Tetesi: Mbunge Shangazi ana ubia na Kampuni ya DP World

Mie siandamani bali nitapiga goti kumuomba Jehova ashughurike na hao wezi, imani yangu inao uwezo wa kuhamisha milima.
Kila la heri mtumishi. Utaomba maombi ya aina gani? Ya visasi na kupatilishwa ili mafisadi wote wafe? Mungu Aingilie ugomvi?

Uzuri/"Ubaya" wa Mungu ni kwamba Yeye huwa hapangiwi ratiba ya kujibu maombi yako. Anaweza akajibu leo, kesho au baada ya miaka elfu moja...au anaweza asijibu kabisa!

Hitimisho: Njia yako ya kuikomboa nchi yako ni ya kinjozi zaidi. Nakushauri uingie kwenye maandamano yatakayoitishwa na Mbowe!
 
Hitimisho: Njia yako ya kuikomboa nchi yako ni ya kinjozi zaidi. Nakushauri uingie kwenye maandamano yatakayoitishwa na Mbowe!
Maandamano sio solution, kumbuka vita hii sio ya kimwili, na hao wapiga dili walianzia kwa waganga wa kienyeji so hii ni vita ya kiroho.

Mafisadi na majini yao ya kuwaletea hela za dhurma, makahaba wao na rasrimali zao zote lazima vitoweke kwa njia ya maombi.

Tunapambana na nguvu za giza mkuu, huyo Mbowe ni tapeli hana jipya ktk mapambano huu aandamane peke yake na matapeli wenzie.
 
Sasa nimekuelewa Mtumishi.

Sina hata swali la kuuliza.

Vita ni vita mura!
 
Simtetei lakini mkataba ulisainiwa Oktoba mwamba Kauliza novemba ila je mbona wengine tulichelewa kusanuka shangazi asulubiweeeeeeee
 
Kwani TAKURURU wao siyo zao la mfumo huu huu wa kifisadi? Kwani wao wameshushwa kutoka Sweden, Finland au Denmark? Si ajabu ndo walitoa assurance kwa watia sahihi kuwa hakuna kitakachoharibika!
Utakuta hata hiyo kazi ya TAKUKURU alipata kwa Rushwa.
 
Shangazi kaja na begi la Shangazi
 
Wakati huo huo Gwajima naye anaomba waendelee kulamba asili vzr bila bughuza

Hii itakuwa kama lile tukio la Nabii Eliya na manabii wa baal. Gwajima na genge lake kama atakuwa na msimamo huu wa kutetea kulamba asali atalambwa yeye na Moto Ulao wa Mungu wa Mbinguni.
 
Mwisho wa siku yakimshinda mwenzio atakimbilia kwao Oman wewe utarudi kwenu Maneromango hohe hae... kuwa na akili hata kidogo basi we ajuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…