Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

Halafu mnasema wapinzani ndiyo wanamwangusha His Excellency Mr. Magufuli.

Hivi mtu mzima mwakilishi wa raia wengi, yuko kwenye chombo cha kutungia sheria anaongea huo u stupidly, tena wana kaa kimya wanamchekea

Angekuwa ni Halima Mdee au yule wa arusha kasema hivyo leo tungeamka tunaimba "free halima"

Halafu we are serious, October is nearly here.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo point yako ya namba mbili ni kiboko sana, nimeikubali
Yawezekana hujaielewa na kupitia maandishi yako mafupi nimepata maana pana kuhusu wewe na unachokiamini hii ndio tofauti ya mtu aliyesoma philosophy na ambaye hakusoma
 
Halafu mnasema wapinzani ndiyo wanamwangusha His Excellency Mr. Magufuli.

Hivi mtu mzima mwakilishi wa raia wengi, yuko kwenye chombo cha kutungia sheria anaongea huo u stupidly, tena wana kaa kimya wanamchekea..
Asante sana mama
 
Binafsi nakubali mambo mengi anayochangia, namuunga mkono suala la bangi, namuunga mkono ktk hili pia. Ukitaka mwalimu wa chekechea au madarasa ya awali awe mzuri kiufundishaj ni lazma ugeuze akili yake awe km mtt ili aendane na wtt, huez kubaki na akili yako ya Masters ukafundishe huko. Ili kumkamata mwizi ni lazma ukajifunze mbinu wanazotumia, tena ww ujifunze wizi haswaa na uwe mwizi zaidi yao ndipo utakapojua mbinu na namna ya kuwakamata vizuri. Ni sawa na yeyote anayesomea shahada ya ubobevu ktk fani yoyote! Kishimba yupo sahihi sana.
Wewe kumkubali ni haki yako mkuu hakuna atakaye kulaumu
 
Huyu mbunge toka nimeanza kumjua hajawahi ongea point kamwe. Anyway ni haki yake kutoa maoni wako wabunge wako bungeni wanakula posho na kodi zetu bure tu
Kwani kuna mbunge gani wa CCM unayemjua anayeongea point? Kuwa mwanachama tu anakuwa mtalaam katika fani hiyo ndo maana wanateuliwa mojakwamoja toka kijiweni kushika nafasi mbalimbali serkalini kwa umahili wao wa kukwapua. Chuo kitaongeza janga la wizi serkalini.
 
Siyo mchango wake wa kwanza wa ajabu michango yake yote utadhani story za wala ng’anda kijiweni then unakuta watunga sheria wetu wanakenua meno yote 32 nje wanamuona ni generous wao kwa kuwa ana hela . Sa sad ☹️ kuwa na wawakilishi kama hawa
 
Alafu jamaa leo hii anaitwa mheshimiwa
Mmawia jitahidi uongee nae Kishimba, na uwe na uwezo wa kuchambua hoja na hapo ndio utajua kwa nini Kishimba tajiri.
He is a problem solver, na hataki kusumbua akili yake sana na anakwambia shida zote ni ziko kwenye templates na majibu ya shida zote yapo kwenye templates. Anakwambia Dunia haijaanza leo kwa hiyo yote yanayo tendwa ni marudio tuu. Tuyaona mapya kwa kuwa hayaja kutokea.

Naamini anacho kitu ambacho tunaweza kujifunza ila hatujawa tayari kumsikiliza na kuchambua kwa uweledi anaongea nini.

Huwezi kuwa na mali Tanzania, Zimbabwe tena ni viwanda vikubwa vya nguo wakati kichwa kitupu kabisa. Na anafahamu umuhimu wa elimu na ndio maana watoto wake wote ni Graduates wa ngazi mbali mbali na kwenye vyuo vizuri Ulaya na Marekani. Lazima kuna kitu kichwani labda tuu hatuja weza kukifanyia kazi.

Na madini ya maendeleo huwa kwenye vichwa vinavyo fanikiwa lakini hatujui wanafanikiwa vipi.
 
1. Huyo mtu ni darasa la saba ila kaongea kitu ambacho hata maprofesa hawawezi kumuelewa na ndicho kinachoonekana hapa

2. Watu waliopitia vyuo vya kuwaandaa wachungaji na mapadre watakubaliana na mimi kuna somo huwa wanafundishwa kuwa hakuna Mungu na wanasoma phylosopher wengi wanaokataa uwepo wa Mungu ila miaka ijayo ndio wanakuja kusoma kuwa Mungu yupo...
Ngumu sana kumuelewa huyu mwamba
Binafsi nawakubali watu Aina hii
From zero mpk bilionea wanajuaga mengi sana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Alafu jamaa leo hii anaitwa mheshimiwa
Mmawia jitahidi uongee nae Kishimba, na uwe na uwezo wa kuchambua hoja na hapo ndio utajua kwa nini Kishimba tajiri.
He is a problem solver, na hataki kusumbua akili yake sana na anakwambia shida zote ni ziko kwenye templates na majibu ya shida zote yapo kwenye templates. Anakwambia Dunia haijaanza leo kwa hiyo yote yanayo tendwa ni marudio tuu. Tuyaona mapya kwa kuwa hayaja kutokea.

Naamini anacho kitu ambacho tunaweza kujifunza ila hatujawa tayari kumsikiliza na kuchambua kwa uweledi anaongea nini.
Huwezi kuwa na mali Tanzania, Zimbabwe tena ni viwanda vikubwa vya nguo wakati kichwa kitupu kabisa.

Na anafahamu umuhimu wa elimu na ndio maana watoto wake wote ni Graduates wa ngazi mbali mbali na kwenye vyuo vizuri Ulaya na Marekani. Lazima kuna kitu kichwani labda tuu hatuja weza kukifanyia kazi. Na madini ya maendeleo huwa kwenye vichwa vinavyo fanikiwa lakini hatujui wanafanikiwa vipi.
 
Mbona kaongea point, naona yupo innovative

Kama kwenye cyber crimes mfano Kwenye udukuzi ili uweze kumkamata mdukuzi lazima uwe umesomea udukuzi, Kwa kwanini mtu asijifunze mbinu za wizi ili awakamate wezi?!

Nadhani wengi hamkumwelewa ndo maana mnamshangaa.
Ili kumkamata hacker lazima uwatumie mahacker

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Halafu mnasema wapinzani ndiyo wanamwangusha His Excellency Mr. Magufuli.

Hivi mtu mzima mwakilishi wa raia wengi, yuko kwenye chombo cha kutungia sheria anaongea huo u stupidly, tena wana kaa kimya wanamchekea

Angekuwa ni Halima Mdee au yule wa arusha kasema hivyo leo tungeamka tunaimba "free halima"

Halafu we are serious, October is nearly here.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kaongea point

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Siyo mchango wake wa kwanza wa ajabu michango yake yote utadhani story za wala ng’anda kijiweni then unakuta watunga sheria wetu wanakenua meno yote 32 nje wanamuona ni generous wao kwa kuwa ana hela . Sa sad [emoji3525] kuwa na wawakilishi kama hawa
Ule wa bangi mbona Kweli, Kuna nchi wanafanya na nchi inaingiza fedha kibao
Utaratibu tu ufatwe

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
ahaha ccm bhana wameshiba wanabakia kujamba tu
Ama kweli sasa inadhihirisha kuwa "Akili ni kama nywele kila mmoja anazo zake"
Hivyo hili sio genge lililokuwa linafanya Biashara ya DHAHABU feki na BOT Mwanza kwa kuyeyusha koki za bomba.?(kakumba)
UKUBWA WA PUA,SIO WINGI WA kamasi.
 
Mbona katoaushauri mzuri,ila kwa akili yako ya kipopoma huwezi ng'amua.

alafu mbona mwisho umemdharau?huyu hana njaa kama wewe kipusa anaweza kuwalisha wamawia wote wamkoa wenu pamoja na mifugo kwa zaidi ya mika 70,
 
Kuanzisha chuo sidhani kama itawezekana, ila kutumia wezi kukamata wezi yawezekana, refer to ile sinema "Catch Me If You Can" ...
 
sote tunajua wabunge wengi hawana madini kichwani na tunajua nchi hii itabaki maskini milele!!
 
Back
Top Bottom