Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga (CCM) augua uchizi

Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga (CCM) augua uchizi

Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.

Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?

Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?

Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.

View attachment 2013563
Tuambie nani wamiliki wa leseni vamizi jimboni Mbogwe.

Acheni kuhamisha goli
 
Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.

Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?

Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?

Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.

View attachment 2013563
Reliability ya gazeti Kwanza kabla hatujaendelea na mjadala. Hili gazeti la Nani?
 
Nimeshi na wasukuma kwa muda mrefu, huyo katendwa. Baba yake anaujua ukweli ndio maana anasema asiende hospital.
 
Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.

Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?

Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?

Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.

View attachment 2013563
Magazeti mengine bhana..

Picha na Kichwa cha habari vina utata. Picha iliyo wekwa mbele inapoteza ujumbe dhamiriwa.

Au uyo alie jipinda kiupande kama kalala ndio kaugua?
 
Spika mwenyewe amewahi kukiri kuwa "Asichezewe kwani ana faili Mirembe" bado kama taifa hatuchukui hatua.
Siku akivua joho na kutembea Bungeni korodani zinagongana kama kengele ya vipindi shuleni ndio watashtuka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wewe jamaa sijui umewaza nini aisee
 
Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.

Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?

Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?

Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.

View attachment 2013563
Matola, tatizo la mtu mmoja usihusishe CCM, Bunge na hata kuitaja kirahisi Ikulu kwa ujumla. Huyo ndugu mbunge kuugua matatizo ya akili ni suala la mtu mmoja. Tusichafue taasisi zetu. Muhimu mbunge akatibiwe, apumzike ubunge hadi apone.
 
Back
Top Bottom