Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Shida hapo ugomvi wao hawa wawili unachochewa na mkulu na ndio tatizo kubwa ktk mkoa huo
Inasikitisha kuona Rais mzima kukosa busara ya kuingilia kati mgogoro huu wa kipuuzi unaosababishwa na Mteule wake Gambo!
Mimi kwa kumheshimu Rais JPM napenda kumpa ushauri wa bure na sihitaji hata ukuu wa Wilaya au Mkoa! Kwamba: KWA HALI INAYOENDELEA ARUSHA KATI YA MBUNGE LEMA(Chaguo la Wananchi)na RC GAMBO(Chaguo la Rais) LAZIMA RAIS AIDHA AMUHAMISHE MTEULE WAKE GAMBO AU AMFUKUZE KAZI! Rais Magu asitegemee chembe ya maendeleo jijini Arusha kwa hali hii!Kwa vile Lema ni Mbunge wa kuchaguliwa na Wananchi Rais hana mamlaka ya kumwondosha ila kwa Gambo anaweza!
Kama Rais JPM hawezi kuchukua ushauri huu wa bure basi kuna hatari ya kuanza kuwatengeneza kina Mwamwindi wa Arusha na huyu Gambo ni mwanadamu kama wengine na huenda yaka mtokea kama yaliyomtokea Dr.Kleruu(RIP) enzi za uhai wake! It' s just a matter of time!