Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haaa haaaa.... alikuwa hataki nyumba ya mkuu wa mkoa mza na akaamua kukaa Malaika hoteli kwa mapesa kibao..... malipizi ni hapa hapa Dunia....Magesa ndo yule alikuwa Arusha alikuwa anapambana sana na Lema ?kuna siku nimekutana kwenye basi naelekea Dar amechoka sana mpaka huruma
Jibu sahihi kabisa.Mkaka wewe unaishi Arusha?
Ngoja nkupe elimu kidogo watalii Arusha wamepungua kwa sababu ya kodi kubwa ambayo imeongezwa kwenye kodi ya utalii
Lakini Lema akisema Magufuli ni dikteta ambaye anaweza kupigwa shaba,kiusalama haijakaa sawa...Pengine Lema ana mpango wa kumuua Magufuli?
Ila siasa za CCM ndio safi? Waswahili ni kinyaa!!Siasa za upinzan hiv sasa ni kama walevi walevi wasiojitambua.
Wanatia huruma sana
Ila siasa za CCM ndio safi? Waswahili ni kinyaa!!
Rumour mongering!Kwa taarifa yenu kuna mpango mkakati wa kuhakikisha kuwa jiji la Arusha linadhohofishwa na "rire lijiji retu kure kwetu" kupandishwa chati...
Kuna kamati maalum imeundwa kufanikisha zoezi hilo...
Wataanza na vurugu ili wazoroteshe sekta ya utalii Arusha.
Kilele kitakuwa ufunguzi wa viwanja vikubwa vya ndege Mwanza (Serengeti Intl. Airport) na Chato (Rubondo Intl. Airport)..
Wao wanasema ware jamaa wamekura sana sasa ni zamu yetu..!!
Mimi humu ni mjumbe tu kuwafikishieni hizi dondoo...
Lakini Lema akisema Magufuli ni dikteta ambaye anaweza kupigwa shaba,kiusalama haijakaa sawa...Pengine Lema ana mpango wa kumuua Magufuli?
Ntibenda alikuwa anafanya kazi sana Arusha wakamwondoa kwa sababuu chuki za vijana wa chama chao.Ntibenda aliondolewa Arusha kwa bifu za UVCCM kwa sababu alikuwa anashirikiana vizuri na Viongozi wa upinzani ndo huyu Gambo akiwa DC akapandishwe cheo kuwa Rc baada ya kutofautina na Lema kwenye kikao mbele ya Naibu Waziri Jafo akiwa kwenye ziara jijini Arusha.
Gambo anatakiwa kutumia zaidi busara kama ana bifu zake na Lema anatakiwa kuziweka pembeni kwa sasa.