Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hata hamwogopi bakora za yule chizi mkuuDuuu hili sasa limekuwa ni bunge la machizi.
Hapo nakubaliana na wewe maaana haingii akilini mtu kama dr Kimei aanze kutukanwa na Kabajaji na Msukuma.... wanachozingatia sio heshima bali "mpunga"; nothing less, nothing more.
Chizi ni chizi tu kamandaKwani hata hamwogopi bakora za yule chizi mkuu
.
Hiyo naikumbuka alisema yeye kwa mdomo wake.Spika mwenyewe amewahi kukiri kuwa "Asichezewe kwani ana faili Mirembe" bado kama taifa hatuchukui hatua.
Siku akivua joho na kutembea Bungeni korodani zinagongana kama kengele ya vipindi shuleni ndio watashtuka
Alivunje bunge maana limekosa uhalali wa kufanya shughuli za umma.Hizi vetting jamani!ccm mnazifanyia Chooni????MAMA SAMIA ITISHA OPARESHENI ONDOA UCHIZI CCM!!!
Chizi mkuu siku hizi amegeuka kuwa joka la kibisa tuKwani hata hamwogopi bakora za yule chizi mkuu
.
Hahaha[emoji23]Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563
Watabaki 2% trust meBunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
Kuwa augua kichaa? Akisema kichaa atakua-disqualifiedHilo neno uchizi naona kama ni kali sana wange tumia tafsida fulani hivi ingeeleweka pia
Ushaanza uchiziWachagga wote wamezidiwa akili na Augustino Lyatonga Mrema!
2025 wabunge wa Magufuli wanaenda pigwa chini woteUchaguzi Ufanyike Haraka Kwenye Hilo Jimbo Huyo Hana Sifa Tena
Limetoka kwa mazuzu hadi machiziDuuu hili sasa limekuwa ni bunge la machizi.
Wanajijua sana2025 wabunge wa Magufuli wanaenda pigwa chini wote
Naibu Waziri mkuu Augustino Lyatonga Mrema.Ushaanza uchizi
Yule anaweza asiende jehanamu kwa sababu alikuwa mgonjwa wa akili. Watakaoenda jehanamu ni wale waliompa uongozi, waliokuwa wanapokea amri na waliokuwa wanamshangikia mwendazimu. Mwendawazimu anakuambia wewe mzima ukaue, na wewe unaenda kuua!Siku zote nasema na narudia tena, huyo mwendakuzimu asipokwenda motoni basi ujuwe moto haupo na wala hakuna Mungu zitakuwa ni hadithi tu.
Kwa matendo ya kishetani aliyoyafanyia nchi yetu mtu huyu, kamwe hawezi kuiona pepo.
Hao Ni Wa Mbeleko2025 wabunge wa Magufuli wanaenda pigwa chini wote
CcProf kobokoDhulma haitawaacha salama. Wizi wa kura na kuingia bungeni kimabavu bila ridhaa ya wananchi. Bado covid 19
Huyo mbunge ana matatizo binafsi na yote aliyosema bungeni sio kweliHii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563