Mbunge Tarimba apendekeza TANESCO kufumuliwa na kuwepo kampuni 3 kwa ajili ya Uzalishaji, Usafirishaji na Ugawaji umeme

Mbunge Tarimba apendekeza TANESCO kufumuliwa na kuwepo kampuni 3 kwa ajili ya Uzalishaji, Usafirishaji na Ugawaji umeme

Wakikaa kimya; HAKUNA WANAFOFANYA ZAIDI YA KUPIGA MAKOFI!!

wakiongea na kutoa michango; MAFISADI HAO, WEZI, WAMETUMWA!!

wakati mwingine nachukia kweli kuwa raia wa nchi moja na hii mijitu isiyojuelewa iliyojaa fitna, wivu, uzushi na majungu!
 
Mimi niulize swali, ni nani anahusika na kufanya tafiti kwa ajili ya vyanzo vipya vya umeme hapa Tanzania?
 
Mimi niulize swali, ni nani anahusika na kufanya tafiti kwa ajili ya vyanzo vipya vya umeme hapa Tanzania?
Anayetafuta vyanzo vipya vya umeme ni wizara ya nishati. Lakini pia mashirika yake kama TPDC katika masuala ya gesi na mafuta na tanesco katika masuala ya teknolojia.
 
What if kwa maono yake mtoa pendekezo kuigawanya TANESCO makampuni matatu tofauti itaongeza tija na ufanisi?
Uzalishaji - Shirika lake
Usafirishaji - Shirika lake
Usambazaji - Shirika lake.

Tukiachana na ubishani ambao tunaweza kuufanya hapa, kwa maoni yangu TANESCO kwa sasa wanafanya kazi nyingi mno.
Ili kuongeza tija, hata kama litabaki kuwa Shirika moja, liongezewe uwezo kwa kiwango kikubwa sana kwa maana ya rasilimali watu, teknolojia, miundombinu, fedha n.k

Vinginevyo tuligawe ili tupate mashirika matatu yatakayoshugulika na maeneo madogo madogo kwa ufanisi mkubwa.

Kwa hali ilivyo sasa hii TANESCO sidhani kama itaweza kui'accommodate Tanzania ya kweli ya viwanda na mradi wa treni ya umeme.

Muda utaongea.
Hoja hii iliwahi ,kutolewa na watu wengi tu akiwemo Zitto.Kabwe...nafikiri.kuna hoja!
 
Kosa inaanzia hapo kwa maoni yangu, kungekwepo na taasisi ambayo inahusika na tafiti kuhusu vyanzo mbalimbali za umeme.
Pia kungekwepo na taasisi unayojitegemea kwa ajili ya uzalishaji pekee, TANESCO iachiwe kazi ya kusafirisha na kusambaza kwani unapotegemea kitu kutoka kwa taasisi nyingine lazima umakini ufanyike ili kuepuka hasara kwa kila pande
Anayetafuta vyanzo vipya vya umeme ni wizara ya nishati. Lakini pia mashirika yake kama TPDC katika masuala ya gesi na mafuta na tanesco katika masuala ya teknolojia.
 
What if kwa maono yake mtoa pendekezo kuigawanya TANESCO makampuni matatu tofauti itaongeza tija na ufanisi?
Uzalishaji - Shirika lake
Usafirishaji - Shirika lake
Usambazaji - Shirika lake.

Tukiachana na ubishani ambao tunaweza kuufanya hapa, kwa maoni yangu TANESCO kwa sasa wanafanya kazi nyingi mno.
Ili kuongeza tija, hata kama litabaki kuwa Shirika moja, liongezewe uwezo kwa kiwango kikubwa sana kwa maana ya rasilimali watu, teknolojia, miundombinu, fedha n.k

Vinginevyo tuligawe ili tupate mashirika matatu yatakayoshugulika na maeneo madogo madogo kwa ufanisi mkubwa.

Kwa hali ilivyo sasa hii TANESCO sidhani kama itaweza kui'accommodate Tanzania ya kweli ya viwanda na mradi wa treni ya umeme.

Muda utaongea.
Financing ya hayo mashirika matatu itakuwaje?
Ni lipi litapokea malipo ya luku? Mzalishaji, msafirishaji ama msambazaji?
 
xx

Alichosema Abbas Tarimba sio kipya kabisa...

Hata ukisoma Tanzania Power Syetem Mster Plan (TPSMP) hivyo imependekeza kwa miaka mingi sasa!!

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa (TPSMP) ilianzishwa ama awamu ya Mkapa au KIkwete!

Wakati wa JPM nao ikawa updated lakini versions zote bado zinazungumzia suala alilosema Tarimba!

Hata suala la uwepo wa independent power producers kwa sasa ni kutokana na hiyo Tanzania Power System Master Plan!

Katika awamu zote, serikali imekuwa na kigugumizi kwenye
Kimsingi sina shida na kuimarisha kampuni katika sehemu tatu kama alivosema mh.mbunge. Shida inakuja kwenye modal ya utekelezaji tukiingiza private sector tumepigwa hii nchi naijua utadhani mamangu [emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Mbunge wa Kinondoni, Tarimba Gulam Abbas amehoji ikiwa Serikali haioni ni muda mwafaka wa kulifumua Shirika la Umeme (TANESCO) ili kuwe na Kampuni tatu kwa ajili ya kufanya Generation Uzalishaji, Usafirishaji na Usambazaji kama ilivyo Nchi nyingine.

Akimjibu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kukatwa na kutolewa kwa maeneo hayo kwa watu tofauti kunaweza kuleta athari kwenye Usalama wa Nchi pale Umeme unapohitajika wakati wote na mmoja ya waliopewa jukumu awe anaenda kinyume na mipango, hivyo malengo kushindwa kufikiwa.

Amesema kwa Hali iliyopo Nchini, maeneo yote ya Uzalishaji umeme yanaendelea kufanya hivyo lakini changamoto ni miundombinu ambayo hata sasa inapeleka baadhi ya maeneo kukatiwa Umeme.
Hoja ya Zitto ya miaka nenda rudi, maccm yanaibuka nayo leo bila hata ya kuacknowledge kuwa hii akili si ya kwao, pumbavu kabisa
 
Kama inashindwa kuperform leo ikiwa chini ya komandi moja hiyo ya sauti tatu unaona itakuwa na tija? Suala la vyeo ni tatizo kwani vyeo siyo majina zina gharama Kama hilo hulijari basi kuna tatizo mahali.
Rea vip sio tawi la Tanesco
 
Kosa inaanzia hapo kwa maoni yangu, kungekwepo na taasisi ambayo inahusika na tafiti kuhusu vyanzo mbalimbali za umeme.
Pia kungekwepo na taasisi unayojitegemea kwa ajili ya uzalishaji pekee, TANESCO iachiwe kazi ya kusafirisha na kusambaza kwani unapotegemea kitu kutoka kwa taasisi nyingine lazima umakini ufanyike ili kuepuka hasara kwa kila pande
Hata kama kungekuwa na taasisi ya kuzalisha umeme bado kusingekuwa na ongezeko la umeme kama uwekezaji hauongezeki.

Utafiti wa vyanzo vipya vya umeme haiwezi kuwa kazi ya kudumu bali itafanyika kulingana na mahitaji.

Tatizo tulilonalo ni uwekezaji mdogo (investment) katika vyanzo vya umeme tulivyonavyo.
 
Mbunge wa Kinondoni, Tarimba Gulam Abbas amehoji ikiwa Serikali haioni ni muda mwafaka wa kulifumua Shirika la Umeme (TANESCO) ili kuwe na Kampuni tatu kwa ajili ya kufanya Generation Uzalishaji, Usafirishaji na Usambazaji kama ilivyo Nchi nyingine.

Akimjibu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kukatwa na kutolewa kwa maeneo hayo kwa watu tofauti kunaweza kuleta athari kwenye Usalama wa Nchi pale Umeme unapohitajika wakati wote na mmoja ya waliopewa jukumu awe anaenda kinyume na mipango, hivyo malengo kushindwa kufikiwa.

Amesema kwa Hali iliyopo Nchini, maeneo yote ya Uzalishaji umeme yanaendelea kufanya hivyo lakini changamoto ni miundombinu ambayo hata sasa inapeleka baadhi ya maeneo kukatiwa Umeme.
Sio lazima ikiwa break up eti wapewe wawekezaji binafsi,hata ikiwa kama REA sawa..

Hata hivyo hoja ya sijui usalama utakuwa compromised ni upuuzi,huko kwingine inakofanyika wao hawaogopi usalama?

Silaha tuu zinatengenezwa na kampuni binafsi,akina Lugumi wanapewa tenda za kuleta silaha ndio ije kuwa mambo ya umeme?

Kwani saizi hackers wakiamua ku jam tumfumo twa bongo kuna nini tutafanya?
 
Duh!! Hawa jamaa wanamdharau Sana Mama.
Naamini angalau hili ataliepa.
 
Back
Top Bottom