Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

2020 chadema kitarudia status quo yao ya kuwa na wabunge wanne tu. Wameitumia vibaya fursa waliyokuwa wameipata. Yaani ruzuku kazi yake ni kulipia tu deni hewa la m/kiti wao. Yaani wabunge wao lazima 50% ya mishahara yao ipelekwe kwenye chama kulipia hilo deni hewa la m/kiti lisiloisha!! It is now over! Wamasai na wakurya wamekataa. Wambeya (wahehe) wamekataa. Kila mtu amekataa.
Mbowe anawatesa sana MAGAMBA..,kuhangaika kote huko mnataka amrithishe mtu mithili ya Mrema,Cheyo....ili Mumnunue?, Fanyeni siasa acheni UJIWE wa kimungu chenu cha chato.
 
Ulijisikiaje Lowasa alivyohamia Chadema na kumilikishwa chama na Mbowe huku majembe waliopigania chama akina.DR.Slaa wakitupwa nje ya chama kama takataka?.... Ulivyojisikia wewe, ndio hivyo hivyo wana CCM wanavyojisikia sasa hivi
Mimi sina chama mkuu, hili swala nimetolea maelezo hapo juu. Naomba upitie halafu tuendelee na majadiliano. Asante
 
Mbio za sakafuni. Huishia ukingoni.
wanaoondoka hawatutishi wala kutubabaisha.
MWACHE AENDE.
 
Hawa wajinga wa rohoni na kimwili wanatabu saana
 
Siasa bana..
Mbunge / anahama chama kwa madai kwamba wabunge wa upinzani wanalazimishwa kupinga bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti alafu unahamia chama ambacho wabunge wanalazimishwa kupitisha bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti vilevile
Hao ndo wanasiasa wetu
 
Mtamkumbuka Dkt. Slaa!
Kwa lipi?. Tangu aondoke chama ndo kimeitisha dola mpaka jiwe anafanya unayoyaona na kuyasikia, Ujue CDM inaogopwa kuliko kipindi chochote. Mnasema CDM imekufa huku hamlali kwa mahangaiko ya kuidhoofisha kwa mbinu DHALIMU.
 
CCM kuweni na huruma kidogo jamani!. Wakataeni wabunge na madiwani wanaohama kutoka CHADEMA sasa hivi si kwa sababu hawafai bali kusaidia CHADEMA kuwa pumzi. Iwapo mkiwachukua wote na wengine kuwapa UDC si CHADEMA itakuwa haina uwezo wa kujiendesha tena, na siasa za upinzani zitatoweka kabisa nchini?
 
Write your reply...chadema ilifanyakosa kubwa sna kwa dr slaa.angalia wale punda wote waliokuja na luwasa wanakimbia
 
Siasa bana..
Mbunge / anahama chama kwa madai kwamba wabunge wa upinzani wanalazimishwa kupinga bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti alafu unahamia chama ambacho wabunge wanalazimishwa kupitisha bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti vilevile
Vumilia tu mkuu. Kamchezo aka hakataki hasira
 
Hahahahahaha jiwe na polepole mnaweza chezea pesa ya wanamchi kulazimishwa kipendwa wakati huohuo mnazuia uchaguzi usiwe huru
Kamanda huwa mnalilia demokrasia lakini hamna uwezo wa kuhimiri vishindo vya demokrasia....usicheze na demokrasia unaweza tokwa kamasi na mishuzi kila leo...hii ndio demokrasia kamanda kuwa mpole....kwanini muwe na watu wanao nunulika kama ni kweli?

KAMANDA HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA
 
Walipohamia chadema, wslikuwa na akili na hawakuwa na njaa ya madaraka ila sasa ni kinyume.
Bavicha oyeeeee.
 
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.

======

UPDATES; 00:15HRS
View attachment 823188
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Monduli kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Mhe. Julius Kalanga amejiuzulu na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM muda huu kwa kile alichoeleza kuwa ni kuunga mkono juhudi rais Magufuli. Amepokelewa na katibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole.

Siasa za uhasama, malumbano na chuki zimeniondoa CHADEMA. Nimeamua kuiunga mkono serikali ya awamu ya tano kwa maslahi ya taifa... Kwa sababu huwezi kufanya hivyo ukiwa upande wa pili, lazima utaonekana msaliti tu... Wana Monduli naombeni mnielewe, nitakuja kuzungunza nanyi," Julius Kalanga Laizer, aliyekuwa Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CHADEMA.

Julius Kalanga aliwahi kuwa diwani kupitia CCM, kabla ya kuhamia Chadema 2015
Kazi nzuri Polepole. Roho yangu itasuuzika zaidi Joshua Nassari akiondoka chadema. Kwa utendaji kazi wake, haendani kabisa na chadema. Ni type ya JPM tena yule atafaa unaibu waziri fulani kuanza kumtengeneza.
 
Back
Top Bottom