benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mbunge wa Makete Festo Sanga ameandika ujumbu wa kumshukuru Rais Samia kwa kujibu kwa vitendo ombi la Wana-Makete la kuboresha zaidi miundombinu ya Elimu pamoja na barabara za mji wa Makete la kuwekewa taa zinazoongeza usalama na kuwezesha kuendelea kwa shughuli za uzalishaji mali nyakati za usiku.
Ameandika:
"MAMA @samia_suluhu_hassan tunakushukuru sana, ulipokuja Makete nilikuomba taa za Barabarani kwaajili ya Makete Mjini.
Taa zimeshafungwa, mji umependeza sana🙏🙏"
"Wanamakete tumepewa 2.1 Billion kuimarisha miundombinu ya shule tatu (Matamba,Makete Girls na Mwakavuta) tayari kwa kupokea Kidato cha tano.
Asante sana Mh Rais Samia Suluhu Hassan
, haijawahi kutokea, sisi Wanamakete tunasema asante sana.
Tutazisimamia fedha hizi kweli kweli."
Ameandika:
"MAMA @samia_suluhu_hassan tunakushukuru sana, ulipokuja Makete nilikuomba taa za Barabarani kwaajili ya Makete Mjini.
Taa zimeshafungwa, mji umependeza sana🙏🙏"
"Wanamakete tumepewa 2.1 Billion kuimarisha miundombinu ya shule tatu (Matamba,Makete Girls na Mwakavuta) tayari kwa kupokea Kidato cha tano.
Asante sana Mh Rais Samia Suluhu Hassan
, haijawahi kutokea, sisi Wanamakete tunasema asante sana.
Tutazisimamia fedha hizi kweli kweli."