Likamilike gani mkuu tayari kule Nzera sasa kuna watumishi? Na DED yupo kabisa! Juzi tu Msukuma mwenyewe kafanya ziara ya kushtukiza maana kama watumishi walikuwa wameweka kamgomo fulani hivi ka kuhamia huko! Msukuma anafanyakazi kwa mihemko na hapo ataanzisha ugomvi na Mh. Kanyasu usiokuwa na mwisho!Mpaka likamilike bro,sasa tunajadili kilichopo mezani,ndio maana amemlipua mkurugenzi.
Waziri mkuu alitowa kibali, msipende kuonea watu.Kanyasu anatetea ufisadi!
Hapo uko sawa kabisa mkuu! Ingawa labda tuseme mchakato wakati unapitishwa baraza lilikuwa moja! Lakini Msukuma anajitoa ufahamu tu wakati wanapitisha na yeye alikuwamo!Lakini wakati gari linanunuliwa baraza lilikuwa moja?
Kwa hiyo baraza la madiwani limezinduliwa? Au wapo kwenye hatua za kuanzisha halmashauri?Likamilike gani mkuu tayari kule Nzera sasa kuna watumishi? Na DED yupo kabisa! Juzi tu Msukuma mwenyewe kafanya ziara ya kushtukiza maana kama watumishi walikuwa wameweka kamgomo fulani hivi ka kuhamia huko! Msukuma anafanyakazi kwa mihemko na hapo ataanzisha ugomvi na Mh. Kanyasu usiokuwa na mwisho!
Yaani wanavyowafukuza muda si mrefu wakaanza kuwaumbua! Hata huyu Msukuma wanaenda kusema sasa hivi kwamba bila sisi Msukuma usingekuwa mbunge maana ulikuwa umeangushwa!Waziri mkuu alitowa kibali, msipende kuonea watu.
Mkurugenzi wa Temeke amenunua V8 kwa Million 400 pia, hiyo kamati ikitoka Geita iende Temeke.
Mimi nafurahi tu hawa wakurugenzi kutiwa adabu kwa sababu ndio mitambo ya wizi wa kura, wao ndio wanajuwa jinsi walivyoiba uchaguzi muwaache kabla hawajaanza kuwavuwa nguo.
Mkurugenzi ndiye anayejuwa siri yote ya uratibu wa kuiba kura.Huyo mkurugenzi akapumzike, hamna namna.. sijaona mtu anayeweza kupimana nguvu na joseph kasheku Msukuma.
Maccm yanakulana yenyewe kwa yenyeweFisi wakikosa kitoweo huwa wanakulana wao kwa wao
Kimsingi Mkurugenzi ndio mwenye nguvu kama akijitambuwa na kuzitumia nguvu zake.Mkurugenzi hakujua nguvu ya mbunge..kifupi walikuwa wanamchukulia poa msukuma..msukuma alipomfuata alitakiwa amueleweshe na kama hahusiki na ununuzi alitakiwa aweke documents..kinyume na hapo anamuambia kwanza tunanunua manne tena.
Ni fisadi tu anayeweza kuongea bila uoga kuwa zile sh 400m zilitoka kwenye fedha za ndani hivyo ilikuwa halali kununua gari hilo.
Kanyasu angekuwa China kwa utetezi aliotoa kitanzi kingemuhusu!
Cha ajabu hela zilipokuwa zinatumika kununua wapinzani na chaguzi kurudiwa kwa mabilioni ya hela hatukuskia izi kelele zenuOfcoz ni mali ya halmashauri husika,,,,lakini hoja ya msingi ni kwamba matumizi ya fedha nyingi wakati kuna uwezekano wa kununu gari hata la 200 mili.na fedha nyingine ingesaidia masuala mengine ya kijamii,,kama elimu au afya.
Kuhusu halmshauri nyinginezo sina hakika kama wanatumia gari zenye thamani hiyo,,maana wa kwetu huku niliko anatumia hilux double cabin
Mkurugenzi wa Temeke amenunuwa V8 kwa Million 400 Meya akaleta mdomo akampa lile gari akaagiza V8 nyingine ya million 400 ndani ya miaka hii mitano ya hiki kishindo cha awamu ya tano, ni unafki mtupu.Yaani wanavyowafukuza muda si mrefu wakaanza kuwaumbua! Hata huyu Msukuma wanaenda kusema sasa hivi kwamba bila sisi Msukuma usingekuwa mbunge maana ulikuwa umeangushwa!
Mbona chaguzi za maigizo za waunga juhudi zilitumia mabilioni ya shiling, lakini hatukuskia izi kelele za matumizi mabaya ya pesa?Taratibu za kununua gari ya mkurugenzi yenye thamani ya sh mil 400? Kweli hii nchi ina wenyewe. Bila kujali kama taratibu zilifuatwa au la, lakini kitendo tu cha mkurugenzi anayeongoza halmashauri yenye wakazi mafukara wa nchi ya dunia ya tatu kununua gari la kutembelea tu la sh mil. 400 kinaonyesha huyo mkurugenzi ni fisadi na hafai kuwa kiongozi.
Tatizo we huelewi sababu zinazofanya wanunue magari ya mil 400.Kama huu ndiyo utaratibu basi tunatawaliwa na mashetani na siyo binadamu. Mbona kuna magari ya bei rahisi mengi na yenye kufaa kwa hiyo kazi.
Kwahiyo mkurugenzi ni mzalendo?!Waziri mkuu alitowa kibali, msipende kuonea watu.
Mkurugenzi wa Temeke amenunua V8 kwa Million 400 pia, hiyo kamati ikitoka Geita iende Temeke.
Mimi nafurahi tu hawa wakurugenzi kutiwa adabu kwa sababu ndio mitambo ya wizi wa kura, wao ndio wanajuwa jinsi walivyoiba uchaguzi muwaache kabla hawajaanza kuwavuwa nguo.
We jamaa una simu Kama yangu Tecno F1Hawa wasukuma Bwana Naona wanashida vichwani mwai.Infact ulimsikiliza yule mkurugenzi inaonekana taratibu zote zilifuatwa Kama mpaka ofisi ya waziri mkuu ilitia nataka then Naona yule mkurugenzi Hana kosa na ninachokiona Hapo kuna hidden agenda.Mgao.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
yap,ila kina mdee na kina mbowe wao hawakulani😂😂😂Maccm yanakulana yenyewe kwa yenyeweView attachment 1648827
Mkuu kosa si kutokufata utaratibu ama ufisadi katika gharama za kununua gari.Hawa wasukuma Bwana Naona wanashida vichwani mwai.Infact ulimsikiliza yule mkurugenzi inaonekana taratibu zote zilifuatwa Kama mpaka ofisi ya waziri mkuu ilitia nataka then Naona yule mkurugenzi Hana kosa na ninachokiona Hapo kuna hidden agenda.Mgao.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app