Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hawawezi kuzika tofauti zao mgambo ana baraka zote kutoka kwa maguMm nashauri itafutwe njia ya wawili hao Lema na Gambo wakae na kuzika tofauti zao na kila kiongozi afanye majukumu yake bila kuingilia majum ya mwingine tunataka arusha isonge mbele kimaendeleo bila malumbano ya viongozi wa kuchaguliwa na kuteuliwa