadhani TFA inakataa Zanzibar isishiriki mashindano kana nchi. Huu ni uongo na upuuzi unaonezwa na kundi la OMO kwasababu TFA haifaidiki na chochote.
Lakini sheria zinasemaje kuhusu ushiriki wa nchi? Je, Zanzibar ni nchi katika uso wa kimataifa?
Wanokataa si TFA ni CAF na FIFA for Technical reasons lakini wenzetu kidogo kuna tatizo, wanahitaji maktaba nyingi

Bila kurekebisha structure ya Muungano (kama Zanzibar wanautaka) tutenedelea na hali hii
1. Kelele za kipuuzi za nataka, nipewe, namimi zikiitwa kero
2. Tukutane EAC kama majirani wema, Tanganyika has nothing to worry or lose

Labda niseme tu: nani aliyezuia utekelezaji wa matokeo ya hizi tume, na kwa maslahi gani?
CCM na Serikali zake! hwever chicken are coming home to roost. Muungano ni pasua kichwa kwa Rais SSH kwasababu hali ya Muungano ni mbaya sana. SSH alikuwa ndani ya mfumo, hakuzungumza wakati huo.
Akizuia wimbi la Tanganyika, her nomination for 2nd term is in jeopard, hata CCM wameanza kuuona ukwe
Kwa hawa kuishi Tanganyika ni hatua dhahiri ya wao kuukubali muungano. Sasa nasi tunataka kuungana na akina OMO, kundi dogo kabisa kudidimiza ndoto za uTanzania wao. Tumeungana na CCM na kikundi hiki cha sultani kuukata muungano, badala ya kuwatia moyo kwa kuunda serikali moja chini ya nchi yao moja.
Hawa Wazanzibar wanaoishi Tanganyika ni kwa masilahi tu. Kwani hukumsikia Mbunge wa ACT Wazalendo ya OMO na Jussa akiukana Utanzania! kwamba yeye si mtanzania wakati analipwa kila kitu hadi bili ya umeme ya wake zake na Tanganyika. Ukiwa na wapuuzi kama wale 100 tu ni tabu sana ! sasa angalia OMO company wapo wangapi.

Tutakwenda Zanzibar kwa passport, lakini watupishe katika mambo yetu! period.
Sisi pia hatutakuwa tofauti na hawa CCM, na kundi la OMO na Jussa.
Tupo tofuati, tunatafuta long lasting solution siyo kuweka viraka.
Labda turejee huko nyuma, sababu za muungano wetu zilikuwa hasa ni zipi, ingawaje huko pia ni zilezile zinazoegemea kwa Zanzibar zaidi kuliko kwa Tanganyika.
Sababu zilikuwa security ya Nyerere and Karume, ilikuwa nipenikupe. Sababu hizo hazipo tena
Usalama upi wakati USA wana Marine base kubwa sana Mombasa katika bahari ya Hindi?
Usalama upi wakati China wanavua samakai Mafia na hatujui
Usalama upi wakati Iran anaweza kutuma drone zikapiga kambi za Israel
 
Niliwahi kusema nchi hii tuna mifumo dhaifu sana, yaani kiongozi tena mbunge anakana uraia na bado yuko bungeni anachukua na posho za Watanzania alio wakana.
 
Niliwahi kusema nchi hii tuna mifumo dhaifu sana, yaani kiongozi tena mbunge anakana uraia na bado yuko bungeni anachukua na posho za Watanzania alio wakana.
Hayo ndio maajabu ya Musa. sijui kwa sisi ambao hatuko humo Bungeni tutumie utaratibu gani ili kumlazimisha Speaker kumuondoa huyo aliyejikana kwamba si Mtanzania.
 
Mwalimu Nyerere alishindwa pia kuikwepa dhana ya Serikali 3. Wakati wa sakata la Aboud Jumbe, Mwl aliitisha Mkutano na alisema haya '' Ninyi Wazanzibar nani kawaambia 1+1= 3?'' akaeleza 1+1=2
Hapa Mwalimu aslishindwa kwasababu hiyo 2 inakuaje? Moja ni Zanzibar ya pili haiwezi kuwa Tanzania.
Imenifanya nicheke kusoma haya ya Mwalimu Nyerere. Sina kumbukumbu kama niliwahi kuyasoma au kuyasikia; lakini naelewa 'phylosophical approach' za Mwalimu Nyerere katika kueleza baadhi ya mambo yasiyoelezeka kirahisi.

Nielewavyo binafsi, ni kwamba hali hiyo ya serikali mbili lilikuwa ni swala la muda (mpito) kuelekea kwenye serikali moja.
Nadhani alichoshindwa kutabiri Mwalimu Nyerere wakati huo ni kuwa kutatokea uongozi legelege ndani ya CCM, wasiokuwa na uwezo wa kuufikisha muungano kwenye hatua walizokuwa wamelenga wao toka mwanzo.
Na katika kushindwa kwa Mwalimu, katika kueleza hiyo 1 + 1 = 3, ni wazi hakuamini katika muungano utakaozalisha serikali tatu.
Ningeshukuru sana angekuwa muwazi tu, na kueleza lengo lilililo tegemewa, la kuwepo na serikali moja tu, ya muungano.
Hawa Wazanzibar wanaoishi Tanganyika ni kwa masilahi tu. Kwani hukumsikia Mbunge wa ACT Wazalendo ya OMO na Jussa akiukana Utanzania! kwamba yeye si mtanzania wakati analipwa kila kitu hadi bili ya umeme ya wake zake na Tanganyika. Ukiwa na wapuuzi kama wale 100 tu ni tabu sana ! sasa angalia OMO company wapo wangapi.
hapana, hili ndilo nililokusihi ulitzame upya toka huko mwanzo wa mjadala huu. Kwani hapawezi kuwepo wazanzibar, kama walivyo wasukuma wakakubali kuwa wao ni waTanzania?. Sawa, hata kama ni msukumo wa maslahi, hawa wamasai walioenea kila sehemu kutafuta maisha na machungio ya mifugo yao, si na wao wanatafuta fursa vilevile ndani ya nchi yao.
hawa waZanzibari waliokuja huku Tanganyika, hawa ndio wangekuwa watu wa kuwasemea ili muungano huu ufane na kila raia wa nchi hii afaidike bila kujali alipo.
 
Imenifanya nicheke kusoma haya ya Mwalimu Nyerere. Sina kumbukumbu kama niliwahi kuyasoma au kuyasikia; lakini naelewa 'phylosophical approach' za Mwalimu Nyerere katika kueleza baadhi ya mambo yasiyoelezeka kirahisi.
Sikusimuliwa nimeyasikia. Baada ya A.Jumbe kutimuliwa CCM walikuja na 'slogan' iliyosema '' kuchafuka kwa hali ya hewa visiwani''. Ni wakati huo akina Marhmu Maalim Seif, Shaaban Mloo, Ramadhani Faki wakipita katika mtihani mgumu na Rais alikuwa Abdul Wakili Nombe. Katika ku address hali ndipo Mwl alitoa hotuba akisema '' ... Ninyi Wazanzibar nani kawaambia 1+1=3? Nina uhakika Pascal Mayalla au JokaKuu watanisahihisha ikiwa si kweli!
Na katika kushindwa kwa Mwalimu, katika kueleza hiyo 1 + 1 = 3, ni wazi hakuamini katika muungano utakaozalisha serikali tatu.
Mwalimu aliamini katika serikali 3, ushahidi ni Katiba ya 1977 . Mwl alikuwa madarakani na katiba inasema kutakuwa na SMZ na JMT ambayo itashughulikia pia mambo ya Tanzania Bara.
Hii Tanzania bara ndiyo lugha ya Mwalimu hata zamani akisema 'Tanzania Viswiani''

Ushahidi wa pili ni alipowaambia G55 madai yao hayakuwa sera ya CCM.
Hofu ya Mwalimu ilikuwa kumeguka kwa Taifa kama ilivyokuwa Russia ya Boris Yetsin na Grobachev.

Mwalimu hakuwaambia G55 ni wahani! aliwasikiliza hakujibu hoja, alitumia ''Technical knockout' kuzima hoja.

Ushahidi wa 4, ni Mwl aliyepiga marufuku vyama vingi na ni yeye aliyeongoza 'remotely' kurejeshwa kwake.
Katika hali ya sasa sidhani angekubali kusikia upuuzi wa passport akae kimya.
In fact wakati wa A.Mwinyi Wazanzibar walilazimika kuondoa passport na Mwl aliridhia hilo bila kupepesa
Ningeshukuru sana angekuwa muwazi tu, na kueleza lengo lilililo tegemewa, la kuwepo na serikali moja tu, ya muungano.
Mwl alielewa ni 'impossible' lakini alitarajia baada ya mwingiliano mkubwa lingeweza kuttokea.
Kwani hapawezi kuwepo wazanzibar, kama walivyo wasukuma wakakubali kuwa wao ni waTanzania?.
Hapana hawakubali kwasababu Uzanzibar ni ubora . Ndg yangu hukumsikia yule mpuuzi wa ACT Wazalendo aliyeukana Utanzania. Wale sasa ndio Team OMO , unapokuwa na nusu yao Zanzibar unategemea nini!
Sawa, hata kama ni msukumo wa maslahi, hawa wamasai walioenea kila sehemu kutafuta maisha na machungio ya mifugo yao, si na wao wanatafuta fursa vilevile ndani ya nchi yao.
Hapana Wazanzibar hawatafuti fursa ndani ya nchi yao, wapo Tanganyika. Nchi yao ni Zanzibar ndio maana hata upuuzi wa passport na kuukana Utanzania umekaliwa kimya na Viongozi wa ACT, SMZ na JMT.

Ukienda Kigoma utakuta makabila yote tena wakiwa na mashamba na hawana mpango wa kuondoka. Ndivyo ilivyo kule Handeni, Mkuranga, Tunduru, na Kijijini kwetu Katindiuka na Mjasani. Yaani kuna raha fulani kwamba popote pale ndani ya Tanganyika awaye ni raia huru. Huu upuuzi na ushenzi wa passport na kuukana Utanzania ni Utamaduni wao. Please note, ushenzi si tusi ni kukosa ustaarab au ''uncivilized'' .

Yule mpuuzi wa passport ni mshenzi yupo Dodoma, analipwa kujadili hata yasiyomhusu akirudi Zanzibar ana post Bill ya umemeTanganyika baada ya starehe zake za kifamilia halafu anaukana Utanzania na anataka passport. kwa Wafadhili wanampa asali na maziwa kupitia mfuko wa jimbo. Ni ushenzi tu hauna jina jingine
hawa waZanzibari waliokuja huku Tanganyika, hawa ndio wangekuwa watu wa kuwasemea ili muungano huu ufane na kila raia wa nchi hii afaidike bila kujali alipo.
Hakuna anayelaani kauli tunazosikia Dodoma kuanzia Viongozi wa CCM, ACT Wazalendo, SMZ na JMT
Laiti angesema Tundu au Mbowe ungesikia. Hawa Wazanzibar wanaokula maziwa na asali kimya chao kina price!
 
Mtu anakana bila adhabu, ni ajabu sana, hawa jamaa wanapigania sana kuuvunja Muungano na kuirudisha nchi yao ya Zanzibar. Huku Tanganyika bado tuko fofofo tu, sijui tutaamka lini?
Wavunje muungano halafu tuwatawale kwa mabavu kama koloni la Tanganyika!!
 
'' ... Ninyi Wazanzibar nani kawaambia 1+1=3? Nina uhakika Pascal Mayalla au JokaKuu watanisahihisha ikiwa si kweli!

Mwalimu aliamini katika serikali 3, ushahidi ni Katiba ya 1977 . Mwl alikuwa madarakani na katiba inasema kutakuwa na SMZ na JMT ambayo itashughulikia pia mambo ya Tanzania Bara.
Mkuu Nguruvi3 , you are right on 1+1 ila kwenye idadi ya serikali, Mwalimu ni muumini wa serikali moja!. Tulipoungana ulishauri serikali mbili ili tusionekane Tanganyika imeimeza Zanzibar, ila tulipoungasha vyama ile 1977 na kuzaliwa kwa CCM, tuliendelea na serikali mbili kuelekea kwenye serikali moja!. Na sasa kwasababu rais anatoka Zanzibar, this is the most opportune moment kwenda kwenye serikali moja!. Tumeisha mshauri Rais Samia Je, umefika wakati kutimiza Uzalendo wa kweli wa kwenda kwenye Serikali moja?

Serikali moja pia nimeishauri hapa Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!"

Umbo la katiba ya Warioba ni umbo la serikali 3, hivyo nilitoa Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha Maumbile!

Na hapa nilikishauri CCM Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili ndio utauvunja Muungano

Solution ya kweli na ya kudumu ya matatizo yote ya muungano ni serikali moja!.

P.
 
Mkuu Nguruvi3 , you are right on 1+1 ila kwenye idadi ya serikali, Mwalimu ni muumini wa serikali moja!. Tulipoungana ulishauri serikali mbili ili tusionekane Tanganyika imeimeza Zanzibar, ila tulipoungasha vyama ile 1977 na kuzaliwa kwa CCM, tuliendelea na serikali mbili kuelekea kwenye serikali moja!. Na sasa kwasababu rais anatoka Zanzibar, this is the most opportune moment kwenda kwenye serikali moja!. Tumeisha mshauri Rais Samia Je, umefika wakati kutimiza Uzalendo wa kweli wa kwenda kwenye Serikali moja?

Serikali moja pia nimeishauri hapa Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!"

Umbo la katiba ya Warioba ni umbo la serikali 3, hivyo nilitoa Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha Maumbile!

Na hapa nilikishauri CCM Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili ndio utauvunja Muungano

Solution ya kweli na ya kudumu ya matatizo yote ya muungano ni serikali moja!.

P.
Kusema jambo la serikali moja ni kuwachokoza wanaokana kwamba wao sio Watanzania kutokea ule upande wa visiwani. Hili la kuwachokoza umeliwazia au umebandika tu " Serikali moja"? Hawa watu hawataki kuchokozwa wao ni Zanzibar tu, haya ya Muungano hawataki kuyasikia.

Kwa sasa:

-Mara wanajaribu kila kitu, mara njooni na Passport- wakibanwa sana wanasema hawakumaanisha hivyo.
-Mara wanakuja na kauli ya wao sio watanzania- na tuone Bunge/serikali itawafanya nini?
-wanajaribu kila mbinu - ili mradi tu Zanzibar ijichomoe humo kwenye Muungano.
-Mwisho wakishindwa, watafanya mengine ya hatari zaidi na bado hawatafanywa kitu.

Ifike mahali mamlaka itoe kauli, kwamba kama mtu ni kiongozi, yumo kwenye chombo cha kutunga sheria, halafu anakana kwamba hastari kuwemo humo ( Principel ya legal estoppel) maana yake ni kwamba hata hizo sheria zote alizoshiriki kutunga ni batili ab nitio. Haya ndio madhara makubwa zaidi ya kumyamazia huyi Mbunge.

Hatuwezi kutungiwa sheria na wanyarwanda wa visiwani maana ili uwe Mbunge, kigezo mojawapo ni Uraia, na yeye kakana na hata kwenye Hansard ipo, au landa waifute. Ipo siko wanasheria watenda mahakamani na kuitumia hiyo kauli yake kubadilisha vifungu vyote vya sheria vilivyo pitishwa na huyu Mbunge na mahakama itakubali bila ajizi, na hili hawa viongozi wa Bunge hawalioni labda mpaka wavae miwani...
 
Sikusimuliwa nimeyasikia. Baada ya A.Jumbe kutimuliwa CCM walikuja na 'slogan' iliyosema '' kuchafuka kwa hali ya hewa visiwani''. Ni wakati huo akina Marhmu Maalim Seif, Shaaban Mloo, Ramadhani Faki wakipita katika mtihani mgumu na Rais alikuwa Abdul Wakili Nombe. Katika ku address hali ndipo Mwl alitoa hotuba akisema '' ... Ninyi Wazanzibar nani kawaambia 1+1=3? Nina uhakika @Pascal Mayalla au @JokaKuu watanisahihisha ikiwa si kweli!
Sikuhoji kuhusu "kuwa kweli au kutokuwa kweli" ya jambo hili la Mwl. kusema 1 + 1 = 3; inawezekana jambo hilo lilinipita pembeni, au nimelisahau tu! Kwa hiyo sitilii mashaka unayozungumzia wewe hapa. Sote tulikuwepo na tuliyashuhudia na kuelewa kilichokuwa kikiendelea wakati huo.
Hapana hawakubali kwasababu Uzanzibar ni ubora . Ndg yangu hukumsikia yule mpuuzi wa ACT Wazalendo aliyeukana Utanzania. Wale sasa ndio Team OMO , unapokuwa na nusu yao Zanzibar unategemea nini!
'Hardline position' ya namna hii hapa ndipo tunapopishana kabisa wewe na mimi, kwa bahati mbaya sana; kwani kwa mengine yote karibu tupo pamoja.
Basi tukubali kutokubaliana juu ya hili. Naelewa vizuri sana kuhusu baadhi ya waZanzibari kujiona kuwa bora kwa uZanzibari wao. Huu ni upuuzi, ujinga, upumbavu; ambao huwezi kuhusisha watu wote katika jamii nzima. Hata katika makundi hayo niliyoyataja hapo, hao wajinga kuna siku wataelewa ujinga wao ulipo muungano ukisharekebisha akili zao. Wapumbavu wataendelea hivyo hivyo, lakini ni jamii gani isiyokuwa na watu aina hiyo? Hii ndiyo iwe sababu ya kuharibu kila kitu kwa sababu wapumbavu hawawezi kuelimishwa?
Hakuna anayelaani kauli tunazosikia Dodoma kuanzia Viongozi wa CCM, ACT Wazalendo, SMZ na JMT
Laiti angesema Tundu au Mbowe ungesikia. Hawa Wazanzibar wanaokula maziwa na asali kimya chao kina price!
Hili nimelielezea mara kadhaa humu tokea tuanze mjadala huu. Hakuna kiongozi yeyote toka CCM, visiwani au huku Tanganyika aliyesema jambo juu ya hili; wala Kikwete humsikii, yupo kimya kama hakuna lililotokea. Tuwalaumu hawa, siyo mtu (mZanzibari) aliyeko Mkuranga, au hata Bakresa mwenyewe apande juu ya majukwaa na kusemea jambo la aibu kama hili. Walaumu hao viongozi toka kwa Samia hadi akina Kinana na wengine wote katika ngazi yoyote ile na siyo hao unaowaangushia lawama. Na naomba unielewe vizuri, maanake hapa tunaweza kutoelewana kwa jambo dogo sana. Sisemi popote humu, kwamba hata kati ya hao waZanzibari waliohamia huku (kwa kutafuta fursa ndani ya nchi yao), sisemi kuwa hakuna baadhi wenye hizo tabia tusizozitaka sote, za kujiona wao ni bora zaidi ya waTanganyika. Lakini hili sote hatulijui, mpaka hapo watakapojibainisha wenyewe. Lakini tendo lao la kuamini kuwa fursa zipo Tanganyika, fursa zinazotokana na muungano, hii ni nafasi nzuri ya kuanzia kuimarisha muungano wetu kwa kuwa na serikali moja inayotuweka sote pamoja.

Tusikuze zaidi mambo yanayotutenganisha, tujaribu iwezekanavyo kuimarisha yale yanayotuweka pamoja kama raia wa nchi moja.
 
Solution ya kweli na ya kudumu ya matatizo yote ya muungano ni serikali moja!.
Huenda ni bahati yangu mbaya tu, mara nyingi huwa nakutana na maandiko toka kwako ambayo huwa yananivuruga akili na kunifanya hata maandiko mazuri nisiyaone, kama haya uliyotaja hapa kwenye andiko hili la leo.

Na kwa vile wewe umo humo ndani ya CCM, na ni (influencer?)..., sasa sijui ni nani huko ndani ya Chama anayeweza kukusikiliza wewe!

Huu muungano Samia anaumaliza kabisa, na hakuna wa kumzuia huko ndani ya chama.
 
View attachment 2991526

Mbunge anasema na au anakana kwamba yeye si Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “Mtanzania”.

Sasa Humo Bungeni anafanya nini?

Hatuna Nchi inayoitwa Zanzibar wala nchi ya Tanganyika. Tuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, “ Tanzania”

Sasa kama yeye ni Mzanzibar na hatuna nchi hiyo, humo ndani kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anafanya nini? Kiti cha Speaker kingefaa kimtoe nje pale pale kwa kauli yake mwenyewe kwamba hapokei taarifa ya yeye ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiti cha Speaker mumepwaya sana maana, Hatuna dual nationality, tuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mtu anasema na anakana kwamba yeye sio Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( Principle of legal estoppel), sasa kwa nini aendelee kuwemo humo Bungeni?
Hatuna dual nationality, hakuna raia wa Burundi, Rwanda au nchi ya “Zanzibar” anayeweza kuwemo Humo Bungeni.

Ni Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee anayeweza kukaa humo, vinginevyo ni magumashi tu, bila chenga chenga na mkosi ni Mkosi tu- Haijalishi unatokea wapi.

Povu ruksa bila Matusi.


 
Bunge la Tanzania halafu ndani ya Bunge hilo yupo mbunge ambaye anakana wazi wazi kuwa yeye siyo raia wa Tanzania. Na hii taarifa inaingia kwenye hansard. Na hao viongozi wa nchi wanamchekea tu huyu bwege. Hii ni hatari

Tunaelekea kwenye "state of anarchy" wallah

Hilo si bunge la Tanzania , ni bunge la Magufuli
 
Na ndiyo sababu hata Tume, Kamati na Magenge hayakuweza ku 'counter' maoni ya Wananchi juu ya serikali 3.
Hii inaeleza kitu kimoja , kwamba structure ya Muungano haikuwa sawa.

Mwalimu Nyerere alishindwa pia kuikwepa dhana ya Serikali 3. Wakati wa sakata la Aboud Jumbe, Mwl aliitisha Mkutano na alisema haya '' Ninyi Wazanzibar nani kawaambia 1+1= 3?'' akaeleza 1+1=2
Hapa Mwalimu aslishindwa kwasababu hiyo 2 inakuaje? Moja ni Zanzibar ya pili haiwezi kuwa Tanzania.

Serikali ya Rais SSH nayo imeshindwa kueleza kile kile alichoshindwa Mwl.
Hivi inawezekanaje kukawa na '' MoU' au makubaliano ya Nishati kati ya Wizara ya Nishati ya JMT na Nishati SMZ?

Zimwi hilo hilo limemwandama Rais SSH wakati wa sakata la bandari na DP. Rais anaulizwa ikiwa alisaini mkataba na DP kwa niaba ya JMT mbona bandari za Zanzibar hazipo? Hakuna aliyeweza kujibu kwasababu hizi
1. Foreign affairs ni suala la Muungano
2. SMZ iliondoa bandari ''unilaterally' bila kushirikisha JMT! Je walifanya makosa, jibu ni hapana kwasababu aliyepaswa kushauriana naye ni Tanganyika anayeiytwa Tanzania ambaye Zanzibar yumo.

Zimwi hilo linaiandama '' Michezo'' Wazanzibar kwa mapungufu ya uelewa wanadhani TFA inakataa Zanzibar isishiriki mashindano kana nchi. Huu ni uongo na upuuzi unaonezwa na kundi la OMO kwasababu TFA haifaidiki na chochote.
Lakini sheria zinasemaje kuhusu ushiriki wa nchi? Je, Zanzibar ni nchi katika uso wa kimataifa?
Wanokataa si TFA ni CAF na FIFA for Technical reasons lakini wenzetu kidogo kuna tatizo, wanahitaji maktaba nyingi

Bila kurekebisha structure ya Muungano (kama Zanzibar wanautaka) tutenedelea na hali hii
1. Kelele za kipuuzi za nataka, nipewe, namimi zikiitwa kero
2. Tukutane EAC kama majirani wema, Tanganyika has nothing to worry or lose


CCM na Serikali zake! hwever chicken are coming home to roost. Muungano ni pasua kichwa kwa Rais SSH kwasababu hali ya Muungano ni mbaya sana. SSH alikuwa ndani ya mfumo, hakuzungumza wakati huo.
Akizuia wimbi la Tanganyika, her nomination for 2nd term is in jeopard, hata CCM wameanza kuuona ukwe

Hawa Wazanzibar wanaoishi Tanganyika ni kwa masilahi tu. Kwani hukumsikia Mbunge wa ACT Wazalendo ya OMO na Jussa akiukana Utanzania! kwamba yeye si mtanzania wakati analipwa kila kitu hadi bili ya umeme ya wake zake na Tanganyika. Ukiwa na wapuuzi kama wale 100 tu ni tabu sana ! sasa angalia OMO company wapo wangapi.

Tutakwenda Zanzibar kwa passport, lakini watupishe katika mambo yetu! period.

Tupo tofuati, tunatafuta long lasting solution siyo kuweka viraka.

Sababu zilikuwa security ya Nyerere and Karume, ilikuwa nipenikupe. Sababu hizo hazipo tena
Usalama upi wakati USA wana Marine base kubwa sana Mombasa katika bahari ya Hindi?
Usalama upi wakati China wanavua samakai Mafia na hatujui
Usalama upi wakati Iran anaweza kutuma drone zikapiga kambi za Israel

Hayo yote uliyoyaandika unajifanya huelewi kuwa Tanganyika imelivaa koti la muungano.

Zanzibar haiwezi hata kukopa pesa lazima ije kupata ruhusa kwa Tanganyika iliyovaa koti la muungano

Hakuna anayepata umeme wa bure Zanzibar labda huyo kijana wenu wa Mkuranga . Sote tunanunua Luku.
 
Huenda ni bahati yangu mbaya tu, mara nyingi huwa nakutana na maandiko toka kwako ambayo huwa yananivuruga akili na kunifanya hata maandiko mazuri nisiyaone, kama haya uliyotaja hapa kwenye andiko hili la leo.
Ni kawaida baadhi ya watu kuwa na apathy na mtu fulani, ukiishakuwa na apathy, huyo mtu hata afanye mazuri vipi, huwezi kuyaona!, na ndivyo ilivyotokea kwa JPM, kuna watu wanaona udikiteta wake tuu, lakini mazuri yake hawayaoni.
Wakati naendesha kipindi cha Kiti Moto, kuna jamaa akasema nikitokea tuu ana zima TV!.
Na kwa vile wewe umo humo ndani ya CCM, na ni (influencer?)..., sasa sijui ni nani huko ndani ya Chama anayeweza kukusikiliza wewe!
Japo mimi ni mwana CCM, lakini siko ndani ya CCM!, mimi sio insider, hivyo sina any influence yoyote na hakuna wa kunisikiliza, ila uzuri wangu mmoja, ni I always speak out my mind, atakayesikia, na asikie, na kila nikishauri jambo, pia huwa naweka na the consequences za kupuuza ushauri huo, hizo consequences zikitokea, kazi yangu ni kukumbushia tuu, nilishauri nini na lini, na matokeo ni nini!, "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
Huu muungano Samia anaumaliza kabisa, na hakuna wa kumzuia huko ndani ya chama.
Kwanza kwa nature ya CCM hakuna mtu wa kumbishia Mwenyekiti jambo lolote, ila kuna waliomzunguka kuna vitu wanaviona, hawawezi kumshauri kwa kumuogopa!. Kwa upande wangu, kuna vitu vinavyohitaji intellect ya level fulani, Rais Samia, lazima asaidiwe na watu kutoka nje ya waliomzunguka, mfano mzuri ni madudu ya ile IGA ya DPW na Bandari zetu, waliomzunguka wote wanampoteza!, serikali na Bunge wamepotosha!, akina sisi tukawauleza ukweli, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! ile HGA iliachana na madudu ya IGA!.

Sasa ni kila mtu anamuimbia wimbo wa mitano tena!, washauri huru tupo na tumeisha mshauri hapa kwenye HII

P
 
Na ndiyo sababu hata Tume, Kamati na Magenge hayakuweza ku 'counter' maoni ya Wananchi juu ya serikali 3.
Hii inaeleza kitu kimoja , kwamba structure ya Muungano haikuwa sawa.

Mwalimu Nyerere alishindwa pia kuikwepa dhana ya Serikali 3. Wakati wa sakata la Aboud Jumbe, Mwl aliitisha Mkutano na alisema haya '' Ninyi Wazanzibar nani kawaambia 1+1= 3?'' akaeleza 1+1=2
Hapa Mwalimu aslishindwa kwasababu hiyo 2 inakuaje? Moja ni Zanzibar ya pili haiwezi kuwa Tanzania.

Serikali ya Rais SSH nayo imeshindwa kueleza kile kile alichoshindwa Mwl.
Hivi inawezekanaje kukawa na '' MoU' au makubaliano ya Nishati kati ya Wizara ya Nishati ya JMT na Nishati SMZ?

Zimwi hilo hilo limemwandama Rais SSH wakati wa sakata la bandari na DP. Rais anaulizwa ikiwa alisaini mkataba na DP kwa niaba ya JMT mbona bandari za Zanzibar hazipo? Hakuna aliyeweza kujibu kwasababu hizi
1. Foreign affairs ni suala la Muungano
2. SMZ iliondoa bandari ''unilaterally' bila kushirikisha JMT! Je walifanya makosa, jibu ni hapana kwasababu aliyepaswa kushauriana naye ni Tanganyika anayeiytwa Tanzania ambaye Zanzibar yumo.

Zimwi hilo linaiandama '' Michezo'' Wazanzibar kwa mapungufu ya uelewa wanadhani TFA inakataa Zanzibar isishiriki mashindano kana nchi. Huu ni uongo na upuuzi unaonezwa na kundi la OMO kwasababu TFA haifaidiki na chochote.
Lakini sheria zinasemaje kuhusu ushiriki wa nchi? Je, Zanzibar ni nchi katika uso wa kimataifa?
Wanokataa si TFA ni CAF na FIFA for Technical reasons lakini wenzetu kidogo kuna tatizo, wanahitaji maktaba nyingi

Bila kurekebisha structure ya Muungano (kama Zanzibar wanautaka) tutenedelea na hali hii
1. Kelele za kipuuzi za nataka, nipewe, namimi zikiitwa kero
2. Tukutane EAC kama majirani wema, Tanganyika has nothing to worry or lose


CCM na Serikali zake! hwever chicken are coming home to roost. Muungano ni pasua kichwa kwa Rais SSH kwasababu hali ya Muungano ni mbaya sana. SSH alikuwa ndani ya mfumo, hakuzungumza wakati huo.
Akizuia wimbi la Tanganyika, her nomination for 2nd term is in jeopard, hata CCM wameanza kuuona ukwe

Hawa Wazanzibar wanaoishi Tanganyika ni kwa masilahi tu. Kwani hukumsikia Mbunge wa ACT Wazalendo ya OMO na Jussa akiukana Utanzania! kwamba yeye si mtanzania wakati analipwa kila kitu hadi bili ya umeme ya wake zake na Tanganyika. Ukiwa na wapuuzi kama wale 100 tu ni tabu sana ! sasa angalia OMO company wapo wangapi.

Tutakwenda Zanzibar kwa passport, lakini watupishe katika mambo yetu! period.

Tupo tofuati, tunatafuta long lasting solution siyo kuweka viraka.

Sababu zilikuwa security ya Nyerere and Karume, ilikuwa nipenikupe. Sababu hizo hazipo tena
Usalama upi wakati USA wana Marine base kubwa sana Mombasa katika bahari ya Hindi?
Usalama upi wakati China wanavua samakai Mafia na hatujui
Usalama upi wakati Iran anaweza kutuma drone zikapiga kambi za Israel


Haya maneno yako ni super


2. Tukutane EAC kama majirani wema, Tanganyika has nothing to worry or lose


SAWASAWA KABISA , HADITHI IMALIZIKE YA KUONYESHANA VIDOLE VYA MACHO
 
Acha kuleta siasa humu jukwaani! Maendeelo gani yamepatikana kwa sababu ya muungano na kwamba bila muunganio hayo yasingekuwepo?
Miongoni mwa faida za muungano ni;
1; Utulivu na Amani.
2; Kuwajibika kwa Pamoja.
3; Maendeleo ya Kiuchumi.
4; Ulinganifu wa Rasilimali.
5; Utambulisho wa Kitaifa.

utulivu na amani vikianza kukosekana ni dalili ya muungano kuchokwa . Moja ya matarajio ya mwalimu Nyerere kwenye muungano ilikuwa ni umoja na mshikamano.

Kuna picha inayojengeka kutokana na mazungumzo ya mjumbe kutoka kisiwani, kuwa hawaoni faida ya muungano. kama kuna uwezekano wa kusitisha kwa muda, kisha tukaja kujadiliana tena ingependeza zaidi ,maana ndoa zenyewe kuna talaka Muungano unaweza usiwe kama ndoa, na unaweza kuwa kama ndoa, japokuwa sio ndoa.
 
Acha kuleta siasa humu jukwaani! Maendeelo gani yamepatikana kwa sababu ya muungano na kwamba bila muunganio hayo yasingekuwepo?
Miongoni mwa faida za muungano ni;
1; Utulivu na Amani.
2; Kuwajibika kwa Pamoja.
3; Maendeleo ya Kiuchumi.
4; Ulinganifu wa Rasilimali.
5; Utambulisho wa Kitaifa.

utulivu na amani vikianza kukosekana ni dalili ya muungano kuchokwa . Moja ya matarajio ya mwalimu Nyerere kwenye muungano ilikuwa ni umoja na mshikamano.

Kuna picha inayojengeka kutokana na mazungumzo ya mjumbe kutoka kisiwani, kuwa hawaoni faida ya muungano. kama kuna uwezekano wa kusitisha kwa muda, kisha tukaja kujadiliana tena ingependeza zaidi ,maana ndoa zenyewe kuna talaka Muungano unaweza usiwe kama ndoa, na unaweza kuwa kama ndoa, japokuwa sio ndoa.
 
Back
Top Bottom