Mbunge Mohammed Issa aliyesema yeye si Mtanzania, kwanini bado yupo Bungeni?

Mbunge Mohammed Issa aliyesema yeye si Mtanzania, kwanini bado yupo Bungeni?

Hadi sasa wana ushindi. Resource za Tanganyika zinazoelekelezwa Zanzibar ni kubwa kuliko eneo lingine la nchi.
Eneo lisilo na mchango katika maendeleo ya Tanganyika ni Zanzibar , kwa namba za BoT
Mkuu 'Nguruvi3, ngoja nikwambie USHINDI mkubwa kabisa walioupata hawa kundi OMO. Ni kuwafanya waTanganyika ambao tayari walishaukubali u-Tanzania wao kuanza kudai Tanganyika. Hakuna ushindi zaidi ya hapo.

Ngoja nikurudishe kwa mkasa wa Jumbe.Ukiutazama mkasa ule kwa umakini zaidi, utaona kwamba uongozi wa juu wa wakati ule ungekuwa ni legelege, tusingefika hadi huku tulikofika sasa hivi.
Tabia na tamaduni za watu hawa wa visiwani ni tofauti sana na tabia za huku Tanganyika na maeneo mengine mengi. Jumbe walimsulubu, baada ya kuona viongozi wa juu hawamchekei nyani. Walipoona vile mara moja wakamgeuka Jumbe na kumvisha jiwe shingoni; hao hao wenzake waliokuwa wakimsukuma atoke mbele.

Tumeona jinsi Samia anavyofanya kazi. Akiwa chini ya Magufuli, hukusikia akiinua kidole hata kuonyesha tu alama kwamba yeye hayamhusu. Baada ya Magufuli kutoka kwenye picha tumeona sarakasi nyingi alizo/anazofanya hadi hapa tulipofikia.
Nusra amzamishe maskini Mbowe, kwa njia zilezile za kupuliza sana pasitokee maumivu anapong'ata.

Kwa hiyo, kuwalaumu waZanzibari (wote) kukataa muungano, siyo kweli. Sasa hivi utawaona wakijaza mikutano ya akina Jussa, kwa vile wakati huu ndio wanaotamba. Hakuna sauti nyingine wanayoweza kuisikiliza kuwatahadharisha juu ya janga hili la kuvunja muungano.

Ili tusiwe tunazungukia humu humu kwenye mambo ambayo tayari tumeyajadili tayari, niseme tu kuwa kwa upande wangu mkazo nauwekea kwa kundi hili ambalo toka mwanzo halikuukubali muungano, kundi ambalo lilikuwa limedhibitiwa vizuri sana toka awali wa kuanzisha muungano. Taratibu, kundi hili likaanza kujipenyeza na kutunga na kupenyeza maswala ya KERO; maswala ambayo viongozi dhaifu wa CCM hawakuweza kuyakabili ; badala yake wakadhani kuyatumia kama rushwa ili kuwapunguza ukali kundi hili, kumbe ndiyo wanawachochea moto.

Hoja yangu muhimu zaidi, na ambayo ningekuomba uitilie fikra zaidi, ni hili swala la Tanganyika. Kuidai Tanganyika sasa hivi, kwa vile akina OMO wametuhimiza iwe hivyo itakuwa ni swala la aibu. Kwa sababu tutakuwa tunashiriki ujinga waliokuwa nao hawa watu toka mwanzo.

Lakini naomba unielewe vyema, kama hakuna uongozi wa kutufanya tusimame kulikabiri hili kundi, sina tatizo kabisa kuuvunja muungano na kurudisha Tanganyika yetu.

Swala la kuwa na Tanganyika, ili mradi tuwe sawa na hao wenye u-Zanzibar wao, hili sioni mantiki yake hata kidogo. Kwa hiyo swala la serikali tatu ni kupotezeana muda tu, na kufuja mali. Ni bora tukakutana na waZanzibari huko kwenye Umoja wa Afrika Mashariki.

Haya yote ni marudio ya yale ambayo tayari nilisha yawasilisha, lakini nimeona ni muhimu niyarudie, pengine nitaeleweka vizuri zaidi safari hii.

Muungano ni serikali moja tu. Acha akina OMO wafanye kazi waliyo zoea kuifanya,-kupiga kelele.
 
Mkuu 'Nguruvi3, ngoja nikwambie USHINDI mkubwa kabisa walioupata hawa kundi OMO. Ni kuwafanya waTanganyika ambao tayari walishaukubali u-Tanzania wao kuanza kudai Tanganyika. Hakuna ushindi zaidi ya hapo.
Ni kweli Watanganyika wameukubali Utanzania. Niliamaini kutowapa ushindi akina OMO &Co.
Nilibadili msimamo na kuitetea Tanganyika baada ya kuona Wazanzibar wana 'abuse' Utanzania.

Makamu wa pili wa Rais wa SMZ aliulizwa uhalali wa Wazanzibar kumiliki ardhi bara. Jibu lake lilikuwa rahisi, Wazanzibar ni Watanzania lakini si kila Mtanzania ni Mzanzibar. Huo ndio msingi wa uhalali na ''abuse''

Mfano 2, pesa za COVID-19 kutoka donors takribani Bilioni 300. Zanzibar walipewa 1 1/3 sawa na makusanyo ya kodi ya miezi 2 kwa watu chini ya milioni. Wengine milioni na zaidi wanaishi Tanganyika na kutumia 2/3, ni Watanzania.

Mfano 3: ajira za Wazanzibar hazizingatii ya Muungan.
Ni kitambulisho cha NIDA wao ni Watanzania, lakini ajira za SMZ zinazingatia kitambulisho cha Uzanzibar ukaazi.

Mfano 4: Bandari, Wazanzibar waliliondoa kwasababu wana Katiba, BLW.
Kwa kutumia katiba ya 1984 toleo 2010 Katiba ya Zanzibar ina ukuu zaidi ya ile ya JMT 1977 na matoleo yake.

Mfano wa 5: Wale Wazanzibar wapuuzi wanaodai passport wanalipwa na Tanganyika kwasababu fedha za Tanganyika ni za JMT. Mapato ya madini, utalii , maliasili n.k. ni ya JMT. Zanzibar yao ni yao, ni Wazanzibar

Mfano wa 6: Watumishi wa TRA wanalipwa na JMT lakini mapato ya TRA Zanzibar hayavuki bahari.
Ndivyo ilivyo kwa Taasisi nyingine ikiwemo Uhamiaji. Yaani Watanganyika wanalipa SMZ kwa kazi za SMZ

Huwezi kulalamika kwasababu ndani ya Tanzania ipo Zanzibar. Lakini pia hakuna uchungu wa Tanganyika.
Wakati wa bandari Wazanzibar walisema hilo ni lao yaani bandari ile ile inayoendesha Muungano ni 'yao' lakini mapato ya bandari ni yetu kwa jina la JMT

Vikao vya KERO ni kuhusu Zanzibar kwasababu ndiye mlalamikaji dhidi ya Tanzania ambayo Zanzibar yumo.
Ni kwa msingi huo hakuna kero za Tanganyika. Lakini nikuulize je hakuna kero?
Moja ya kero za Tanganyika ni kuonyeshwa mchango wa Zanzibar katika kuendesha muungano

Siku hizi tena awamu hii wanajisemea bila aibu ' wanataka Formula ya kugawana rasilimali za JMT ikiwemo mikopo,upuuzi wa misaada, na mapato yote ya JMT'' .

Ni hivi wanataka Formula ya kugawana rasilimali zisizo na mwenyewe.
Sasa anapokuwepo ''' mwakilishi wa OMO'' ' ndiyo haya ya Watu na wajukuu zao kuleta bili za umeme zilipwe na mama ntilie wa Tanganyika. Ukisema Tanzania tayari deni ni la JMT kama walivyofanya

Kwahiyo hakuna namna ni hadi pale tutakapotenga haya mambo kama mkataba ulivyosema.
The united Republic of Tanganyika and Zanzibar, lakini pia ni kama wanahitaji muungano! Hatuna cha kupoteza


 
Kwa hiyo, kuwalaumu waZanzibari (wote) kukataa muungano, siyo kweli.
Wako wapi wanaoutetea? Nilitegemea Wazanzibar Bungeni wangesimama na kumkemea mpuuzi wa passport anayewakilisha watu 3,338 akinywa maziwa na asali za Tanganyika na wake zake wakilipiwa bila za umeme!
Wazanzibar walikaa kimya , wanakubaliana naye! Mh Rais wa SMZ allikaa kimya na Mh Rais wa JMT alikaa kimya.
Sasa hivi utawaona wakijaza mikutano ya akina Jussa, kwa vile wakati huu ndio wanaotamba. Hakuna sauti nyingine wanayoweza kuisikiliza kuwatahadharisha juu ya janga hili la kuvunja muungano.
Sauti gani wakati Wazanzibar wote hawataki muungano isipokuwa pale wanaponufaika tu.
Muungano ni 'give and take' kwa huu wa sasa tukutane EAC na SADC. Na ni janga kama ulivyosema!
Ili tusiwe tunazungukia humu humu kwenye mambo ambayo tayari tumeyajadili tayari, niseme tu kuwa kwa upande wangu mkazo nauwekea kwa kundi hili ambalo toka mwanzo halikuukubali muungano, kundi ambalo lilikuwa limedhibitiwa vizuri sana toka awali wa kuanzisha muungano. Taratibu, kundi hili likaanza kujipenyeza na kutunga na kupenyeza maswala ya KERO; maswala ambayo viongozi dhaifu wa CCM hawakuweza kuyakabili ; badala yake wakadhani kuyatumia kama rushwa ili kuwapunguza ukali kundi hili, kumbe ndiyo wanawachochea moto.
Nani ana entertain hizo kero? Zimetoka 26 nasiki eti zimebaki 5. Nani ana entertain hayo?
OMO & Co imejipenyeza kila mahali ndiyo maana wantamba. Do we have time to argue with them?
Hatuna cha kupoteza, wanaotaka muungano ni Wazanzibar wasipoutetea liwalo na liwe
Hoja yangu muhimu zaidi, na ambayo ningekuomba uitilie fikra zaidi, ni hili swala la Tanganyika. Kuidai Tanganyika sasa hivi, kwa vile akina OMO wametuhimiza iwe hivyo itakuwa ni swala la aibu. Kwa sababu tutakuwa tunashiriki ujinga waliokuwa nao hawa watu toka mwanzo.
Hapana hakuna aibu! wala hatuhitaji usawa na Zanzibar kwasababu kwa kanuni za asili hakuna usawa
Tuna population mara 30 , ardhi kubwa, mipaka 8 na nchi ndogo kati ya hizo ina watu milioni 14.
Tunahitaji kupunguza kelele zisizo na maana.
Swala la kuwa na Tanganyika, ili mradi tuwe sawa na hao wenye u-Zanzibar wao, hili sioni mantiki yake hata kidogo. Kwa hiyo swala la serikali tatu ni kupotezeana muda tu, na kufuja mali. Ni bora tukakutana na waZanzibari huko kwenye Umoja wa Afrika Mashariki.
Nimejibu kuhusu usawa hapo juu. Kuhusu serikali 3 hiyo ni option tu baada ya kuungana kwa muda mrefu, lakini kama wanataka kuvunja jahazi tugawane mbao be it! Tanganyika haina cha kupoteza
Serikali 3ni kuwasaidia tu , Tanganyika ni dudee kuubwa so to speak
Muungano ni serikali moja tu. Acha akina OMO wafanye kazi waliyo zoea kuifanya,-kupiga kelele.
Na uzanzibar bora tutauweka wapi! we don't need to prolong these innuendos and shenanigans', enough is enough let the pack and go!
 
Mjinga tu na mbinafsi huyo mbunge wa zanzibar. Kwanza aweze kutofautisha kubaguliwa na kupingwa. Watu wanampinga rais kwa hoja mbalimbali kwa ujinga wake anasema anabaguliwa. Pia mjinga anadai ziwepo passport huku anajidai anaunga mkono uwepo wa muungano. Hajui kwamba ndani ya muungano hakuna taifa la zanzibar ila kuna taifa la tanzania. Kama walivyo vigogo wengi wa zanziba kunapokuja suala la muungano wanaonekana kama wajinga kutokana na ubinafsi na ubaguzi waliyonao. Yaani wanataka chetu chetu na chenu chetu.
Well said mkuu. Hawa watu huwa wanakera sana.
 
View attachment 2991526

Mbunge anasema na au anakana kwamba yeye si Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “Mtanzania”.

Sasa Humo Bungeni anafanya nini?

Hatuna Nchi inayoitwa Zanzibar wala nchi ya Tanganyika. Tuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, “ Tanzania”

Sasa kama yeye ni Mzanzibar na hatuna nchi hiyo, humo ndani kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anafanya nini? Kiti cha Speaker kingefaa kimtoe nje pale pale kwa kauli yake mwenyewe kwamba hapokei taarifa ya yeye ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiti cha Speaker mumepwaya sana maana, Hatuna dual nationality, tuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mtu anasema na anakana kwamba yeye sio Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( Principle of legal estoppel), sasa kwa nini aendelee kuwemo humo Bungeni?
Hatuna dual nationality, hakuna raia wa Burundi, Rwanda au nchi ya “Zanzibar” anayeweza kuwemo Humo Bungeni.

Ni Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee anayeweza kukaa humo, vinginevyo ni magumashi tu, bila chenga chenga na mkosi ni Mkosi tu- Haijalishi unatokea wapi.

Povu ruksa bila Matusi.
Mzanzibari na Mzanzibara
Hata wakubwa wengine huwa wanasema wao ni wazanzibari na mimi pia nasema mimi ni Mtanga au mimi ni Muarusha !!
Kubalini iandikwe Katiba mpya bora yote haya yatakwisha !!
 
View attachment 2991526

Mbunge anasema na au anakana kwamba yeye si Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “Mtanzania”.

Sasa Humo Bungeni anafanya nini?

Hatuna Nchi inayoitwa Zanzibar wala nchi ya Tanganyika. Tuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, “ Tanzania”

Sasa kama yeye ni Mzanzibar na hatuna nchi hiyo, humo ndani kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anafanya nini? Kiti cha Speaker kingefaa kimtoe nje pale pale kwa kauli yake mwenyewe kwamba hapokei taarifa ya yeye ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiti cha Speaker mumepwaya sana maana, Hatuna dual nationality, tuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mtu anasema na anakana kwamba yeye sio Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( Principle of legal estoppel), sasa kwa nini aendelee kuwemo humo Bungeni?
Hatuna dual nationality, hakuna raia wa Burundi, Rwanda au nchi ya “Zanzibar” anayeweza kuwemo Humo Bungeni.

Ni Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee anayeweza kukaa humo, vinginevyo ni magumashi tu, bila chenga chenga na mkosi ni Mkosi tu- Haijalishi unatokea wapi.

Povu ruksa bila Matusi.
Wazenji wengi wao (sio wote) uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana...
Ila silaumu sana.. maana nishajua sababu.. uwezo wao wakufikiri ni kutokana na kutokana na kubinywa visogo wakiwa wachanga ili vichwa vyao vifanane na warabu ety kibagarashee kikae vizuri.... Sasa hebu fikiria mtu kama huyo anatoa hoja.....
 
Watanganyika si tunamuona Nyerere ndiyo mungu wetu kwa kuona kila alichofanya kilikuwa sahihi,haya ndiyo matokeo yake ameua Tanganyika wakati wenzetu Zanzibar yao bado wanayo sasa wakijiita Wazanzibar tunakasirika nini? Tulaumu tulipojikwaa sio tulipoangukia.
 
Watu wamepewa fursa ya kuongea kwa sababu ni haki yao kuongea !
Mlitaka watu wafungwe midomo ??

Na akitokea wa kuwafunga watu midomo naye ataitwa Dikiteta !

Kubalini iandikwe Katiba mpya bora ili iondoe hizi sintofahamu !
Serikali tatu ndio muarobaini !
Naanza kuwa tofauti na wewe kidogo.
Hatuwezi kuvunja muungano kwa sababu ya kikundi hiki kidogo ambacho tunajua historia yake toka muungano uwepo. Huu utakuwa ni ujinga wa hali ya juu sana.

Muungano utaendelea. Serikali itabaki kuwa moja tu. Acha hiki kikundi kiendelee kupiga kelele huko huko kwenye serikali moja.

Hiki kikundi kimepewa fursa, kilipoanza kupenyeza mambo yake ya "KERO" zisizokuwa na mwisho; na kwa ujinga wa CCM wakadhani kitaishia hapo. Sasa wamejitokeza mbele kabisa kwa ujasiri wote, kudai wao ni Wazanzibari, na siyo waTanzania!
 
Hapana. Tusihukumu kijumla namna hii.
Kukosa uongozi wa kutetea muungano haina maana hawapo wanaoutaka muungano huo.. Samia ni kundi la OMO na akina Jussa toka zamani. Huwezi kutegemea aseme lolote juu ya hili mbali na kufaidika na u-Rais ambao hakutegemea angeukwaa.

Turudi nyuma kwenye historia ya muungano huu. Sababu zilizozuia kuua u-Zanzibari moja kwa moja toka mwanzo, na matarajio ya baadae juu ya muungano.
Walipoingia akina Jumbe wakaanza kutikisa kiberiti, wakakuta kimejaa. Hata enzi za Ruksa, hapakuwa na kelele nyingi toka kwa hiki kikundi kilichokuwa hakitaki muungano toka awali. Kero zimekuwa nyingi sana alipoingia Kikwete, na kuanza kulegeza muungano na kuuelekeza tulikofikia sasa hivi. Kikundi cha akina OMO sasa ndicho kinachotawala; na hawaoni aibu tena kufaidi matunda ya muungano, huku wakitaka kuua muungano wenyewe.

Hao waTanzania toka Zanzibar tusiosikia sauti zao wapo wengi tu, lakini kwa vile hakuna kiongozi wanayeweza kumtegemea kuwasemea; akina OMO wanachukua jukwaa zima.
Hoja hujibiwa kwa hoja !
Hako unakokaita kakikundi ka OMO kanatakiwa kajibiwe kwa hoja sio kwa kutafutwa wa kukaziba mdomo !!

Wenye kushindwa kwa hoja siku zote hukimbilia kutumia mabavu. !
 
Dah aise huyo mbunge kwa kweli alistahili kufukuzwa humo bungeni na kurudishwa kwao zenji akale urojo.

Very stupid arguments.
 
Watanganyika si tunamuona Nyerere ndiyo mungu wetu kwa kuona kila alichofanya kilikuwa sahihi,haya ndiyo matokeo yake ameua Tanganyika wakati wenzetu Zanzibar yao bado wanayo sasa wakijiita Wazanzibar tunakasirika nini? Tulaumu tulipojikwaa sio tulipoangukia.
Alikuwa sahihi wakati ule !
Kila jambo huenda na wakati uliopo !

Zama za kale tulikuwa binadamu tunavaa majani kujisitiri lakini baadaye tukatafuta vilivyo bora zaidi vya kujisitiri !!
Kinachotafutwa sasa ni Muungano bora utakaokubaliwa na pande zote mbili !!

Wenye hoja mufilis huwa wanafikiria kila kitu ni kulazimisha kwa mabavu tu !
 
Alikuwa sahihi wakati ule !
Kila jambo huenda na wakati uliopo !

Zama za kale tulikuwa binadamu tunavaa majani kujisitiri lakini baadaye tukatafuta vilivyo bora zaidi vya kujisitiri !!
Kinachotafutwa sasa ni Muungano bora utakaokubaliwa na pande zote mbili !!

Wenye hoja mufilis huwa wanafikiria kila kitu ni kulazimisha kwa mabavu tu !
Kwa maoni yangu binafsi naona hakuwa sahihi kwa sababu mara zote alipokuwa akizungumza kuhusu suala la serikali tatu hoja yake kubwa ilikuwa ni gharama juu ya serikali ya muungano lakini kiukweli kitu chochote kizuri huwezi kuepuka gharama.
Hata hivyo hiko alichokuwa akikikwepa bado kilibaki vilevile kwa Tanganyika kubeba jukumu la kuendesha serikali ya muungano peke yake sasa uenda kulikuwa na jambo lingine limejificha na hapo ndipo ninapoona hakuwa sahihi.
 
Dah aise huyo mbunge kwa kweli alistahili kufukuzwa humo bungeni na kurudishwa kwao zenji akale urojo.

Very stupid arguments.
Umesema angerudishwa kwao Zenji !
That means hata wewe unakubali kwamba yeye huyo mbunge ni Mzenji 😅😂🙏🙏 !

So hakuwa amefanya kosa lolote lile !
 
Ni kweli Watanganyika wameukubali Utanzania. Niliamaini kutowapa ushindi akina OMO &Co.
Nilibadili msimamo na kuitetea Tanganyika baada ya kuona Wazanzibar wana 'abuse' Utanzania.

Makamu wa pili wa Rais wa SMZ aliulizwa uhalali wa Wazanzibar kumiliki ardhi bara. Jibu lake lilikuwa rahisi, Wazanzibar ni Watanzania lakini si kila Mtanzania ni Mzanzibar. Huo ndio msingi wa uhalali na ''abuse''

Mfano 2, pesa za COVID-19 kutoka donors takribani Bilioni 300. Zanzibar walipewa 1 1/3 sawa na makusanyo ya kodi ya miezi 2 kwa watu chini ya milioni. Wengine milioni na zaidi wanaishi Tanganyika na kutumia 2/3, ni Watanzania.

Mfano 3: ajira za Wazanzibar hazizingatii ya Muungan.
Ni kitambulisho cha NIDA wao ni Watanzania, lakini ajira za SMZ zinazingatia kitambulisho cha Uzanzibar ukaazi.

Mfano 4: Bandari, Wazanzibar waliliondoa kwasababu wana Katiba, BLW.
Kwa kutumia katiba ya 1984 toleo 2010 Katiba ya Zanzibar ina ukuu zaidi ya ile ya JMT 1977 na matoleo yake.

Mfano wa 5: Wale Wazanzibar wapuuzi wanaodai passport wanalipwa na Tanganyika kwasababu fedha za Tanganyika ni za JMT. Mapato ya madini, utalii , maliasili n.k. ni ya JMT. Zanzibar yao ni yao, ni Wazanzibar

Mfano wa 6: Watumishi wa TRA wanalipwa na JMT lakini mapato ya TRA Zanzibar hayavuki bahari.
Ndivyo ilivyo kwa Taasisi nyingine ikiwemo Uhamiaji. Yaani Watanganyika wanalipa SMZ kwa kazi za SMZ

Huwezi kulalamika kwasababu ndani ya Tanzania ipo Zanzibar. Lakini pia hakuna uchungu wa Tanganyika.
Wakati wa bandari Wazanzibar walisema hilo ni lao yaani bandari ile ile inayoendesha Muungano ni 'yao' lakini mapato ya bandari ni yetu kwa jina la JMT

Vikao vya KERO ni kuhusu Zanzibar kwasababu ndiye mlalamikaji dhidi ya Tanzania ambayo Zanzibar yumo.
Ni kwa msingi huo hakuna kero za Tanganyika. Lakini nikuulize je hakuna kero?
Moja ya kero za Tanganyika ni kuonyeshwa mchango wa Zanzibar katika kuendesha muungano

Siku hizi tena awamu hii wanajisemea bila aibu ' wanataka Formula ya kugawana rasilimali za JMT ikiwemo mikopo,upuuzi wa misaada, na mapato yote ya JMT'' .

Ni hivi wanataka Formula ya kugawana rasilimali zisizo na mwenyewe.
Sasa anapokuwepo ''' mwakilishi wa OMO'' ' ndiyo haya ya Watu na wajukuu zao kuleta bili za umeme zilipwe na mama ntilie wa Tanganyika. Ukisema Tanzania tayari deni ni la JMT kama walivyofanya

Kwahiyo hakuna namna ni hadi pale tutakapotenga haya mambo kama mkataba ulivyosema.
The united Republic of Tanganyika and Zanzibar, lakini pia ni kama wanahitaji muungano! Hatuna cha kupoteza
Case closed ! 🙏
 
Mzanzibari mwenzake kupewa makavu imekuwa nongwa kwa Mbunge kutoka Konde. Ila sisi Wasukuma tumetukanwa sana wa watu mitandaoni hadi wamechoka wenyewe na hatujalia lia.

Kumbe sisi Wasukuma ni wavumilivu na tumekomaa sana kiakili. Na hii nchi imshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa na kabila kubwa lisilo na mihemuko, otherwise tungekuwa tunaongea habari nyingine saa hizi.
 
Back
Top Bottom