Mbunge Shabiby: Hata wewe Spika ukileta siasa zako tunaweza kukuazimia

Mbunge Shabiby: Hata wewe Spika ukileta siasa zako tunaweza kukuazimia

Logikos asante sana kwa hoja zako. Nimependa uliposema kuwa watu wamekuwa - brain washed. Na wengi hawajui wanaosema ukiwa huna hela huwezi kuwa na msimamo, na ndiyo hao hao wenye hizo hela. Yaani wao wanasema hivyo ili wasio na hela waache kutumia akili zao kwenye kutafakari nafasi yao kwenye jamii.
 
Watu wengi kwenye hoja hii ya fedha na nguvu ya mtu, maoni yao yanaonesha kwamba kumbe wangekuwepo enzi za utumwa na wao wangekuwa ni watumwa tu.
 
Niliacha kila kitu.. nilikuwa naidai kampuni milioni kadhaa nilizisamehe. Nilianza kupanga chumba cha 25000/= kwa mwezi. Katika maisha yangu ule ndo uamuzi wa kishujaa zaidi niliowahi fanya kwa sababu baada ya huo uamuzi nilikaa miaka miwili ya kupigika haswa. Ilinijengea heshima mimi binafsi hadi familia yangu. SIMAMA KWENYE HAKI hutaonewa wala kumsujudia mtu.
We kweli mwanaume.
 
Back
Top Bottom