Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Kwahio Mbowe yeye sio MTU binafsi, I don't argue with fools! Weka na ya Mbowe , mbona simple tu
Mbowe na Lisu it is known they have wanaume as their hub, so msitake kuleta ujinga hapa wa kutudhalilisha wana CCM kupitia maisha binafsi. Kwanza mbunge naona kaongea poa kabisa na anaonekana ni lijali aka mwanaume! CCM Iko juuuu
 
siku ukimjua mwanamke au ukiingia kwenye ndoa bas utajilaumu sana kwa hichi ulichokileta humu
 
Tuweke siasa kando, je unawajuwa vizuri wanawake?

Anamprovoke mwanaume halafu anategesha video recording, msiwachekee wanawake wapumbavu kama hawa.

Kuwa mbunge hakuondoi hisia za kibinadamu, ukimchoma kisu anaumia na anatoka damu.
 
Mwanamke anatafuta sympathy ya jamii..

Kwa haraka haraka inaoekana hii ishu si mpya, ni kawaida.. jamaa katoa shutuma kuwa mkewe analeta mabwana ndani, mwanamke hajakanusha hii, zaidi ya kuleta kauli ya utapeli...
Mjuba kwa hasira kajibu sawa na mama yako alimtapeli baba yako.. 😂



Wote chenga ya nini kugombana kwenye hadhara, mwanamke chenga zaidi kaakua kuchukua video aoneshe dunia nzima.
 

Matatizo yoyote yaliko kwenye ndoa ji bora mka solve nyie wenyewe kuliko matangazo.
Silaha ya mwanamke ni mdomo, kujibizana kunakuharibia mtoto wa kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…