Tetesi: Mbunge wa Arusha Mjini pamoja na Meya wasakwa na Jeshi la Polisi

Tetesi: Mbunge wa Arusha Mjini pamoja na Meya wasakwa na Jeshi la Polisi

Mtoa mada umeandika kishabiki sana, #chagadema# #chagadema#
 
Acha kuandika vitu vya hovyo hovyo, mkuu wa mkoa awalazimishe polisi wamkamate lema ili iweje,kama anaitajika na jwshi la polisi taratibu zipo
Ndo umeandika nini? Rudia kusoma unakimbizwa?
 
Lakini ujue pia kuwa biashara ya utalii pamoja na uchumi wake ni very very delicate and fragile... One mistake once done has massive negative effects..!


Arusha inabebwa na Geographical location....Arusha ni kati kati ya Mlima Kilimanjaro, Serengeti na Nairobi...hapo bado uwepo wa Mbuga za Ngorongoro, Tarangire, Manyara, Arusha National park n.k

Sasa kama kuna mikakati basi ijumuishe na kuihamisha Arusha hapo ilipo...otherwise ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa kupaka upepo rangi.

Hili ombwe la uongozi likemewe tu kwa bidii zote ili tubaki salama.
 
Hata ingekuwa ni mimi ningemwambia hakuna nafasi kabisa kama angekuwa na vigezo vyote wanajiona malaika sana
Alikuwa anatafuta kazi kwenye kampuni lakini wenye kampuni wanasema 'hawa waliofikia ngazi kubwa serikalini siyo wa kuwaajiri, huwa ni wasumbufu'.

Vijana wanaoteuliwa kwenye nafasi kubwa serikalini ni wa kuwaonea huruma:
1) Uwezekano wa kubakia kwenye nafasi zao ndani ya serikali mpaka uzeeni ni finyu sana
2) Wakitemwa serikalini, ni ngumu sana kuajiriwa kwenye sekta binafsi
3) Wengi wao huwa hawana uzoefu wala uwezo wa kuendesha shughuli binafsi kutokana na kutokuwa na uzoefu katika masuala ya ujasirimali
4) Uzoefu wao katika kutoa amri, huwaondolea werevu wa kitaalam
 
Lema anataka kwenda magereza na ninaona Gambo kamgomea maana kale kamchezo kake kule jela anamekamic[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Arusha Gambo anaonekana kituko......ni kati ya viongozi wa siasa anae dharaulika hapa arusha
 
Jeshi la polisi mkoani Arusha linajipanga kumkamata mbunge wa Arusha Mjini na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha leo usiku au alfajiri sana kesho
Taarifa za uhakika zinasema kuwa polisi wanashinikizwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo kumkamata mbunge huyo kutokana na mgogoro mkubwa uliopo kati ya wawili hao.Shinikizo la RC Gambo limewachukiza baadhi ya maofisa wa polisi hasa kitengo cha upepelezi kwa kuwa wao polisi hawana sababu ya kumkamata,hata hivyo Bwana Mrisho Gambo amesisitiza kuwa lazima wakamatwe kutokana na kile yeye RC anachodai kuwa Mbunge amemkosea yeye binafsi na mh Rais.
Katika mikutano ya hadhara aliyofanya mbunge pamoja na madiwani akiwepo Mstahiki meya walitangaza kutompa ushirikiano wowote RC na DC kwa kile walichoita matumizi mabaya ya madaraka yanayofanywa na RC na DC.Tamko hilo limeungwa mkono na wananchi mbalimbali katika jiji la Arusha na viunga vyake.Kufuatia uungwaji mkono huo RC amekosa amani na imani ya kutembea bila ulinzi mkali wa polisi.
Itakumbukwa kuwa mke wa Mh. Mbunge wa Arusha mjini Bi. Neema Lema alishikiliwa na jeshi la polisi kwa masaa manne juzi Jumatano wiki hii Octoba 26 . Neema Lema alishikiliwa kwa amri ya mkuu wa mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo! Inadaiwa kuwa Neema amekuwa nguzo kuu ya ujasiri wa mumewe na katika kila hatua amekuwa na mchango mkubwa sana kwa mumewe ambaye ni mbunge aliyechaguliwa kwa zaidi ya kura 65,000. Taarifa zinazidi kusema kuwa mkuu wa mkoa amechukizwa na kitendo cha line ya simu ya Mbunge kuwa na jina la Neema ambaye ni mkewe.
Baada ya kuhojiwa kuhusu line inayohisiwa kutuma sms yenye neno *Shoga* Bi Neema Lema alikana kuhusika na kumiliki line iliyotuma sms hiyo,hata hivyo alisema neno Shoga sio tusi bali ni rafiki,na akatoa mfano kuwa kwa utamaduni wa wanawake huitana Shoga!
Baada ya kushikiliwa kwa muda wa masaa manne Bi. Neema ametolewa bila masharti, wala bila kuwa na kesi yoyote ya kujibu.

My take
RC acha kutumia madaraka vibaya,je ni hasira ya kuzomewa kula burka ulikotaka kupotosha umma?Je ni hasira ya hotuba kali za Mbunge?Hizi hotuba zinaeleza ukweli?je utaweza kushindana na Ukweli?
Kamwe mtu aliyeteuliwa na mtu mmoja hawezi kushinda mbunge mwenye kura 65,000 ni swala la muda tu.

Nadhani ni wakati mwafaka Rais achukue maamuzi sahihi.
Gambo ni mteure wake anao uwezo wakumpeleka popote hata ampe uwaziri mkuu kama ni kipenzi chake lakini hili la kupandikuza chuki si kitu kizuri.
Lema ni mwanasiasa, Gambo ni mtendaji anahitaji busara ya ziada kama atataka kufanikiwa Arusha.
Ntibenda hakuwa mjinga kuiongoza Arusha kwa akili na maarifa, alikuwa na vyombo vya dola lakini alitumia diplomasia zaidi hivyo ndg yangu Gambo ajifunze kwa aliye mtangulia itamsaidia sana. Asishindane na wanasiasa, wao wanachokiona siku zote ni uchaguzi ujao (next election), kiongozi anaona kizazi kijacho (next generation). Hivyo basi kila mmoja ajitambue kwa manufaa ya wanachi na si ya vyama vyenu.
 
Kwa taarifa yenu kuna mpango mkakati wa kuhakikisha kuwa jiji la Arusha linadhohofishwa na "rire lijiji retu kure kwetu" kupandishwa chati...

Kuna kamati maalum imeundwa kufanikisha zoezi hilo...
Wataanza na vurugu ili wazoroteshe sekta ya utalii Arusha.
Kilele kitakuwa ufunguzi wa viwanja vikubwa vya ndege Mwanza (Serengeti Intl. Airport) na Chato (Rubondo Intl. Airport)..

Wao wanasema ware jamaa wamekura sana sasa ni zamu yetu..!!
Mimi humu ni mjumbe tu kuwafikishieni hizi dondoo...
Alaaah, kumbe
 
Jeshi la polisi mkoani Arusha linajipanga kumkamata mbunge wa Arusha Mjini na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha leo usiku au alfajiri sana kesho
Taarifa za uhakika zinasema kuwa polisi wanashinikizwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo kumkamata mbunge huyo kutokana na mgogoro mkubwa uliopo kati ya wawili hao.Shinikizo la RC Gambo limewachukiza baadhi ya maofisa wa polisi hasa kitengo cha upepelezi kwa kuwa wao polisi hawana sababu ya kumkamata,hata hivyo Bwana Mrisho Gambo amesisitiza kuwa lazima wakamatwe kutokana na kile yeye RC anachodai kuwa Mbunge amemkosea yeye binafsi na mh Rais.
Katika mikutano ya hadhara aliyofanya mbunge pamoja na madiwani akiwepo Mstahiki meya walitangaza kutompa ushirikiano wowote RC na DC kwa kile walichoita matumizi mabaya ya madaraka yanayofanywa na RC na DC.Tamko hilo limeungwa mkono na wananchi mbalimbali katika jiji la Arusha na viunga vyake.Kufuatia uungwaji mkono huo RC amekosa amani na imani ya kutembea bila ulinzi mkali wa polisi.
Itakumbukwa kuwa mke wa Mh. Mbunge wa Arusha mjini Bi. Neema Lema alishikiliwa na jeshi la polisi kwa masaa manne juzi Jumatano wiki hii Octoba 26 . Neema Lema alishikiliwa kwa amri ya mkuu wa mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo! Inadaiwa kuwa Neema amekuwa nguzo kuu ya ujasiri wa mumewe na katika kila hatua amekuwa na mchango mkubwa sana kwa mumewe ambaye ni mbunge aliyechaguliwa kwa zaidi ya kura 65,000. Taarifa zinazidi kusema kuwa mkuu wa mkoa amechukizwa na kitendo cha line ya simu ya Mbunge kuwa na jina la Neema ambaye ni mkewe.
Baada ya kuhojiwa kuhusu line inayohisiwa kutuma sms yenye neno *Shoga* Bi Neema Lema alikana kuhusika na kumiliki line iliyotuma sms hiyo,hata hivyo alisema neno Shoga sio tusi bali ni rafiki,na akatoa mfano kuwa kwa utamaduni wa wanawake huitana Shoga!
Baada ya kushikiliwa kwa muda wa masaa manne Bi. Neema ametolewa bila masharti, wala bila kuwa na kesi yoyote ya kujibu.

My take
RC acha kutumia madaraka vibaya,je ni hasira ya kuzomewa kula burka ulikotaka kupotosha umma?Je ni hasira ya hotuba kali za Mbunge?Hizi hotuba zinaeleza ukweli?je utaweza kushindana na Ukweli?
Kamwe mtu aliyeteuliwa na mtu mmoja hawezi kushinda mbunge mwenye kura 65,000 ni swala la muda tu.
Bila shaka Mrisho Gambo atakuwa na matatizo ya kiafya au ya kishamba , mnamkamataje mke wa mtu kwa sababu za kishamba kama hizo ?
 
Mtamtafuta kick mpaka gizani
Lakini Gambo kiboko ya Wapuuzi.

Lema ana kazi kwa Gambo
Lazima aelewe Gambo ni bosi wake
Apende asipende
Na Arusha gambo haondoki ng'o
Hivi anavyozomewa kama kanyinyea humuonei huruma?

Basi mtakuwa mmemloga maana Arusha hatunaga kubadiri jina la rangi.
 
Back
Top Bottom