Mbunge wa Geita Mjini anatia mashaka. Anataka kusema Musukuma ni muongo?

Hata kama hawezi kujiamulia mambo. Kitendo cha kupeleka pendekezo la kununua gari la kutembelea lenye thamani ya mil 400 kwenye nchi yenye ufukara kama Tanzania kinaonyesha hafai kuwa kiongozi. Uongozi ni pamoja na kuwa na busara ya kutotumia gharama fedha za umma bila ulazima hata kama taratibu zinaruhusu. Labda tuseme kinachotakiwa kufanywa ni huyo mkurugenzi kuondolewa mara moja pamoja na wote waliopitisha huo mchakato.
 
Siyo Geita vijijini sema Halmshauri ya Wilaya ya Geita. Ndiyo yupo! Na juzi tu Msukuma huyo huyo akafanya ziara ya kushitukiza pale ofisini kwao Nzera!
Kwahiyo Kanyasu na Msukuma ni madiwani wa mabaraza tofauti?
 
Mimi ninavyofahamu wakurugenzi,madc,mawaziri,maRc's na majaji wote wanatumia gari kama alilonunua huyu mkurugenzi. Ndio maana GPSA wanatoa specifications gari gani lipo kwenye orodha inayofaa kununuliwa.
 
Mimi ninavyofahamu wakurugenzi,madc,mawaziri,maRc's na majaji wote wanatumia gari kama alilonunua huyu mkurugenzi. Ndio maana GPSA wanatoa specifications gari gani lipo kwenye orodha inayofaa kununuliwa.
Kama huu ndiyo utaratibu basi tunatawaliwa na mashetani na siyo binadamu. Mbona kuna magari ya bei rahisi mengi na yenye kufaa kwa hiyo kazi.
 
Kama huu ndiyo utaratibu basi tunatawaliwa na mashetani na siyo binadamu. Mbona kuna magari ya bei rahisi mengi na yenye kufaa kwa hiyo kazi.
Kwani boss huwa huoni wakuu wa mikoa au majaji wanamagari gani? Wote wanatumia Landcruiser V8
 
Kwani boss huwa huoni wakuu wa mikoa au majaji wanamagari gani? Wote wanatumia Landcruiser V8
Nilidhani ni yale yaliyonunuliwa zamani bado yapo na Magufuli amebadili utaratibu kwa yanayonunuliwa sasa hivi. Majaji najua na nadhani wana haki. Wakuu wa mikoa kwenda chini kutumia magari ya aina hiyo ni ufisadi.
 
Kamanda mkuu wa Cdm,hawa wote ni ni madiwani wa Geita district council.
Hapana, tusichanganye madesa, kuna Geita District Council na Geita Town Council. Msukuma ni wa Geita DC na Mh. Kanyasu ni wa Geita TC
 
"Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.""
Hajatumbuliwa mtu huku gpsa
 
Mkurugenzi hakujua nguvu ya mbunge..kifupi walikuwa wanamchukulia poa msukuma..msukuma alipomfuata alitakiwa amueleweshe na kama hahusiki na ununuzi alitakiwa aweke documents..kinyume na hapo anamuambia kwanza tunanunua manne tena.
 
Mkurugenzi hakujua nguvu ya mbunge..kifupi walikuwa wanamchukulia poa msukuma..msukuma alipomfuata alitakiwa amueleweshe na kama hahusiki na ununuzi alitakiwa aweke documents..kinyume na hapo anamuambia kwanza tunanunua manne tena.
Msukuma si mjumbe wa baraza la madiwani,hajui taratibu za kuomba taarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…