Tuambie nani wamiliki wa leseni vamizi jimboni Mbogwe.Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563
Wanawaficha wenye leseni vamizi,ila watajulikana tukuna kitu kinafichwa ama!!!? au hoja iliyowasilishwa....!???
Ili iweje kwa mfano?Hilo neno uchizi naona kama ni kali sana wange tumia tafsida fulani hivi ingeeleweka pia
Mkuu chizi atabakia kuwa chizi hata ukitafuta maneno ya kumpambaWalau hata ingebaki Mbunge augua ghafla Bungeni.... Ila uchizi duh, anyways
Inakufanya kusahau thamani yako na thamani ya elimu uliyo ipataNjaa ni mwanaharamu [emoji1787]
Reliability ya gazeti Kwanza kabla hatujaendelea na mjadala. Hili gazeti la Nani?Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563
Magazeti mengine bhana..Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563
Kwa hiyo yule jamaa kumbe ni mwehueeeMimi ninapinga, wasipimwe ili msisimko uendelee.
Spika mwenyewe amewahi kukiri kuwa "Asichezewe kwani ana faili Mirembe" bado kama taifa hatuchukui hatua.Duuu hili sasa limekuwa ni bunge la machizi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wewe jamaa sijui umewaza nini aiseeSpika mwenyewe amewahi kukiri kuwa "Asichezewe kwani ana faili Mirembe" bado kama taifa hatuchukui hatua.
Siku akivua joho na kutembea Bungeni korodani zinagongana kama kengele ya vipindi shuleni ndio watashtuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtamuonea bure tu, kama ikulu ilikaliwa na chizi mbona ubunge ni jambo dogo tu?
Yule wa Kongwa ni mzima?
Matola unatisha sanaKama Mungu alipokea duwa zetu kwa dikteta Magufuli ndio sembuse hawa?
... wanachozingatia sio heshima bali "mpunga"; nothing less, nothing more.Tulishasema sana kuwa hao wasomi kukubali kuingia kwenye siasa z ccm wanajishushia hadhi zao
Ohooo.Hoja juu ya hoja.Wachagga wote wamezidiwa akili na Augustino Lyatonga Mrema!
Mbunge Alitoa hoja yake kwa usahihi ; Huenda Wahusika wametumia njia hii kijarida kujilinda dhidi ya shutuma nzito kwa wizara yenye ulaji ya madini.Reliability ya gazeti Kwanza kabla hatujaendelea na mjadala. Hilli gazeti la Nani?
Matola, tatizo la mtu mmoja usihusishe CCM, Bunge na hata kuitaja kirahisi Ikulu kwa ujumla. Huyo ndugu mbunge kuugua matatizo ya akili ni suala la mtu mmoja. Tusichafue taasisi zetu. Muhimu mbunge akatibiwe, apumzike ubunge hadi apone.Hii ni wake up call sasa kwa spika wao atake asitake ni lazima apimwe afya yake ya akili kama anastahili kuendelea kushika nafasi hiyo.
Mkidharau ndio madhara mnakuwa na mtu ikulu chizi, bungeni mkuu wao chizi, sasa mnakuwa na Taifa la namna gani?
Huu ni ushahidi wa machizi wengi bungeni ambao wanapitisha miswada halafu haohao wanashangaa ilipitaje?
Bunge lote wapimwe akili kwa lazima,watake wasitake.
View attachment 2013563