Tetesi: Mbunge Shangazi ana ubia na Kampuni ya DP World

Na wewe ndivyo ufanyavyo?

Sio Shujaa wewe, sijakubaliana na mawazo yako kabisa 😂

Siyo lazima unifuate mimi...

Mbowe amesema ataitisha maandamano ya nchi nzima.

Nategemea kukuona mstari wa mbele kabisa yakiiva...

Nchi hii inahitaji mashujaa kama wewe. Wenye makovu ya risasi kama akina Tundu Lissu

Kila la heri ng'wanangwa!
 
Katika hili hakuna jinsi ya kutomuhusisha rais katika ufisadi huu wa karne
 

Mambo ya kumezeshwa pini ujisaidie mlingoti wa umeme wa msongo wa high tension ndio haya.

Hii suala la kukodisha/kuuza bandari zote za Tanganyika ni muhimu Watanganyika wenyewe wajiongeze na waende mbali zaidi. Watanue wigo wao wa kuyatafakari mambo.

Na ikumbukwe wakati wa maoni ya mchakato wa Katiba mpya ya Mh Jaji Warioba Mbunge na PM mzitafu kulitokea mabishano ya ama serikali 3, 2 au 1. Watanganyika wenye msimamo wa 3 wakatishiwa eti mipaka ya nchi ya Zanzibar wakati wa sultani ilikuwa inaingia mwambao wa pwani ya Tanganyika hadi maili 50 za nchi kavu kuanzia kaskazini hadi kusini. Na eti sultani alilinunua hilo eneo kwa Wajerumani, kumbuka si kutoka kwa Watanganyika.

Maadamu anayekodishwa Bandari zote za Tanganyika ni mwarabu na yako madai ya aina hiyo. Inawezekana huu ni mwanzo tu wa mkakati wa masafa marefu wa kujaribu kuanza kurudisha hiyo mipaka ya Zanzibar ya Sutanese. Kwa nini Mwarabu, Kwa nini bandari zote za Tanganyika, kwa nini bandari za Zanzibar haziguswi acha tu kufikiriwa na huu mkataba??? Na waliombele kwenye huu mkataba wanaongozwa na Waziri Mzanzibari. Huyu Mbunge Mh Shangazi naye niwa Tanga pengine asili yake ni sehemu ya huo mwambao tajwa.
 
Kuna ubaya gani kuileta kampuni ya DPworld Tanganyika?

Mkataba ufanyiwe marekebisho.

Hii ni Dubai 1960 bandari yao ilikuwa ya Mitumbwi na Majahazi wakati huo sisi tulikuwa tumeachiwa Bandari kubwa na Mkoloni
View attachment 2650033
Warekebishe nini wakati hata uliosainiwa sasa ni siri, tatizo sio private company kama DP World kuendesha port yetu na tunajua ni biashara na ni jambo la kawaida sana duniani na nchi nyingi zinafanya hivyo, tatizo tuna experience mbaya sana na wapigaji waliotuingiza mikataba ambayo hatujawahi kupata faida na kuishia kulipa mabilioni kila mwaka, sio kwa serikali hii ya CCM acha tuu tuendeshe bandari mpaka watu makini waje wa kutuingiza kwenye mikataba inayoeleweka
 
Watanzania tumfuate huyu Mbunge anaitwa Rashid Shangazi kutoka Tanga ndio anao mchongo mzima wa namna Kampuni ya DP World ilivyopatikana hadi kuzusha mgogoro mkubwa kitaifa wa kuuza bandari za Tanganyika
View attachment 2649975

Aende akauze za kwao Zanzibar maana inaonyesha huyu sio Mtanganyika. Kama anataka basi ziuzwe bandari zote za Jamhuri ya Muungano Tanzania (THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA). Au anaogopa serikali ya Zanzibar?
 
Muulize mwakibete alisema utekelezaji unaanza mwishoni mwa 2022
wa Kiuchumi na Kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi katika
Bandari Tanzania (The Intergovernmental Agreement Between the United Republic
of Tanzania and the Emirate of Dubai Concerning Economic and Social
Partnership for the Development and Improving Performance of Sea and Lake
Ports in Tanzania).
 
Aliyepo juu ni wa imani yake
Na aliyetajwa hapa pia ni wa imani yake.

Huyu bibi hanaga akili linapokuja suala linalomgusa mwenzake kiimani na anasikia raha zaidi anaposikia waliokabidhiwa hii rasilimali muhimu kwa taifa ni mwarabu aliyemrithisha dini hapo anazidi kuamini kuwa dini yake imezidi kuwa ya haki.
 
Wanapewa halafu mkataba haturuhusiwi kuvunja.
 
Mimi huwa najali ajira tu na nimesha Apply kazi.

Look, nimeshuhudia Magufuli akifunga migodi huko kanda ya Ziwa tulioathirika ni sisi Wafanyakazi so I don't care serikali inapata nini ninachojali ni kupata ajira.
 
Siyo lazima unifuate mimi...

Mbowe amesema ataitisha maandamano ya nchi nzima.

Nategemea kukuona mstari wa mbele kabisa yakiiva...

Nchi hii inahitaji mashujaa kama wewe. Wenye makovu ya risasi kama akina Tundu Lissu

Kila la heri ng'wanangwa!
Mie siandamani bali nitapiga goti kumuomba Jehova ashughurike na hao wezi, imani yangu inao uwezo wa kuhamisha milima.
 
Aende akauze za kwao Zanzibar maana inaonyesha huyu sio Mtanganyika. Kama anataka basi ziuzwe bandari zote za Jamhuri ya Muungano Tanzania (THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA). Au anaogopa serikali ya Zanzibar?
Unataka arogwe atupe hijabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…