Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

Ndugu kutoa ni Moyo maana waswahili tunamsemowetu Bata ukemchunguza sana uwezi kumla
 
Duh!!, Umasikini kitu Kibaya Sana.Wengi wanakufa kutokana na kushindwa kumudu gharama za matibabu.
 
wako daily kwenye media: tv,nk, ila hupuuzwa, ila mwenye 500m+ kwa account ndiyo wa kwanza kujaziwa bakuli
upuuzi wa hali ya juu
Mwenye chake muungwana. Mtoaji ndiye huamua ampe nani na amnyime nani! Ninachokushauri: anzisha harakati, elimisha watu, kusanya michango kwa ajili ya hao unaoona wanastahili.
 
Familia imesema hawajashindwa kugharamia matibabu ila watanzania wenyewe mmelazimisha mnataka kumchangia kipenzi chenu Jay wa mitulinga, Jay tunakuzimia, mgodi unao tembea

Lakin jinsi inavyo tangazwa inanitisha sana inaonekana gharama zimewazidi sisi wananchi wa kawaida inawezekana tunakufa sana kwa kushindwa gharama za matibabu na siyo kwamba madkari wanashindwa
 
Prof Jay msanii ambaye ametuburudisha miaka mingi kwa nyimbo zilizojaa hekima tele uburudishaji pole sana kwa ugonjwa unaokusumbua. Hakika tusikae kuhukumu kuhusu kumchangia. Kwa sasa anaumwa na yanahitaji msaada. Tumchangie kwa kukumbuka kuwa Prof Jay ni binadamu kama sisi na kwa miaka mingi ameitendea vyema jamii yake kisanii.
 
Watu wa karibu wanasema sio kwamba hela hawana ila ni gesture tu kwasababu ni mtu wa watu.

Aahaah wapi mkuu, dogo wake wakishirikiana na mke wake walikiri mzigo wa matibabu umekuwa mkubwa hivyo wanahitaji huruma za watanzania wanyonge waweze kufanikisha hilo zoezi la jamaa kupewa matibabu..

Figo isikie mkuu, ikiwa comprimized sana inasababisha MOF, so guess what will be next?? Hapo ni coma then caput..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…