Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Jamani usanii mwingine ni mbaya sana. Mkurugenzi wa jiji aliwatangazia madiwani wote wakiwamo wa CCM kwamba kuna semina baada ya kutokubaliana kuhusu mamluki kutoka Tanga lakini baadae CCM wao wakaitana baadae Chadema wakshangaa kuwa wako peke yao ktk semina, wakakimbilia Manispaa wakakuta CCM wenzao na yule wa TLP wameshafanya uchaguzi na kujipa umeya na kumpa wa TLP Unaibu
Kama waliambiwa kuhusu semina hiyo kwa maandishi basi huyo Mkurugenzi atakuwa na kazi kujitetea. Mimi kila siku naamini kuwa tatizo letu si wanasiasa bali ni technocrats ambao hawataki kutimiza wajibu wao. Hawa watumishi wa umma wangekuwa na wito hakuna mwanasiasa ambae angefurukuta.
Amandla.......