Mbunge Shabiby: Hata wewe Spika ukileta siasa zako tunaweza kukuazimia

Mbunge Shabiby: Hata wewe Spika ukileta siasa zako tunaweza kukuazimia

Kwa nini shabiby asiwe ndiyo spika? Maana tulia ametulia kuibeba serikali badala ya kuisimamia.Wabunge wanaojiamini kwa sasa ni shabiby na mpina wengine ni chochote wanachoulizwa ni ndiyooooo
Tulia ni mbunge wa kubebwa na uspika wa kupewa kwenye sinia. Hana uwezo binafsi.
 
Usibishane na Wahenga waliosema '…Fukara hana kiapo …'

unaweza ukaapa hutopanda madaladala wakati huna usafiri wa kukodi au binafsi?

Ukiwa na Pesa hata uwezo wa kujiamini unaongezeka
Ananogesha genge tu huyo Allen
 
Halafu mbona hakuna cha ajabu alichosema Shabiby. Au kwa kuwa kasema mwenye hela ndiyo unaona kasema jambo la ajabu sana!! Unajua hoja za kumuondoa Lowassa zilianzishwa na nani?? Naye alikuwa Tajiri??
Umeisikiliza hotuba yake yoote ya dakika 9?
 
Mtikila, Mrema, Mbatia ni kazi maalumu wale usiwalinganishe kwenye mambo ya msingi

Yes kama ww ni maskini uwez kuleta msimamo Kwa bosi wako

Kama ww ni maskini uwez kumwambia bosi hata ww tunaweza kukutoa
Duh! Ndugu kwa huu mtazamo wako basi tutazidi kupigwa sana na wanasiasa. Na vijana wakifuata huu mtazamo wataishia tu kuolewa na wanaume wenzao wenye hela. Binafsi kama miaka 11 iliyopita niliacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya boss wangu kunipa kauli mbaya sana iliyomhusisha mzazi wangu. Hiyo kazi nilikuwa nalipwa Tsh 1.2m kwa mwezi, nyumba bure self contained yenye maji na umeme. Nikaenda kuanza upya kabisa nikawa mjasiriamali... baada ya miaka kadhaa nikawa napata pesa nyingi kuliko ule mshahara. Yule boss tunaheshimiana sana kwa sasa na nilisamehe baada ya yeye kukiri alikosea miaka ile. PLEASE JIAMINI.
 
Duh! Ndugu kwa huu mtazamo wako basi tutazidi kupigwa sana na wanasiasa. Na vijana wakifuata huu mtazamo wataishia tu kuolewa na wanaume wenzao wenye hela. Binafsi kama miaka 11 iliyopita niliacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya boss wangu kunipa kauli mbaya sana iliyomhusisha mzazi wangu. Hiyo kazi nilikuwa nalipwa Tsh 1.2m kwa mwezi, nyumba bure self contained yenye maji na umeme. Nikaenda kuanza upya kabisa nikawa mjasiriamali... baada ya miaka kadhaa nikawa napata pesa nyingi kuliko ule mshahara. Yule boss tunaheshimiana sana kwa sasa na nilisamehe baada ya yeye kukiri alikosea miaka ile. PLEASE JIAMINI.
Ulikuwa unajiamini umeshachuma pesa ulizoenda kuanzisha biashara
 
Duh! Ndugu kwa huu mtazamo wako basi tutazidi kupigwa sana na wanasiasa. Na vijana wakifuata huu mtazamo wataishia tu kuolewa na wanaume wenzao wenye hela. Binafsi kama miaka 11 iliyopita niliacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya boss wangu kunipa kauli mbaya sana iliyomhusisha mzazi wangu. Hiyo kazi nilikuwa nalipwa Tsh 1.2m kwa mwezi, nyumba bure self contained yenye maji na umeme. Nikaenda kuanza upya kabisa nikawa mjasiriamali... baada ya miaka kadhaa nikawa napata pesa nyingi kuliko ule mshahara. Yule boss tunaheshimiana sana kwa sasa na nilisamehe baada ya yeye kukiri alikosea miaka ile. PLEASE JIAMINI.

Alikutukana, ni Sawa Kwa maamuzi uliyochukua,

But usingeweza kumwambia Boss ukizungua tutafanya mpango utupishe

Tofautisha hayo mambo
 
Hii ni misemo tu.
Kwahio wewe ukikosa pesa haujiamini ?

Hio ni distorted view ya maisha na being vain..... Inaonyesha ukipata Pesa au kama una Pesa utakuwa una-belittle wengine yaani unajiona upo juu sababu ya pesa, Sadly hii view ndio sababu kubwa ya uchawa (kuona wengine ni superior; character counts for nothing in such people'e eyes)
 
Hizi ni fikra za kizamani sana. Nani kakwambia huwezi kuwa na msimamo bila ya kuwa na fedha?? Watanzania wengi wamekuwa dhaifu kimisimamo kwa kuwa na fikra kama hizi kwamba ili uwe huru ni lazima uwe na fedha.

Huyo Shabiby inawezekana katoa maneno hayo kutokana na mtizamo wake binafsi na wala si kwa hela alizonazo.
Mkuu ni masikini wachache sana wenye msimamo na wanao jiamini.
 
Mtikila, Mrema, Mbatia ni kazi maalumu wale usiwalinganishe kwenye mambo ya msingi

Yes kama ww ni maskini uwez kuleta msimamo Kwa bosi wako

Kama ww ni maskini uwez kumwambia bosi hata ww tunaweza kukutoa
Mtikila hakuwa kazi maalumu yoyote sema kuna Mawakili waliokuwa na ujasiri wa kwenda kumchomoa Mahakamani kwa dhamana.
 
Back
Top Bottom