Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ulitaka ashike nini?Naibu Waziri mkuu Augustino Lyatonga Mrema.
Nafasi ya juu kabisa kushikwa na mchagga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka ashike nini?Naibu Waziri mkuu Augustino Lyatonga Mrema.
Nafasi ya juu kabisa kushikwa na mchagga.
Msisimko kama wa coca cola au sio mkuuMimi ninapinga, wasipimwe ili msisimko uendelee.
Marehemu alikuwa anawaraka vichaa wenzake. 'huyu Mpina nimempa hii nafasi kwa sababu huyu ni kichaa mwenzangu" - Magufuli.2025 wabunge wa Magufuli wanaenda pigwa chini wote
Kama ya jirani zenu Msuya, Sumaye na Lowassa!Ulitaka ashike nini?
Tulia basi, kakope sukari dukani kwa Mangi unywe chaiKama ya jirani zenu Msuya, Sumaye na Lowassa!
Huyo kiongozi wao wa huko bungeni naye anaugua kichaa na yeye mwenyewe alisema analo file mirembeHii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563
Si tatizo la mtu mmoja bwanaaa kwani hata Sipika au subwoofer si alisema mwenyewe ana file mirembe?? Na yule gwajima we unamuona yuko sawa kichwani yule?? Haya na marehemu dikteta jiwe alikuwa sawa yule?? List ni ndefu acha kutetea ujinga.Matola, tatizo la mtu mmoja usihusishe CCM, Bunge na hata kuitaja kirahisi Ikulu kwa ujumla. Huyo ndugu mbunge kuugua matatizo ya akili ni suala la mtu mmoja. Tusichafue taasisi zetu. Muhimu mbunge akatibiwe, apumzike ubunge hadi apone.
Yaani kwa jinsi ulivyoileta hii habari, ni kama vile ulikuwa unaisubiri kwa hamu sana.Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563
Mkuu Matola,huyu mtu alikuwa na mawazo ya kuwa raisi wa Malaika sijui Malaika wa wapi hao huku anajua anarekodi chafu ya uuwaji,utekaji,utesaji akiwatumia wasiojulikana kama Makonda,Mahita,Kingai,Sabaya,na kadhalika.Siku zote nasema na narudia tena, huyo mwendakuzimu asipokwenda motoni basi ujuwe moto haupo na wala hakuna Mungu zitakuwa ni hadithi tu.
Kwa matendo ya kishetani aliyoyafanyia nchi yetu mtu huyu, kamwe hawezi kuiona pepo.
You're great thinker mkuu.kuna kitu kinafichwa ama!!!? au hoja iliyowasilishwa....!???