witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 722
- 237
Kumbe ni walewale mliolipwa mnakusanya kila upuuzi ili mhalalishe upumbavu wenu, nyie kweli hamna akili. Hata km ni kweli mnaunganisha vipi na hayo mengine. Mmeshachoka mnaokoteza kila puzi mtaani. Na mtachoka kweli wakati mama naupuga mwingi, kwanza mjitathmini minyau km nyie mnawezaje kumkwamisha rais kwa mfano, rais na manyau km nyie ni km mbingu na ardhi.Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
shujaa wako wewe zuzuShujaa Magufuli alituweza sana 2020!
Zuzu ni Wewe Zembwela jazz!shujaa wako wewe zuzu
Shujaa wa johnthebaptistshujaa wako wewe zuzu
Mimi si mwanamke ila pia sioni dhambi Kwa MTU kuwa mwanamke, unless huna ndugu wa kike ndio utaongea ujingaNaona unamtetea mwanamke mwenzio bila kujua chanzo
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Mapenzi ni nyoko aisee! Yaani mbunge ana pesa lkn mapenzi yanamtesaAiseh hivi pamoja na kuwa na mpunga mrefu vile bado tu wanatapeli?
Kweli ndoa ni kiboko
Mwanamke hana adabu huyu. Mwanamke ni pasua kichwa na hakufunzwa na mamaye Wala hakufunzwa. Na ndiye karekodi hii video. Mshenzi sana huyu mamaSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Wewe ndiye umeona mbali mkuu. Huyu mwanamke ni mshenzi wa tabia. Na ndiyo karekodi hii videoHuyo mwanamke ndiyo mpuuzi!
Chawawamama saidMbona hata mbowe huwa anatoga sikio. Haya mambo ya kishabiki ya maisha binafsi ya watu mkome kuyaleta majukwaani
Tatizo lako ni kurekodi? Nawe huna akili. Ni mpumbavu kama huyo mzeeWewe ndiye umeona mbali mkuu. Huyu mwanamke ni mshenzi wa tabia. Na ndiyo karekodi hii video
Timu ya Single mother's leo imepata mwanachama mpya ex- wa MheshimiwaMwanamke hapa kazingua issues za ndani kaamua kuleta nje kama Mwanaume hiyo gut ya kutulia anatoa wapi?
Mwanamke kajileta mwenyewe kisa Mkwanja kumbe tunda anagawa kwa watu wengine Mbunge kagundua huo wizi kaamua kutimua mtu.
Guys remember kuona Rais wa Nchi, Waziri na hata Mbunge nae kuna vitu anahitaji kufanya kama wewe hapo ni katoka kwenye kundi letu huku.
Johnthebaptist saidShujaa Magufuli alituweza sana 2020!