Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

Kwa wana-CCM kukutwa na vitu haramu katu haiwezi kuwa habari!

Hiyo ni taarifa tu kwamba "Ndugu Watanzania, Mhalifu mwingine kutoka CCM Gang Unit limebambwa likiwa na bunduki za kufanyia ujangili kama ilivyo ada ya wahalifu wengine wengi kutoka genge hilo. Ndugu Watanzania, tunajua kwamba mnajua ila tunawakumbusha tu kwamba CCM Gang Unit ni moja ya magenge hatari sana kwa uhalifu barani Afrika"

Hiyo haiwezi kuwa habari... ni taarifa tu, and thank you Mleta mada kwa kutupa taarifa!
 
Mimi nilidhani Wabunge wanaoonekana hawafai ni wa Upinzani pekee na CCM wote ni Malaika kumbe hata Kwao kuna Vitimbi?
Huyo wanajua siku nyingi kuwa ni jangili lakini analindwa na system kwani ndio wafadhili wa CCM.
Ukiona hivyo ujue CCM imepata mtu mwingine wa kumpa Ubunge hivyo lazima wamuondoe kwa maovu wayajuayo.
Style ya CCM ni kuwalinda wafadhili hata wawe wanakula nyama za watu, lakini siku wakikuchoka na kutaka kumpa kiti hicho mwingine basi lazima wakufanyizie tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajabu sasa jambo kubwa kama hili litaishia kimya kimya kiushikajishikaji.
 
Jeshi la polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Mbunge wa jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mh. Suleiman Masoud Nchambi kwa tuhuma za kumiliki silaha zisizo halali na kukutwa na nyara za serikali zilizopatikana kwa kufanya uwindaji haramu.

Yaani ukiona mtu ana sifu sana jua kuna kitu ana faidi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sasa m


Hii sasa ni aibu , wenzake wako bungeni , wengine wako karantini kimya kimya au wazi ,yeye yuko anawinda , lile tamko la Mwigulu na la Makonda leo kwa wabunge ambao hawako bungeni linawahusu wazembe na wahujumu uchumi kama hawa>??

Au huyu anataka kuunda jeshi la Interehamwe kama analolihubiri Gwajima ?
 
Kawafanya nn tena wakubwa was nchi tena
 
Baadhi ya Wabunge wapo CCM kwa ajili ya kuficha uhalifu wao

Hiyo ni ya miaka na miaka mingi mno basi tu
 
Plea bargain! Si kama ya nduguye King Maker tu? Atalipa na kisha kuachiwa. Habari imekwisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…