MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Angalau ameonyesha muhimu wa Kwa nini Zanzibar wana Bunge lao lisilo na Watanganyika huko Zanzibar, alafu Bunge la Muungano wa Tanzania ambalo na yeye yumo lipo, ila ajabu kabisa haoni Bunge la Watanganyika,na kweli halipo, na wakati Watanganyika wakienda huko Zanzibar wanapaswa kutambuliwa kama Watanganyika kwenye hizo passport anazoomba ziwepo, otherwise zikisoma Utanzania Bila Utanganyika itamlazimu akuhoji mbona na Mimi Ni Mtanzania!. Je Ni kweli Tanganyika inaona aibu kujitokeza kiutawala?
Wazee wengine Wa Tanganyika mlikuwepo Msizeeke na Akili zenu! Ajabu hata Documents, za Muungano zinazoonyesha Kuungana, Migogoro na Usuluhishi, Hatima na Uvunwjaji wa Muungano!
These are realm in real world, hazipaswi eti kutokuwepo kisa Muungano hautavunjika.
Kama hautavunjika, Vunjeni governance and borders za Uzanzibar.
Otherwise tuendelee kuongelea tofauti zetu.
Wazee wengine Wa Tanganyika mlikuwepo Msizeeke na Akili zenu! Ajabu hata Documents, za Muungano zinazoonyesha Kuungana, Migogoro na Usuluhishi, Hatima na Uvunwjaji wa Muungano!
These are realm in real world, hazipaswi eti kutokuwepo kisa Muungano hautavunjika.
Kama hautavunjika, Vunjeni governance and borders za Uzanzibar.
Otherwise tuendelee kuongelea tofauti zetu.