Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

Bado watataka kila mbunge anayeingia kwenye Bunge la Tanzania atununukiwe PhD ya heshima
 
Kwa nilivo elewa mimi ni kwamba wapewe cheti cha degree ila kiwe kiwe kimechanwa katikati,
 
Hii Nchi kmmk, huenda hata Mungu mwenyewe alishaitelekeza na kuisahau kitambo sana.
 
Wasukuma ndio watu pekee huwa wanajisifia kutokuwa na elimu au kutosoma ni sifa yupo huyu na musukuma. Na wote ni vituko huko bungeni. Wasukuma ni washamba sana ila sio wote.
 
Huyo Kishimba ana degree? Aambiwe suala la degree lina context ya international calibration of educational qualifications. Sasa hizo nusu degree nani atazitambua, serikali ya CCM peke yake ndani ya mipaka ya Tanzania?

Angekuwa na akili angesema angalau wapewe diploma au certificates, lakini kufanya hivyo huamui tu, inabidi chuo kifanye reconfiguration ya course, ukiishia mwaka wa tatu mfano, ikubalike hiyo ni equivalent to diploma.

Na kama angekuwa na akili sana, angesema wapewe mitihani ya equivalent course ya diploma

Kuna wabunge wanaongea utafikiri walisahau akili nyumbani
Atleast kaongea hoja though hakua na uwezo wa kuifafanua kama ulivofanya wew, hii ni kwakua anapungukiwa vitu flani vya kitaaluma

Hoja yake ni mhimu kufanyiwa kazi
 
Wasukuma ndio watu pekee huwa wanajisifia kutokuwa na elimu au kutosoma ni sifa yupo huyu na musukuma. Na wote ni vituko huko bungeni. Wasukuma ni washamba sana ila sio wote.
Wanaishi uhalisia, na wanaonekana kua na utimamu wa akili kuliko wanaojinasibu kua wasomi

Unadhani wasomi wameivusha nchi ukilinganisha na enzi za akina MKWAWA?
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂

====

Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.

Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
kwa kigezo cha kujua kusoma na kuandika yupo sahihi
 
Mtu kuwa na Pesa Bila elimu

Kuna mahali atakwama

Kishimba Pesa anayo elimu kubwa Hana

Pesa Bila elimu kubwa lazima mtu atachemka tu na Pesa zake kuonyesha kuwa yeye Mjinga wa kutupwa

Kishimba ana biashara nyingi tu Tena kubwa Kuna mahali aliongea bungeni kuwa ana watoto wamemaliza degree Lakini kazi hawajapata Serikalini

Nilichoka na uzee ule Hana succession plan kama wahindi, waarabu na wapemba kuajiri watoto wake wenye digrii waendeshe biashara sababu yeye ni darasa la saba tu

Mbona Bahkheresa darasa la pili tu kakabidhi wanawe waendeshe biashara zake zote alipowasomesha akaona wasomi akawapisha

Kuwa na Pesa Bila elimu kama mwenye Pesa haiitambui kama huyo mbunge kishimba Mali na Pesa zake haziwezi kuwa na future ya muda mrefu ya generations kama business za wazungu ,wahindi ,waarabu na wapemba

Iliniuma sana anaongea bungeni kuwa watoto wake wamemaliza digrii na hawana ajira

Eee Mungu warehemu watoto wa tajiri na mbunge Kishimba waliomaliza digrii na baba Yao hataki hata kuwapa ajira na kuwapa uongozi kwenye Kampuni zake

Mzee Kishimba mnoko sana Kwa watoto wake

Hizo Mali atazikwa nazo roho mbaya huyo Mzee Kwa wanawe
 
Mi Nadhani walimalize tu hamna hoja tena
 

Attachments

  • aed6353915a14b0ca49e4e0215534bcc.mp4
    1.4 MB
System na standard ya elimu haijui, haya ni matokeo ya kuchagua wabunge wasin na elimu.
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂

====

Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.

Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Nami nashauri tukopeshwe digirii.
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂

====

Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.

Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Kuna kitu Kishimba alitaka kukisema ,na inawezekana nikizuri kabisa ila ameshindwa namna yakukiweka ili aeleweke. Ajipange vizuri siku nyingine akiseme kwani Kuna mantiki flani anayo kwenye hilo
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana [emoji23]

====

Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.

Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Hawa Wabunge wa kuteuliwa na MAGUFULI ni janga la TAIFA
 
Back
Top Bottom