Mbunge Shabiby: Hata wewe Spika ukileta siasa zako tunaweza kukuazimia

Logikos asante sana kwa hoja zako. Nimependa uliposema kuwa watu wamekuwa - brain washed. Na wengi hawajui wanaosema ukiwa huna hela huwezi kuwa na msimamo, na ndiyo hao hao wenye hizo hela. Yaani wao wanasema hivyo ili wasio na hela waache kutumia akili zao kwenye kutafakari nafasi yao kwenye jamii.
 
Watu wengi kwenye hoja hii ya fedha na nguvu ya mtu, maoni yao yanaonesha kwamba kumbe wangekuwepo enzi za utumwa na wao wangekuwa ni watumwa tu.
 
We kweli mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…