East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 993
Nataka chadema ife ili kije kingine ambacho hakina sura ya Uchaga.Ni kujipa moyo kuwa Chadema inaweza kufa.
Mbona wakifanyaga wengine hamuongei hivi...yani imemkukera inaelekea....ndo isubiri Hata ukimind wenzako watatilia maananiKwahyo hicho ndo kinaleta maendeleo? kwan waTanzania tuna nin? yan hilo nalo ndo la kuandika kwa mihemko?
Moyo wa mtu kichaka,Hao watatu kuhamia chama cha kijani ni ndoto. Hao ni wabunge wa wananchi siyo wachumia tumbo.
HahahWatabaki wachaga tu maana wanawaita wasio wachaga eti 'kiasaka'
Laana Ya Zitto Kabwe,,Fyekelea mbali ni balaa, Chadema atabaki mwenyekiti wa kudumu na Salary slip. Chadema ina laana ya Dr. Slaa. Karma inafanya kazi.
Huna lolote utakuwa una wivu tu wewe.Nataka chadema ife ili kije kingine ambacho hakina sura ya Uchaga.
Napenda sana upinzani ila chadema imekaa kichaga zaidi na kudharau makabila mengine. Eti 'kiasaka' nyoooo
Wachaga wapo million ngapi ?! Kije kingine kipi?! CCM haitaki upinzani wa dhati inayohatarisha uwepo wake. Hebu angalia wanavyotumia vibaya hazina, kuhakikisha waTz wanabaki kuwa kondoo wasiojielewaNataka chadema ife ili kije kingine ambacho hakina sura ya Uchaga.
Napenda sana upinzani ila chadema imekaa kichaga zaidi na kudharau makabila mengine. Eti 'kiasaka' nyoooo
Chadema itakufaje? Kwani ilipoanzishwa ilikuwa na wabunge wangapi?. Kwani wapiga kura nao wananunuliwa?, tunajua Tume itawatangaza haohao waliohama ila haiondoi ukweli kuwa sio machaguo ya wananchi katika majimbo husika.Ni kujipa moyo kuwa Chadema inaweza kufa.
Wewe nepotism inakusumbua... Kwani uliomba kuzaliwa kwenye kabila ulilonalo? Basi na hao wachaga hawakuomba kuwa wachaga. Watu wa aina yako ni wakupiga risasi mkafia mbali, mna sumu ya kuangamiza jamii.Watabaki wachaga tu maana wanawaita wasio wachaga eti 'kiasaka'
Dah...hata Mimi nashangaa...itakuwa ishu ya 3 bila kule Cape Verde.... watanzania tumechokaUpumbavu mtupu..kuongea na wanahabari kuna tatizo gani??
Kwani Wachaga sio watu?Nataka chadema ife ili kije kingine ambacho hakina sura ya Uchaga.
Napenda sana upinzani ila chadema imekaa kichaga zaidi na kudharau makabila mengine. Eti 'kiasaka' nyoooo