Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta pesa dadaBado Namtafakari huyu Mama..
Heh!Tafuta pesa dada
Maisha ni fumbo ndani ya muda mfupi mtu anaweza akapoteza kila kitu including Pumzi nayo ikapotea !!Maisha ni fumbo, ndani ya muda mfupi amepoteza kila kitu
Kwa hiyo yule RPC wa Manyara nae kaungana na wale vijana kumsingizia Paulina?. Kwanini Paulina alipanic hata pale alipotaka kuhojiwa na mwandishi wa habari ili kubalance story na badala yake akakimbilia polisi? PF3 aliyopewa kijana kwenda kutibiwa ilikuwa ya nini kama kweli hakuumizwa? Uchawa hadi kutetea maovu!!Hapa kunaonesha kuna chuki zaidi ya ukweli.
Njaa ni mbaya. !!Hili nalo neno. Si ajabu hii wiki atakuwa amesafishwa na mahakama na kuonekana hana kosa, hakuna ushahidi, na ni chuki tu na wivu wa watu waliotaka kumuchafulia jina!! Tusishangae kumuona 2025 akiwa m/kiti UWT au Mwenezi wa CCM.
Pesa au kipato huwa na tabia tofauti ya kuwafikia waliobahatika,Bado Namtafakari huyu Mama..
Mkuu siyo kwa ile Kabila. Wakishakukataa wanakukataa mazima. Watakaomshughulikia ni Wairaqw wenzake na si vinginevyo.Kwa siasa za Tz atasimama tena tuu
🤔"usinene ukamala", subiri uchaguzi wa 2025.
usije ukaja kupigwa na kitu kizito pale sisiemu itakapokufanyia surprise, utashangaa anarudi bungeni na kuzawadiwa uwaziri.
Anapataje uchungu wakati ana bwawa.Natamani nim bandike chupa naye apate uchungu wa alicho fanya, dadek! 😁
Na hashim naye achunguzwe kama kweli alitaka kumuuaPalina unataka kusemaje?
Uthibitisho wa kwamba polisi wetu hawana akili ya kujitegemea na kujitambua, huyu mama si ndiye walikuwa wanaona ana haki na siyo yule kijana!!!"Mbunge wa Babati Mjini (CCM), Pauline Gekul kadhaminiwa polisi Babati, karudi nyumbani kwake kupumzika baada ya kuhojiwa, lakini anasema anahofia usalama wake.. kwani Gekul anatakaje? Tumpelekee chupa za Coca-Cola zimlinde?"
Iko wazi Kabisa...Kuna dalili za kutaka kumlinda hapa.
Daaah!! Inauma sana, unafumua marinda ya kijana rijali kwa chupa ya soda!,Kumfanya mtoto wa mwenzio shoga siyo sawa Gekul
KayatimbaGekul akubali tu, hiyo ndio imeenda.
Unaibu waziri amepoteza. Ubunge ndio unakwenda kufikia tamati 2025, na harudi tena bungeni. Biashara zake ndio mwanzo wa kufilisika. Hadhi na heshima yake kijamii ndio imekwenda milele.
Wanawake wana roho mbaya sana huyu mmoja wapoBado Namtafakari huyu Mama..