Mbunge Shabiby: Hata wewe Spika ukileta siasa zako tunaweza kukuazimia

Mbunge Shabiby: Hata wewe Spika ukileta siasa zako tunaweza kukuazimia

Muda Huu Kila Mbunge Anatamani Kurudi Bungeni Tena Kwa Namna Yoyote
Wasiosema Nao Watasema Lolote, Siasa Za Mipango Ccm Kwafukuta Moto
 
Ingaawa yeye mwenyewe alipita bila kupingwa lakini Hoja zake zina aksi uwezo wake wa economic liberation. Kwamba hamwogopi mtu kwa kuwa hamlishi.

Mbunge wa Gairo Mohamed Shabiby akitoa hooja zake na malalamiko juu ya Tamisemi kutoa ajira kwa kujuana, upendeleo kwa mawaziri amesema wao Kama bunge wana wajibu wa kuisimamia serikali.

Amedai ikiwa kuna mtumishi anaenda kinyume na utaratibu basi wanaweza kupeleka hoja Bungeni na kuazimia kumkataa.

Hata Spika akileta siasa zake wanaweza kumwazimia.

Je ni siasa zipi anazohisi zinaweza kuazimiwa?

Sikiliza mwenyewe kweny Clip hii.


Mwambieni Shahiby apeleke umeme Mlimani pale Choma Falls na vijiji vya jirani ambavyo haipo kilometa tano kutoka Kwa Mkuu wa Mkoa
 
Hizi ni fikra za kizamani sana. Nani kakwambia huwezi kuwa na msimamo bila ya kuwa na fedha?? Watanzania wengi wamekuwa dhaifu kimisimamo kwa kuwa na fikra kama hizi kwamba ili uwe huru ni lazima uwe na fedha.

Huyo Shabiby inawezekana katoa maneno hayo kutokana na mtizamo wake binafsi na wala si kwa hela alizonazo.
Katu huwezi kuwa na msimamo thabiti kama huna pesa ndugu yangu,mfano balaa la Afrika halina msimamo kwa nchi za Ulaya na Amerika kwa sababu tu ya kemcho,ukiwa huna ajira unaweza kufanyishwa kazi ngumu ili upate kula hashana na kemcho,maana hata yule masaliti wa Yesu alikuwa hana kemcho.
 
Umaskini unaleta kutojiamini.
Umemsahau Prof Kalamabudi
Sasa Profesa Kabudi ni maskini??
Katu huwezi kuwa na msimamo thabiti kama huna pesa ndugu yangu,mfano balaa la Afrika halina msimamo kwa nchi za Ulaya na Amerika kwa sababu tu ya kemcho,ukiwa huna ajira unaweza kufanyishwa kazi ngumu ili upate kula hashana na kemcho,maana hata yule masaliti wa Yesu alikuwa hana kemcho.
Sijui mnasoma historia za wapi ndugu zangu. Dunia hii watu mashuhuri kwa misimamo wala si matajiri. Na Afrika tatizo letu si umaskini wa bara letu, bali tuna viongozi wenye fikra za kimaskini ambao wanadhani mali ndiyo huwajengea hadhi ya utu wao.

Matokeo yake viongozi wa Afrika wakiingia madarakani kazi yao kubwa huwa ni kuiba mali za umma na kujitajirisha wao na familia zao, wakidhani kwamba mali humpa mtu heshima. Ukikaa na matajiri wa dunia ndiyo utajua mali siyo inayompa mtu kujiamini.

Kama hujiamini kwa kuwa huna mali jua tatizo ni wewe kutokujua nguvu ya utu wako iko wapi!!
 
Sasa Profesa Kabudi ni maskini??

Sijui mnasoma historia za wapi ndugu zangu. Dunia hii watu mashuhuri kwa misimamo wala si matajiri. Na Afrika tatizo letu si umaskini wa bara letu, bali tuna viongozi wenye fikra za kimaskini ambao wanadhani mali ndiyo huwajengea hadhi ya utu wao.

Matokeo yake viongozi wa Afrika wakiingia madarakani kazi yao kubwa huwa ni kuiba mali za umma na kujitajirisha wao na familia zao, wakidhani kwamba mali humpa mtu heshima. Ukikaa na matajiri wa dunia ndiyo utajua mali siyo inayompa mtu kujiamini.

Kama hujiamini kwa kuwa huna mali jua tatizo ni wewe kutokujua nguvu ya utu wako iko wapi!!

Kabudi ana msimamo gani?

Kabudi anaweza kumwambia Spika kama alivyoongea shabiby?
 
Sasa Profesa Kabudi ni maskini??

Sijui mnasoma historia za wapi ndugu zangu. Dunia hii watu mashuhuri kwa misimamo wala si matajiri. Na Afrika tatizo letu si umaskini wa bara letu, bali tuna viongozi wenye fikra za kimaskini ambao wanadhani mali ndiyo huwajengea hadhi ya utu wao.

Matokeo yake viongozi wa Afrika wakiingia madarakani kazi yao kubwa huwa ni kuiba mali za umma na kujitajirisha wao na familia zao, wakidhani kwamba mali humpa mtu heshima. Ukikaa na matajiri wa dunia ndiyo utajua mali siyo inayompa mtu kujiamini.

Kama hujiamini kwa kuwa huna mali jua tatizo ni wewe kutokujua nguvu ya utu wako iko wapi!!

Watu wa mawazo kama yako sikuwahi kudhani kama bado wapo hapa duniani

Mnawazaga mambo in way kama mnaishi dunia nyingine
 
Ni kujiamini tu. Mtikila hakuwa tajiri lakini alikuwa akiipeleka serikali mahakamani.

Mtikila alipo enda kukopa milion 3 kwa Rostam ili alipie nyumba anayo lala akaambiwa anapewa bure LKN asaini kuonyesha kama kapokea.

Mkataba ukasainiwa na ndiyo ukawa mwisho wa Mtikila kisiasa.Unawaita magabacholi wezi mbona wanakupa hela kwa kificho?
Akawa hana majibu hadi anakufa.

Yes,hela zinasaidia sana kukupa kujiamini,ona hoja za bilionea Kishimba hata Msukuma;wana hela wanajiamini.

Mwigulu au Nape au Makamba au Aweso hawana pesa lzm sasa wawe karibu na ‘wakuu’
 
Mbunge wa Gairo amesema Viongozi wa Serikal Wana mtindo wa kuajiri walimu na kuwapangia vijijini kisha wanatuma vimemo wahamishiwe Mjini

Shabiby amesema Utaratibu Huu siyo mzuri na ikibidi watatoa Azimio Waziri na Watendaji
 

Attachments

  • 1681569927716.gif
    1681569927716.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1681569927892.gif
    1681569927892.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1681569928063.gif
    1681569928063.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1681569928232.gif
    1681569928232.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1681569928632.gif
    1681569928632.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1681569928858.gif
    1681569928858.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1681569928404.gif
    1681569928404.gif
    42 bytes · Views: 1
Hizi ni fikra za kizamani sana. Nani kakwambia huwezi kuwa na msimamo bila ya kuwa na fedha?? Watanzania wengi wamekuwa dhaifu kimisimamo kwa kuwa na fikra kama hizi kwamba ili uwe huru ni lazima uwe na fedha.

Huyo Shabiby inawezekana katoa maneno hayo kutokana na mtizamo wake binafsi na wala si kwa hela alizonazo.
Ideally uko sahihi. Realistically na practically ukiwa mnyonge kiuchumi unaweza kutindikiwa ujasiri wa kuusemea moyo wako kwa dhati. Huo ndo ukweli. Tumejengewa utamaduni wa woga na bila pesa hakuna jeuri.
 
Katu huwezi kuwa na msimamo thabiti kama huna pesa ndugu yangu,mfano balaa la Afrika halina msimamo kwa nchi za Ulaya na Amerika kwa sababu tu ya kemcho,ukiwa huna ajira unaweza kufanyishwa kazi ngumu ili upate kula hashana na kemcho,maana hata yule masaliti wa Yesu alikuwa hana kemcho.
Mkuu fedha ni barafu ya moyo.
 
Hofu ya future Yao, na ndio umaskini,

Wabunge wote ambao walikuwa na hela kuanzia wakina Nimrod Mkono walikuwa na hoja ambazo ni mzito

Jeuri wanapata because Wana hela
Tafuta Hansard kuna mtu alikuwa anaitwa Phares Kashemeza Kabuye aliyekuwa Mbunge wa Biharamulo. Huyu Mzee alipiga kampeni kwa Baiskeli na kushinda ubunge dhidi ya mpinzani wake aliyekuwa anatumia magari kufanya kampeni zake.

Alipokuwa bungeni michango yake iliheshimika na kukumbukwa mpaka leo. Kabuye alikufa kwenye ajali ya Basi wakati akielekea Dar es salaam. Hakuwa tajiri lakini alikuwa ni mtu mwenye misimamo thabiti.

Nyie msiojiamini kwa kusingizia kwamba hamjiamini kwa kuwa hamna hela, mnamkufuru Mungu ama mnamuonesha kwamba alikosea kuwaumba binadamu.
 
Watu wa mawazo kama yako sikuwahi kudhani kama bado wapo hapa duniani

Mnawazaga mambo in way kama mnaishi dunia nyingine
Mawazo gani? Yaani kwamba ukiwa masikni huwezi kuwa na misimamo yako? Yaani kumwambia spika kwamba anaweza kuondolewa ni mpaka uwe na hela? Umepewa mfano wa Mtikila na MamaSamia2025 mfano halisi kabisa. Huku mitaani kwetu tuna watu tunawaheshimu kwa misimamo yao na wao wala si matajiri.
 
Bwana ngozi wa moro huyo!

Mutu ya mfumo hiyo !wale wa kwenda deep wanamjua huyo jamaa!!

Role yake kuja kwa awamu ya sita siyo ya mchezo!
 
Mtikila alipo enda kukopa milion 3 kwa Rostam ili alipie nyumba anayo lala akaambiwa anapewa bure LKN asaini kuonyesha kama kapokea.

Mkataba ukasainiwa na ndiyo ukawa mwisho wa Mtikila kisiasa.Unawaita magabacholi wezi mbona wanakupa hela kwa kificho?
Akawa hana majibu hadi anakufa.

Yes,hela zinasaidia sana kukupa kujiamini,ona hoja za bilionea Kishimba hata Msukuma;wana hela wanajiamini.

Mwigulu au Nape au Makamba au Aweso hawana pesa lzm sasa wawe karibu na ‘wakuu’
Acha uongo. Mtikila hadi anafariki alikuwa yuko safi kisiasa. Wewe kama unaona hadi uwe na hela ndo ujiamini utaonewa sana hapa duniani.
 
Back
Top Bottom